Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yahoo yafungia matangazo ya kibiashara

Yahoo imewatumia watumiaji wake ujumbe unaowataka wadhoofishe programu inayozuia matangazo ya kibiashara ndipo waweze kupata ujumbe wa barua pepe.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mkurugenzi wa Yahoo ajifungua pacha

Mkurugeni Mkuu wa kampuni kubwa ya teknolojia ya Yahoo Marissa Mayer ametangaza kwamba amejifungua watoto pacha wa kike wanaofanana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Korti yakwaza Google, Yahoo na Microsoft

Mahakama kuu nchini India imeamrisha kampuni kubwa za intenet, Google, Yahoo na Microsoft kubana matangazo ya biashara ya kuwapima wanawake wajawazito ili kubaini jinsia ya mtoto kabla ya kuzaliwa kwake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yahoo matatani katika makala ya Click

Kampuni ya mawasiliano ya barua pepe ya yahoo imeshtakiwa kwa kukiuka maadili na kusoma barua za kielektroniki kutoka kwa makampuni pinzani

 

10 years ago

BBCSwahili

YAHOO kufunga afisi zake China

Kampuni ya mtandao YAHOO inatarajiwa kufunga afisi yake ya mwisho katika eneo la China bara.

 

10 years ago

Habarileo

Sumatra yafungia mabasi mawili

MAMLAKA ya Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imefungia mabasi mawili ya Kampuni ya Ibra Line Limited, yanayofanya safari za Dar es Salaam-Arusha na Moshi-Arusha, kwa kutoza nauli zaidi, kuongeza na kufupisha ruti kinyemela.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yafungia gazeti la The EastAfrican

Gazeti la The EastAfrican limepigwa marufuku kusambazwa Tanzania, ikiwa ni miaka 20 baada ya kuanzishwa kwake kwa ajili ya kuandika habari za ukanda wa Afrika Mashariki.

 

11 years ago

Mwananchi

Ewura yafungia kampuni saba za mafuta

 Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura), imezifutia leseni za kufanya biashara ya mafuta Kampuni tisa nchini.

 

10 years ago

Habarileo

TBS yafungia kiwanda cha juisi

Nembo ya TBS.SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) imekifungia kiwanda cha Devideic cha mjini Morogoro kwa muda usiojulikana kuendelea na uzalishaji wa juisi aina ya Into.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ewura yafungia vituo sita Mbeya

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imevifungia kufanya biashara ya mafuta vituo sita katika wilaya za Chunya, Mbozi na Momba, mkoani Mbeya, kutokana na kukiuka masharti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani