Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga not afraid of Azam FC threat

Ahead of their Mainland Premier League clash with defending champions Azam FC, new Young Africans head coach, Hans Van der Pluijm says his side does not fear their opponent.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Ni Yanga na Azam

MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.

 

11 years ago

TheCitizen

Don’t be afraid, it’s just digital

A couple of months back, I tried to send some money to Zimbabwe through Western Union, only to realise that the remittance fee was almost as much as the amount I was trying to send.

 

10 years ago

Dewji Blog

Never be Afraid of Obstacles and Dangers!

This Dog is a Example of Bravery, We should keep going in our Life the Way he Faces Challenges.

securedownload

securedownload (1)

securedownload (2)

securedownload (3)

securedownload (4)

securedownload (5)

securedownload (6)

securedownload (7)

securedownload (8)

Its the Heart that Matters Not the Size

 

10 years ago

Michuzi

YANGA YAIFUNGA AZAM FC 3-0

Mshambuliaji wa Yanga Mrisho Ngasa, kushoto akimtoka  beki wa Azam FC, Erasto Nyoni katika mchezo wa Ngao ya Hisani uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Yanya imeshinda 3-0.  Kikosi kamili cha Yanga kilichoifunga Azam FC 3-0 katika mchezo wa Ngao ya Hisani leo. Kikosi cha Azam FC.

 

9 years ago

Habarileo

Yanga, Azam ni vita

MIAMBA ya Ligi Kuu Bara, Yanga na Azam leo itashuka kwenye Uwanja wa Amaan mjini hapa kumenyana katika mechi ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. Mechi hiyo inatarajiwa kuwa ya vuta nikuvite huku kila timu ikitaka kuonesha ubabe kwa mwenzie baada ya kutoka sare ya mabao 2-2 katika mechi ya mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu bara mwaka jana.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam, Yanga zaweweseka

Baada ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kutoa ratiba ya mashindano yake ya mwakani Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho, wawakilishi wa Tanzania, klabu za Azam na Yanga zimeanza kuweweseka baada ya kupanwa na timu ngumu

 

10 years ago

GPL

Yanga yaivurugia Azam

Wachezaji wa Yanga, wakishangilia goli. Na Sweetbert Lukonge,Dar es Salaam
YANGA leo Jumamosi inacheza na Mgambo JKT katika Ligi Kuu Bara, lakini imeonyesha jeuri ya fedha kwa kumuweka katika mawindo yake beki wa kushoto Samir Nuhu ambaye Azam FC ilikuwa katika mpango mkali wa kumrudisha kundini. Nuhu, kabla ya kuumia goti hivi karibuni na kupelekwa India kufanyiwa upasuaji, alikuwa akiitumikia Azam vizuri lakini tangu...

 

10 years ago

Habarileo

Yanga, Azam patachimbika

YANGA na Azam zinakutana leo kwenye mechi ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Kagame katika Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani