Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


You can now enjoy fastest internet link, Tigo MD says

Tigo subscribers in Dar es Salaam will now be able to enjoy the fastest internet connection as the company has expanded its 4G LTE service to cover the entire city.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TIGO WAZINDUA HUDUMA MPYA YA INTERNET YA 4G LTE

Wasanii wa vichekesho Bongo, Musa Kitale 'Mkude Simba' na Stan Bakola wakiingia katika ukumbi wa uzinduzi huo wa 4G LTE baada ya kupata maelekezo ya awali kutoka kwa wafanyakazi wa Tigo. Wasanii wa vichekesho Bongo, Musa Kitale 'Mkude Simba' na Stan Bakola wakiingia katika ukumbi wa uzinduzi huo…

 

10 years ago

Michuzi

Tigo yazindua 4G LTE ya internet jijini Dar leo

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa akihutubia hivi sasa kwenye uzinduzi wa 4G LTE ya internet inayozinduliwa leo na Kampuni ya Simu za Mikononi ya Tigo, katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo’s parent company Millicom making Internet more accessible to users across the world

Tigo_Zanzibar_Branch

Tigo Zanzibar branch.

Tigo_Shop_Mbagala_Customers

Tigo shop Mbagala.

By Our Reporter

During its Q1 2015 Results, released in April 2015, Millicom says it saw a 22 percent increase in its revenue which stood at $1.71 billion, and 1.14 million mobile net adds, mostly driven by Tanzania, Colombia, Chad and Honduras.

Millicom which is the parent company to Tigo Tanzania, announced that its overall data penetration increased to 27.6percent of its mobile customer base, an increase of 0.5 percentage points compared to the...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yatoa udhamini kwa washindi wa Tigo Ngorongoro Run kushiriki Tigo Kili Half Marathon 2015

tigo 18

Mkurugenzi Mkuu wa Tigo Kanda ya Kaskazini, David Charles akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo kwa wanariadha ambao walishinda mbio za mwaka jana za Tigo Ngorongoro Run Marathon kushirki kwenye mbio za mwaka huu za Tigo Kili Half Marathon, Kushoto kwake ni Meneja wa Mawasiliano wa Tigo John Wanyancha na Kulia kwake ni mwanariadha Mary Naali na Mjumbe toka Riadha Tanzania Meta Petro.  Mkutano huo ulifanyika Mkoani Arusha jana.

tigo 2

 

9 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya simu ya Tigo yazindua kampeni ya ‘Chagua Tigo Pesa, Inalipa’

1

Mkuu wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana katika uzinduzi wa kampeni ya ya Chagua Tigo Pesa, Inalipa. Kulia ni Meneja  Bidhaa wa Tigo, William Mpinga.

2

Meneja  Bidhaa wa Tigo, William Mpinga (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo. Kushoto ni Mkuu wa wa Kitengo cha Huduma za Kifedha wa Tigo, Ruan Swanepoel.

IMG_2230

Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

Na Dotto Mwaibale

KAMPUNI ya simu ya mkononi ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wateja wa Tigo Pesa kunufaika na huduma ya “Tigo wekeza” kwa kupata faida kupitia akaunti zao

1

Meneja Mkuu wa Tigo Diego Gutierrez akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu huduma mpya ya Tigo Wekeza iliyozinduliwa leo kwa ajili ya kuwawezesha wateja wa Tigo Pesa zaidi ya milioni 3.5 kuweza kupata gawiwo moja kwa moja katika akaunti zao za Tigo Pesa. Kushoto ni Profesa Andrew Temu kutoka mfuko wa fedha Financial Services Deepening Trust (FSDT), wa pili kulia ni Mkuu wa Idara ya Tigo Pesa Andrew Hodgson na wakala wa Tigo Pesa Ramadhan Wangwa.

Tigo Tanzania leo imekuwa...

 

11 years ago

TheCitizen

TZ is EAC’s fastest millionaire creator

Tanzania is the fastest East African country in creating dollar millionaires, according to the African 2013 Wealth Book.

 

11 years ago

East African Business Week

Tanzania grows fastest in EAC


Tanzania grows fastest in EAC
East African Business Week
DAR ES SALAAM, Tanzania – East Africa's second largest economy, Tanzania has recorded the fastest growth in the East Africa Community (EAC) partner states for the period of 2013. Deloitte's Economic Outlook 2014 shows that Tanzania's economy grew ...
Tanzania and Kenya Institutes partner in EA hospitality industryCoastweek

all 2

 

11 years ago

TheCitizen

NMG one of fastest growing African groups

Nation Media Group (NMG) — the parent company of Mwananchi Communications Limited— has been named alongside edible oils manufacturer Bidco as one of Africa’s most dynamic and fastest growing companies that have “clear potential to become global economic leaders.”

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani