Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mserbia amrithi Idd Pazi Simba

UONGOZI wa Klabu ya Simba chini Rais wake Evance Aveva, umempa mkataba wa miezi miwili kocha mpya wa makipa, Mserbia Zdravkomr Djekic. Uteuzi wa Mserbia huyo umekuja siku chache tu...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

‘Simba Ukawa’ sasa wamponza Idd Pazi

TIMU ya Simba juzi usiku iliondoka nchini kwenda Afrika Kusini kwa kambi kuelekea mechi dhidi ya Yanga, itakayopigwa Oktoba 18 Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam huku Kocha wa...

 

9 years ago

Habarileo

Simba kumrejesha Mserbia

KLABU ya Simba imesema itamrejesha Kocha wake wa viungo raia wa Serbia, Dusan Momcilovic (pichani) kwa ajili ya kuendelea na kibarua cha kukinoa kikosi cha Simba katika mzunguko ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Mserbia: Popadic, Mtani Jembe zimenileta Simba

Kocha wa viungo wa Simba, Dusan Momcilovic amesema amejiunga na timu hiyo baada ya kushawishiwa na kocha Dragan Popadic pamoja na kuitazama mechi ya Nani Mtani Jembe.

 

10 years ago

Mwananchi

Kerr amrithi Goran Simba

Rais wa Simba, Evans Aveva alitumia dakika 17 kutangaza mabadiliko ya benchi la ufundi la timu hiyo litakalokuwa chini ya kocha Muingereza Dylan Kerr (pichani).

 

11 years ago

GPL

Matola, Pazi wachunguzwa Simba

Kocha mzawa wa kikosi cha Simba, Selemani Matola. Martha Mboma na Sweetbert Lukonge
MAKOCHA wazawa wa kikosi cha Simba, Selemani Matola na Idd Pazi, wanachunguzwa na uongozi wa klabu hiyo baada ya kudaiwa kuwa wanaihujumu ili ishindwe kufanya vizuri katika mechi zake za Ligi Kuu Bara. Makocha hao pia waliwahi kuitumikia Simba kama wachezaji miaka ya nyuma na sasa ni makocha wakisaidiana na Mzambia, Patrick Phiri kukinoa kikosi...

 

5 years ago

Michuzi

MAMIA YA WAOMBOLEZAJI WAMZIKA MAREHEMU IDD SIMBA MAKABURI YA MAGOMENI MWINYIMKUU DAR

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya jamii

MAMIA ya waombolezaji wakiwemo viongozi wa ngazi mbalimbali wa wastaafu katika Serikali zilizopita wamesheriki kwenye mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Baishara katika Serikali ya Awamu ya Tatu marehemu Iddi Simba.

Mzee Simba amezikwa leo Februari 14,2020 katika makaburi ya Magomeni Mwinyimkuu jijini Dar es Salaam ambapo wakati wa mazishi hayo , Rais Mstaafu Benjamin Mkapa, Rais mstaafu Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais mstaafu Mohamed Ghalib...

 

11 years ago

Mwananchi

Mserbia aitamani Yanga

Kocha wa zamani wa Yanga na SC Villa (Uganda), Srdjan Zivojnov amesema yuko tayari kuchukua jukumu la kuwafundisha mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga yamkubali Mserbia

>Uongozi wa Klabu ya Yanga umevutiwa kwa kiasi kikubwa na kocha Mserbia, Kapunovic Goran na huenda ukamtambulisha rasmi leo kuwa kocha mpya wa timu hiyo.

 

5 years ago

CCM Blog

IDD HAMAD IDD AJITOSA KUCHUKUA FOMU ZA KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR

Kada wa CCM Idd Hamad Idd nae achukua fomu kuwania urais wa Zanzibar kupitia CCM. Ni mtia nia wa 29

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani