Yaya Toure akataa kwenda Man United
Kiungo nyota wa klabu ya Manchester City, Yaya Toure amekataa ofa ya kujiunga na mahasimu wao wa mji mmoja, Manchester United.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 Jan
Gareth Bale akataa kwenda Man United.
Mshambuliaji wa Real Madrid Gareth Bale amepinga madai kwamba huenda akahamia Manchester United.
10 years ago
BBC10 years ago
BBCSwahili14 Feb
Pellegrini:''Hatumtegemei Yaya Toure''
Manuel Pelegrini ana matumaini kwamba Manchester City inaweza kupambana ili kushinda taji la ligi kuu nchini Uingereza bila yaya toure
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
11 years ago
BBCSwahili10 Jan
Yaya Toure bingwa wa Afrika
Mchezaji wa Manchester City ambaye pia hucheza nafasi ya kiungo cha kati katika timu ya Ivory Coast, Yaya Toure ndiye mwanasoka bora zaidi wa mwaka barani Afrika
11 years ago
BBCSwahili21 Nov
Je utampigia kura Yaya Toure?
Ni mchezaji maarufu wa Manchester City na ameteuliwa kuwania tuzo hii ya mwanakandanda bora zaidi barani Afrika Jee anatanawiri?
9 years ago
BBC10 years ago
CloudsFM09 Jan
Yaya Toure mwanasoka bora Africa
kiungo wa timu ya Manchester City Yaya Toure amekuwa mchezaji wa kwanza kutajwa na shirikisho la soka barani Afrika kuwa mchezaji bora wa mwaka kwa mwaka wanne mfululizo.
Toure ana umri wa miaka 31,aliteuliwa baada ya kucheza kwa kujitoa na kuleta ushindi katika Premier League na League Cup, na pia alijitoa kuisaidia Ivory Coast kuingia katika kombe la mataifa ya Africa yatakayo fanyika baadaye mwaka huu.
Toure amewapiku mshambuliaji kutoka Gabon, Pierre Emerick Aubameyang na golikipa...
Toure ana umri wa miaka 31,aliteuliwa baada ya kucheza kwa kujitoa na kuleta ushindi katika Premier League na League Cup, na pia alijitoa kuisaidia Ivory Coast kuingia katika kombe la mataifa ya Africa yatakayo fanyika baadaye mwaka huu.
Toure amewapiku mshambuliaji kutoka Gabon, Pierre Emerick Aubameyang na golikipa...
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Je Yaya Toure atatimiza ndoto yake?
Mcheza kiungo cha kati wa Ivory Coast Yaya Toure, anasema kuwa itakuwa ndoto yake kwa timu ya Afrika kucheza fainali ya kombe la dunia nchini Brazil.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania