Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yamkubali Mserbia

>Uongozi wa Klabu ya Yanga umevutiwa kwa kiasi kikubwa na kocha Mserbia, Kapunovic Goran na huenda ukamtambulisha rasmi leo kuwa kocha mpya wa timu hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mserbia aitamani Yanga

Kocha wa zamani wa Yanga na SC Villa (Uganda), Srdjan Zivojnov amesema yuko tayari kuchukua jukumu la kuwafundisha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga.

 

5 years ago

Michuzi

Kamati kutoka wizara nne iliyoundwa na waziri Biteko yamkubali mzee Kisangani


Na Amiri kilagalila,Njombe

Watanzania wametakiwa kuona fursa zilizopo nchini na kutumia ubunifu walionao ili kuzitumia rasilimali hususani madini yaliyopo nchini na kuinuka kiuchumi.

Wito huo umetolewa na Prof.Silvester Mpanduji mkurugenzi mkuu wa shirika la viwanda vidogo (SIDO) na mwenyekiti wa kamati ya wajumbe tisa kutoka wizara nne,wizara ya madini,wizara ya nchi ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira,wizara ya viwanda na biashara pamoja na wizara ya ofisi ya Rais tawala za mikoa...

 

9 years ago

Habarileo

Simba kumrejesha Mserbia

KLABU ya Simba imesema itamrejesha Kocha wake wa viungo raia wa Serbia, Dusan Momcilovic (pichani) kwa ajili ya kuendelea na kibarua cha kukinoa kikosi cha Simba katika mzunguko ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mserbia amrithi Idd Pazi Simba

UONGOZI wa Klabu ya Simba chini Rais wake Evance Aveva, umempa mkataba wa miezi miwili kocha mpya wa makipa, Mserbia Zdravkomr Djekic. Uteuzi wa Mserbia huyo umekuja siku chache tu...

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Mserbia: Popadic, Mtani Jembe zimenileta Simba

Kocha wa viungo wa Simba, Dusan Momcilovic amesema amejiunga na timu hiyo baada ya kushawishiwa na kocha Dragan Popadic pamoja na kuitazama mechi ya Nani Mtani Jembe.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani