Yanga yamkubali Mserbia
>Uongozi wa Klabu ya Yanga umevutiwa kwa kiasi kikubwa na kocha Mserbia, Kapunovic Goran na huenda ukamtambulisha rasmi leo kuwa kocha mpya wa timu hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi07 Jan
Mserbia aitamani Yanga
5 years ago
Michuzi
Kamati kutoka wizara nne iliyoundwa na waziri Biteko yamkubali mzee Kisangani
Na Amiri kilagalila,Njombe
Watanzania wametakiwa kuona fursa zilizopo nchini na kutumia ubunifu walionao ili kuzitumia rasilimali hususani madini yaliyopo nchini na kuinuka kiuchumi.
Wito huo umetolewa na Prof.Silvester Mpanduji mkurugenzi mkuu wa shirika la viwanda vidogo (SIDO) na mwenyekiti wa kamati ya wajumbe tisa kutoka wizara nne,wizara ya madini,wizara ya nchi ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira,wizara ya viwanda na biashara pamoja na wizara ya ofisi ya Rais tawala za mikoa...
9 years ago
Habarileo12 Nov
Simba kumrejesha Mserbia
KLABU ya Simba imesema itamrejesha Kocha wake wa viungo raia wa Serbia, Dusan Momcilovic (pichani) kwa ajili ya kuendelea na kibarua cha kukinoa kikosi cha Simba katika mzunguko ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
11 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Mserbia amrithi Idd Pazi Simba
UONGOZI wa Klabu ya Simba chini Rais wake Evance Aveva, umempa mkataba wa miezi miwili kocha mpya wa makipa, Mserbia Zdravkomr Djekic. Uteuzi wa Mserbia huyo umekuja siku chache tu...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Kocha Mserbia: Popadic, Mtani Jembe zimenileta Simba