Ewura yafungia vituo sita Mbeya
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imevifungia kufanya biashara ya mafuta vituo sita katika wilaya za Chunya, Mbozi na Momba, mkoani Mbeya, kutokana na kukiuka masharti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Ewura yafungia kampuni saba za mafuta
11 years ago
Mwananchi27 Jan
Ewura yafungia kituo pekee cha mafuta
11 years ago
Habarileo24 Mar
EWURA yafunga vituo 3 vya mafuta
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imefunga vituo vitatu vya kuuzia mafuta kwa tuhuma za kuuza mafuta yenye ubora hafifu pamoja na kufanya biashara hiyo bila ya kuwa na leseni.
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
JK amemteua mkuu mpya mmoja wa mkoa na kuwahamisha vituo vya kazi wengine sita
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mkuu Mpya mmoja wa Mkoa na kuwahamisha vituo vya kazi wengine sita kuanzia jana, Jumamosi, Desemba 6, 2014.
Taarifa iliyotolewa leo, Jumapili, Desemba 7, 2014 na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue mjini Dar es Salaam inasema kuwa Rais amemteua Mkuu wa Wilaya ya Karatu, Mkoa wa Arusha, Ndugu Daudi Felix Ntibenda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Ndugu Ntibenda ataapishwa kesho, Jumatatu, Desemba 8,...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-4Ltfy5zewXI/VIS0UhQ7O9I/AAAAAAADRJY/U3rl-7IWFlk/s72-c/uhuru%2Bna%2Bumoja.jpg)
RAIS KIKWETE ATEUA MKUU MPYA MMOJA WA MKOA NA KUWAHAMISHA VITUO VYA KAZI WENGINE SITA
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
![](http://2.bp.blogspot.com/-4Ltfy5zewXI/VIS0UhQ7O9I/AAAAAAADRJY/U3rl-7IWFlk/s1600/uhuru%2Bna%2Bumoja.jpg)
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mkuu Mpya mmoja wa Mkoa na kuwahamisha vituo vya kazi...
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Sita wafariki ajalini Mbeya
9 years ago
Mwananchi30 Nov
Kipindupindu chaua Mbeya, sita walazwa
11 years ago
Michuzi29 Apr
ASKARI TRAFIKI SITA WAPENDA RUSHWA MBEYA WATIMULIWA
Mbeya SACP Ahmed Msangi
Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya limewafukuza kazi Askari sita wa kikosi cha Usalama barabarani Wilaya za Rungwe na Mbeya kwa tuhuma za kuomba,kushawishi na kupokea rushwa. Kamanda wa Polisi Mkoani Mbeya SACP Ahmed Msangi amewatataja Askari hao kuwa ni pamoja na waliokuwa wakifanya kazi wilaya ya Mbeya barabara ya Mbeya/Tunduma eneo la Songwe ni Koplo Jonson,PC Rymond na PC Simon. Msangi amewataja wengine kuwa ni pamoja Sajini Hezron,PC...
11 years ago
CloudsFM09 Jun
WATU SITA WAFARIKI KWA AJALI YA BASI NANYALA MBEYA
Watu Sita wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa baada ya basi la Kampuni Ndejela Express lenye namba za usajili T 257 CMP aina ya TATA likiendeshwa na Dereva wa kike Vailet Mbinda(31) mkazi wa Sokomatola kugongwa kwa nyuma na roli la mizigo kisha kupinduka Kijiji cha Nanyala Kata ya Nanyala wilaya ya Mbozi Mkoani Mbeya.
Ajali hiyo imetokea majira ya saa tisa alasiri barabara ya Tunduma/Mbeya ambapo roli lenye namba T 369 AWM aina ya SCANIA likendeshwa na Dereva asiyefahamika likiwa katika...