Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mserbia aitamani Yanga

Kocha wa zamani wa Yanga na SC Villa (Uganda), Srdjan Zivojnov amesema yuko tayari kuchukua jukumu la kuwafundisha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Okwi aitamani Yanga Kagame

MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi, amesema hana tatizo na viongozi wa Yanga, hivyo amepanga kurejea na kujiunga na timu hiyo kabla ya kuanza kwa michuano ya Kombe la...

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yamkubali Mserbia

>Uongozi wa Klabu ya Yanga umevutiwa kwa kiasi kikubwa na kocha Mserbia, Kapunovic Goran na huenda ukamtambulisha rasmi leo kuwa kocha mpya wa timu hiyo.

 

11 years ago

GPL

WOLPER AITAMANI NDOA

Na Imelda Mtema
STAA mkali wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa kwa sasa yuko tayari kuolewa kwani anaamini anastahili kuwa mke. Staa mkali wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper Wolper alisema, katika maisha siku zote anaamini kuna kipindi kinapita cha kufanya ujana ambacho tayari ameshakipitia na sasa ni muda wa yeye kutengeneza familia. “Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu, niko tayari kabisa...

 

9 years ago

Habarileo

Simba kumrejesha Mserbia

KLABU ya Simba imesema itamrejesha Kocha wake wa viungo raia wa Serbia, Dusan Momcilovic (pichani) kwa ajili ya kuendelea na kibarua cha kukinoa kikosi cha Simba katika mzunguko ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

11 years ago

Mwananchi

Ridhiwani aitamani nafasi ya Kinana CCM

Matamanio ya wanasiasa wengi kwa sasa yako kwenye urais, lakini hali ni tofauti kwa mbunge wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, ambaye ameweka bayana kuwa nafasi ya juu kisiasa anayotamani ni kuwa katibu mkuu wa CCM.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mserbia amrithi Idd Pazi Simba

UONGOZI wa Klabu ya Simba chini Rais wake Evance Aveva, umempa mkataba wa miezi miwili kocha mpya wa makipa, Mserbia Zdravkomr Djekic. Uteuzi wa Mserbia huyo umekuja siku chache tu...

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Mserbia: Popadic, Mtani Jembe zimenileta Simba

Kocha wa viungo wa Simba, Dusan Momcilovic amesema amejiunga na timu hiyo baada ya kushawishiwa na kocha Dragan Popadic pamoja na kuitazama mechi ya Nani Mtani Jembe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani