Wizara ya Nishati yaahidi kusimamia ushindani wa haki
Serikali imesema itasimamia ushindani wa kibiashara wa haki na kutengeneza mazingira wezeshi kwa waagizaji wa mafuta nchini ili kuhakikisha kuwa wafanyabiashara hao wananufaika na biashara hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xfVLhx7eX64/XrT-0V9LHaI/AAAAAAALpdE/VlhmEtybrTMhp0GbMfl4etz9-fcduuybQCLcBGAsYHQ/s72-c/f0482d37-ab23-4abf-9fb8-1917c96f684b.jpg)
WIZARA YA NISHATI NA WIZARA YA MUUNGANO NA MAZINGIRA YAWEKA MIKAKATI YA PAMOJA KULILINDA BWAWA LA NYERERE MW 2115.
NaFarida Saidy,Morogoro.
Kufuatia athari zilizojitokeza za mafuriko kwa baadhi ya vijiji vya wilaya ya kilombero mkoani Morogoro baada ya maji kufunguliwa katika bwawa la kufua umeme la Kidatu mawaziri wawili wa Nishati Dkt.Medard Kalemani na Mussa Zungu wa Muungano na Mazingira wamefanya ziara ya kukagua madhara yaliyojitokeza katika Wilaya hiyo.
Lengo la ziara hiyo ni kunagalia namna ya kudhibiti uharibufu uliojitokeza katika mabwawa ya kuzalishia umeme ya Mtera na Kidatu,ambapo Waziri wa...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s72-c/IMG_3318.jpg)
WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUUNDA KITENGO MAALUMU KWAAJILI YA USHIRIKI WA WATANZANIA KATIKA SERA YA NISHATI NA MADINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-3-IltzVBeoY/VY0lo-gnoVI/AAAAAAAHkNs/1xjxHPJnidg/s640/IMG_3318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eP1noyCn96g/VY0lnwv1nfI/AAAAAAAHkNg/m_fD72zB-aI/s640/IMG_3291.jpg)
10 years ago
VijimamboKANUSHO KUTOKA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHUSU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI PROFESA SOSPETER MUHONGO
![](http://4.bp.blogspot.com/-2TdsXVCxyBM/VKLEoGpQUWI/AAAAAAADK_Q/fLIBFnrqdds/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Utendaji wa Wizara chini ya Waziri wa...
9 years ago
StarTV22 Sep
Serikali yaahidi kutoa haki kwa wamiliki Magereji
Serikali ameahidi kumaliza mgogoro uliopo kati ya mmiliki wa eneo la Magereji Wazohill na wamiliki wa gereji zilizoko katika eneo hilo baada ya kujiridhisha kwa mipaka yake.
Mgogoro wa eneo hilo umedumu kwa muda mrefu bila utatuzi wowote kutoka kwa Serikali ambayo iliwakabidhi wananchi kufanya shughuli zao katika eneo hilo.
Wafanyabiashara wa eneo hilo la Magereji walikabidhiwa na Manispaa ya Kinondoni 2005 baada ya kuvunjwa kwa gereji bubu na kutengewa eneo maalumu na baadaye Mwenge wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k9VaLQL_XnA/XtlI-tokMPI/AAAAAAALspA/PA1UYlDOs_kK07YGKk92raUmgI81WSr4wCLcBGAsYHQ/s72-c/1-6.jpg)
Wizara ya Katiba na Sheria na Tume ya Haki za Binadamu zina Wajibu wa kulinda haki za wananchi-Jaji Mstaafu Mwaimu
![](https://1.bp.blogspot.com/-k9VaLQL_XnA/XtlI-tokMPI/AAAAAAALspA/PA1UYlDOs_kK07YGKk92raUmgI81WSr4wCLcBGAsYHQ/s640/1-6.jpg)
Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibari, Mhe.Khamis Juma Mwalim, akifafanua jambo kwa wajumbe na wageni wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (hawapo pichani) wakiongozwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) wakati wa kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwake baada ya kutembelewa na ugeni huo loe Juni 4, 2020 Mjini...
10 years ago
Habarileo05 Apr
Askofu ahimiza serikali kusimamia haki, usawa
ASKOFU wa Kanisa la Africa Inland (AIC) wa Dayosisi ya Pwani, Charles Salalah amesema serikali isiyo na dini ndiyo itakayosimamia haki na usawa katika taifa, kinyume cha hapo inatafuta matatizo.
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Wizara yaahidi barabara za lami pembezoni
WIZARA ya Ujenzi imeanza kutekeleza mpango wa kujenga barabara kwa kiwango cha lami zilizopo pembezoni mwa mji ili kupunguza msongamano wa magari jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha...
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Serikali yajizajititi kusimamia haki za mtoto na marekebisho ya tabia
Afisa Ustawi wa Jamii Mkuu toka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Bw. Steven Gumbo (kushoto) akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani) Kuhusu hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kusimamia haki za mtoto na marekebisho ya tabia leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Msemaji wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Bw. Nsachris Mwamwaja (kulia) akikanusha taarifa zilizo ripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari hapa nchini...
9 years ago
StarTV24 Oct
Mgombea Ubunge CHAUMA aishauri Tume kusimamia haki
Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMA Eugene Kabendera ameitaka Tume ya Uchaguzi kutangaza matokeo kwa haki bila kupendelea upande wowote baada ya uchaguzi mkuu.
Kabendera amesema Jimbo la Ubungo lina changamoto nyingi hasa ya maji inayosumbua kwa muda mrefu sasa hivyo anahitajika mbunge kijana kama yeye kusimamia jimbo hilo na kuleta maendeleo.
Kabendera ametoa tamko hilo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam na kusema kuwa haki ni...