Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga, Azam TV waelewana

Mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga wamemaliza tofauti zake na kituo cha runinga cha Azam na sasa iko tayari kupokea fedha za udhamini kwa haki za matangazo kutoka kwa wadhamini hao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara Tanga, TRA waelewana

Jumuiya ya Wafanyabiashara (JWT), Mkoa wa Tanga imesema imemaliza mgogoro baina yake na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), na kuahidi kuwa watalipa kodi bila kusukumwa.

 

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Azam

MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.

 

11 years ago

TheCitizen

Go on and cheer us up, Yanga and Azam!

Several of Africa’s top clubs begin their quest for glory in the continent’s premier club and second-tier cup competitions this weekend. Tanzania will field four teams in the two competitions -- Young Africans and Azam FC from the Mainland and KMKM and Chuoni from Zanzibar.

 

10 years ago

GPL

Yanga yaivurugia Azam

Wachezaji wa Yanga, wakishangilia goli. Na Sweetbert Lukonge,Dar es Salaam
YANGA leo Jumamosi inacheza na Mgambo JKT katika Ligi Kuu Bara, lakini imeonyesha jeuri ya fedha kwa kumuweka katika mawindo yake beki wa kushoto Samir Nuhu ambaye Azam FC ilikuwa katika mpango mkali wa kumrudisha kundini. Nuhu, kabla ya kuumia goti hivi karibuni na kupelekwa India kufanyiwa upasuaji, alikuwa akiitumikia Azam vizuri lakini tangu...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Azam usihadithiwe

AZAM FC ina kibarua kigumu cha kufuta uteja kwa Yanga katika mechi za Ngao ya Jamii wakati zitakapomenyana leo katika mechi ya kufungua msimu wa 2015-16 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam zapaniana

MABINGWA wa Tanzania Yanga na wale wa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Azam FC wamejichimbia kwa ajili ya mechi ya Ngao ya Jamii itakayofanyika Agosti 22 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

TheCitizen

Azam stand in Yanga’s way

All roads will lead to the 60,000-seater National Stadium today as Young Africans take on red-hot Azam FC in a quarterfinal match of the 2015 Cecafa Kagame Cup. Yanga, the five-time Cecafa Kagame Cup champions, are keen on matching Simba SC’s record Kagame Cup titles while Azam are on a mission to win their first regional trophy.

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YAIFUNGA AZAM FC 3-0

Mshambuliaji wa Yanga Mrisho Ngasa, kushoto akimtoka  beki wa Azam FC, Erasto Nyoni katika mchezo wa Ngao ya Hisani uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanya imeshinda 3-0.  Kikosi kamili cha Yanga kilichoifunga Azam FC 3-0 katika mchezo wa Ngao ya Hisani leo. Kikosi cha Azam FC.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani