WOLPER AITAMANI NDOA
![](http://api.ning.com:80/files/TQDVHBx0tuXeXGcKqoY9g7P3tjpfSuoQs6DjKdbQ3XFwQxjHd6KdXrwmm-iWddzv98fGGZ0g5Z07yNozs2qKvapUTStgSbH5/wolper.jpg)
Na Imelda Mtema STAA mkali wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa kwa sasa yuko tayari kuolewa kwani anaamini anastahili kuwa mke. Staa mkali wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper Wolper alisema, katika maisha siku zote anaamini kuna kipindi kinapita cha kufanya ujana ambacho tayari ameshakipitia na sasa ni muda wa yeye kutengeneza familia. “Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu, niko tayari kabisa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TxtLZ0aSbwwCXMUpt1UC1a6QDk33dUfqMmUSjZdJt*Xq-wpp00EGOnWrtPBcEDpwsYzlGhPrEVCjq5N7t*dtzv05b8T*Ysfj/wolper1131.jpg?width=650)
WOLPER KUFUNGA NDOA YA SIRI
9 years ago
Bongo Movies12 Oct
Wolper Ndoa Yamtia ‘Uchizi’
CHIZIKA! Wakati hekeheka za maandalizi zikipamba juu ya ndoa ya karne ya staa wa sinema za Kibongo, Wolper, mwanadada huyo anaonekana kuingiwa na ‘uchizi’ juu ya suala hilo ambapo muda wote anawaza ni kwa namna gani ataweza kuweka historia juu ya shughuli yake. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, hivi karibuni ndani ya Ukumbi wa Jozi
Village, jijini Dar, Wolper alisema: “akili haijakaa sawa kabisa, nawaza juu ya ndoa yangu ambayo muda si mrefu itatimia, silali, sili na sipumui vizuri, kila kitu...
9 years ago
Vijimambo![](http://lh3.googleusercontent.com/-An7aXlTJE-k/VekpNA2ihUI/AAAAAAAA0fw/PScLcT7b46s/s72-c/IMG_20150903_230049.jpg)
UTATA : MWANAUME ALIYEMVALISHA PETE JACKY WOLPER ,PICHA YAVUJA AKIWA NA MKE WA NDOA
![](http://lh3.googleusercontent.com/-An7aXlTJE-k/VekpNA2ihUI/AAAAAAAA0fw/PScLcT7b46s/s640/IMG_20150903_230049.jpg)
Kitu ambacho wengi hatujaelewa na wengine wakisema labda ile ya Jack akivishwa pete ni. Movie mpya..Picha hii hapa chini!
![](http://lh3.googleusercontent.com/-4Ymt6iZZRWY/VekqD2fCK6I/AAAAAAAA0f4/wX6YmALBlUE/s640/IMG_20150904_081849.jpg)
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Mserbia aitamani Yanga
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
Okwi aitamani Yanga Kagame
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi, amesema hana tatizo na viongozi wa Yanga, hivyo amepanga kurejea na kujiunga na timu hiyo kabla ya kuanza kwa michuano ya Kombe la...
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Ridhiwani aitamani nafasi ya Kinana CCM
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s72-c/law_5.jpg)
MAKALA YA SHERIA: MKE ASIYE WA NDOA NA MTOTO WA NJE YA NDOA HAWARITHI KISHERIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-g3fkfqmzjBA/VPN81rBbEBI/AAAAAAAHG0o/--NlsHTonD8/s1600/law_5.jpg)
Kumekuwepo na utata mkubwa kuhusu urithi wa mali za marehemu hasa inapotokea kuwa marehemu alikuwa na mke zaidi ya mmoja na hapohapo watoto wanaotokana na mama tofauti. Tumeshashuhudia magomvi makubwa misibani lakini pia tumeshuhudia na tunaendelea kushuhudia utitiri wa mashauri kuhusu mkanganyiko wa mali za marehemu ambaye familia yake ni ya watoto wanatokana na mama tofauti. Kutokana na hayo kuna umuhimu mkubwa wa...
10 years ago
Dewji Blog20 Jun
Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971, chanzo cha ongezeko la mimba na ndoa za utotoni nchini
Mratibu wa Utetezi Taifa, SOS Tanzania/Zanzibar, John Batista, akizungumza katika Mdahalo wa Nijali uliolenga ndoa za utotoni na mimba za utotoni kwa kushirikisha Chama cha Waandishi wa Habari za Watoto, (TAJOC) na wengine, uliofanyika leo katika Hoteli Regency jijini Dar es Salaam.
Na Andrew Chale, Modewjiblog.com
Imeelezwa kuwa, kuongezeka kwa ndoa za utotoni inatokana na sheria ya ndoa ya mwaka 1971 kuendelea kutumika wakati hali yake ni mbaya kwa watoto wakike kushindwa kufikia ndoto...