Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUIBEZE CHADEMA AU TUKUMBATIE MAFISADI?

Viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo. MWAKA 2008 niliandika makala kuhusu hali halisi ya mwenendo wa uchaguzi mdogo wa Jimbo la Bihalamulo. Makala hayo yalisababisha tafrani kati yangu na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA).Uhusiano wangu na baadhi ya viongozi wa chama hicho, hasa Mbunge wa Kawe, Halima Mdee uliyumba. Uliyumba si kwa sababu nilichoandika hakikuwa sahihi bali ni kawaida ya wanasiasa kutopenda...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Winga mafisadi

Ninapanda jukwaani, ni kero nimekereke, Haya yataisha lini, au yanaimarika, Kwanuka kote nchini, Wakenya tunanung’unika, Tushike misu na ngao, tuwawinge mafisadi.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Watumishi mafisadi kitanzini



 Serikali yaibuka na mwongozo mpya Tume ya Maadili yapewa meno makali
NA WILLIAM SHECHAMBO
SERIKALI imeendelea na mikakati ya kuwadhibiti viongozi wa umma wanaokiuka maadili na kushiriki kwenye vitendo vya wizi na ufisadi, ambapo sasa imeunda mwongozo mpya utakaotumika kuwabana.
Mwongozo huo ambao unatajwa kuwa suluhisho na mwarobaini wa watumishi wezi na wanaokwenda kinyume, pia utaipa meno zaidi ya kiutendaji, Sekretari ya Maadili ya Viongozi wa Umma, tofauti na ilivyo sasa.
Kwa sasa sheria na...

 

9 years ago

Mwananchi

Msirubuniwe na mafisadi - Dk Magufuli

Mgombea wa urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amewatahadharisha wananchi kuwa makini siku ya kupiga kura, akiwataka wasikubali kurubuniwa na mafisadi akidai wana wasiwasi kuwa endapo ataingia Ikulu, atawashughulikia.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Magufuli: Mafisadi kukiona

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli (55), amewaahidi Watanzania kuwa atawatumikia pasipo kujali itikadi zao za kisiasa na kwamba endapo atakuwa Rais, serikali yake haitavumilia wazembe, wala rushwa na wabadhirifu.

Akizungumza katika nyakati tofauti baada ya kuchaguliwa na Mkutano Mkuu wa CCM kuwa mgombea wa chama hicho katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Magufuli alisema amepokea kitendo hicho kwa unyenyekevu mkubwa na kwamba hatawaangusha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM: chama cha mafisadi

UFISADI umeenea nchi nzima! Kwa kila wizara, idara, wakala na taasisi za serikali inayoongozwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuna ufisadi kwa jinsi yake. Pale tunapotaja ufisadi kwa CCM na...

 

10 years ago

Habarileo

Kinana akerwa mafisadi kulindwa

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaCHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimekemea watu wanaotumia siasa kama kichaka cha kuficha dhambi zao kwa kufanya ufisadi, lakini wanapobainika, hujitetea kwa kusema wanafanyiwa hivyo kutokana na siasa.

 

9 years ago

Mwananchi

Mchakato mahakama ya mafisadi waanza

Utekelezaji wa ahadi za Rais John Magufuli unazidi kushika kasi baada ya kuanza kwa mchakato wa kuanzisha mahakama maalumu ya kuwashughulikia mafisadi.

 

9 years ago

Mwananchi

Mafisadi waanza kujadiliwa China

Zaidi ya maofisa wa kisiasa 80 wa kigeni na wasomi wameanza kukutana mjini Beijing, China kujadili kampeni ya sasa dhidi ya ufisadi.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Magufuli: Mafisadi wamenikimbia CCM

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema kutokana na usafi wake, wanachama wa chama hicho wasio wasafi walipoona ameteuliwa kugombea nafasi hiyo, wamehama chama hicho kwa hofu ya kushughulikiwa.

Alisema kutokana na yeye kutokutumia fedha katika mchakato wa kuwania kuteuliwa na CCM, kwa kuhonga au kutoa rushwa, baadhi ya watu ndani ya CCM wamekimbia.

"Watu waliotoa pesa walipoona nimechaguliwa waliamua kuondoka wenyewe," alisema.

Akizungumza kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani