Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yaya Toure akataa kwenda Man United

Kiungo nyota wa klabu ya Manchester City, Yaya Toure amekataa ofa ya kujiunga na mahasimu wao wa mji mmoja, Manchester United.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Gareth Bale akataa kwenda Man United.

Mshambuliaji wa Real Madrid Gareth Bale amepinga madai kwamba huenda akahamia Manchester United.

 

10 years ago

BBC

Profile: Yaya Toure

Why Ivory Coast star should be African Footballer of the Year

 

10 years ago

BBCSwahili

Pellegrini:''Hatumtegemei Yaya Toure''

Manuel Pelegrini ana matumaini kwamba Manchester City inaweza kupambana ili kushinda taji la ligi kuu nchini Uingereza bila yaya toure

 

10 years ago

BBCSwahili

Yaya Toure mwanasoka bora

Yaya Toure ndiye mchezaji bora wa mwaka .

 

11 years ago

BBCSwahili

Yaya Toure bingwa wa Afrika

Mchezaji wa Manchester City ambaye pia hucheza nafasi ya kiungo cha kati katika timu ya Ivory Coast, Yaya Toure ndiye mwanasoka bora zaidi wa mwaka barani Afrika

 

11 years ago

BBCSwahili

Je utampigia kura Yaya Toure?

Ni mchezaji maarufu wa Manchester City na ameteuliwa kuwania tuzo hii ya mwanakandanda bora zaidi barani Afrika Jee anatanawiri?

 

9 years ago

BBC

Nominee profile: Yaya Toure

Why Yaya Toure should be BBC African Footballer of the Year

 

10 years ago

CloudsFM

Yaya Toure mwanasoka bora Africa

kiungo wa timu ya Manchester City Yaya Toure amekuwa mchezaji wa kwanza kutajwa na shirikisho la soka barani Afrika kuwa mchezaji bora wa mwaka kwa mwaka wanne mfululizo.
Toure ana umri wa miaka 31,aliteuliwa baada ya kucheza kwa kujitoa na kuleta ushindi katika Premier League na League Cup, na pia alijitoa kuisaidia Ivory Coast kuingia katika kombe la mataifa ya Africa yatakayo fanyika baadaye mwaka huu.

Toure amewapiku mshambuliaji kutoka Gabon, Pierre Emerick Aubameyang na golikipa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Je Yaya Toure atatimiza ndoto yake?

Mcheza kiungo cha kati wa Ivory Coast Yaya Toure, anasema kuwa itakuwa ndoto yake kwa timu ya Afrika kucheza fainali ya kombe la dunia nchini Brazil.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani