Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga out to finish the job in Comoro

Young Africans need a win or draw today as they clash with minnows Comorozine de Domini at Mitsamiouli Stadium in the second leg of the African Champions League.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MTANANGE WA YANGA NA KOMOROZINE YA NCHINI COMORO UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 2-0

 Mshambuliaji wa Pembeni wa Timu ya Yanga,Simon Msuva (27) akiwatoka mabeki wa timu ya Komorozine ya nchini Comoro wakati wa mchezo wao wa Klabu Bingwa Barani Afrika unaoendelea kuchezwa hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Yanga inaongoza kwa Bao 2-0.  Mshambuliaji wa Pembeni wa Timu ya Yanga,Simon Msuva (27) akichuana vikali na Beki wa Timu ya Komorozine ya nchini Comoro,Ahmad Houmadi (5) wakati wa mchezo wao wa Klabu Bingwa Barani Afrika unaoendelea kuchezwa hivi sasa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mvua yaipokea Yanga Comoro

>Mabingwa wa Tanzania, Yanga imewasili salama Comoro na kukaribishwa na mvua na Kocha Hans Van Der Pluijm amesema atahakikisha anapata ushindi mnono pamoja na hali hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Yanga yamalizia kazi leo Comoro

WAWAKILISHI wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga ya jijini Dar es Salaam, leo wanashuka Uwanja wa Sheikh Said Mohamed International, mjini Anjuan, Comoro, kuwavaa Komorozine ya...

 

11 years ago

Michuzi

Mshauri wa Masuala ya Ulinzi wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro afanya ziara ya kikazi katika visiwa vya Comoro

Mshauri wa Masuala ya Ulinzi wa Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Comoro mwenye makazi yake Mjini Maputo, Msumbiji, Kanali Mahamud Lwimbo, alifanya ziara ya kikazi katika visiwa vya Comoro ambapo alikutana na Viongozi Wandamizi wa Visiwa hivyo wakiwemo Mhe. Ahmada Mmadi Bolero, Waziri anayehusika na Masuala ya Ulinzi na Kanali Youssouf Idjihadi Mkuu wa Jeshi la Comoro. Alipokutana na Viongozi hawa wa Comoro, Kanali Lwimbo alipata fursa ya kuzungumzia kwa kina umuhimu na...

 

9 years ago

GPL

HALI YA MSHAMBULIAJI WA ZAMANI WA YANGA NSA JOB SI NZURI

Muonekano wa X-Ray ya kichwa ya Nsa Job baada ya kupigwa jiwe mjini Moshi juzi Usiku. Mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Coastal Union (kulia). UCHUNGUZI  wa mwanzo wa madaktari katika Hospitali ya KCMC mjini Moshi, unaonyesha Nsa Job ameumia sana.
Rafiki yake wa karibu leo amesema bado hali ya kiungo huyo na mshambuliaji wa zamani wa Yanga na Coastal Union si nzuri.
“Walifanya kipimo cha CT Scan kuangalia...

 

10 years ago

IPPmedia

Higher learning institutions challenged to produce job creators not job seekers


IPPmedia
Higher learning institutions challenged to produce job creators not job seekers
IPPmedia
Vice President, Dr Mohammed Gharib Bilal yesterday challenged local universities to transform their graduates from Job seekers to job creators. Dr. Bilal made the challenge when addressing the ongoing 6th Higher Education Forum and Exhibition 2014 in ...

 

11 years ago

IPPmedia

Is our education system quality enough to produce job creators and not job ...


IPPmedia
Is our education system quality enough to produce job creators and not job ...
IPPmedia
The Director, knowledge management at the COSTECH, Faith Shimba speaking to participants and media shortly before officially launched the Consortium. On Monday this week, a consortium of academic publishers was launched at the Commission for ...

 

11 years ago

TheCitizen

My enemies sent an assassin to finish me

As one of the most successful people in Mwisho wa Lami, I have always been aware that I have many jealous enemies.

 

11 years ago

TheCitizen

Sh400m needed to finish 78 schemes

The government needs some Sh400 million in order to complete 78 irrigation schemes, which were included in the Big Result Now programme.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani