Tigo yazindua 4G LTE ya internet jijini Dar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-1A1TEbHYa-E/VToCf2gbAGI/AAAAAAAHS2M/euhWKYgX89o/s72-c/IMG-20150424-WA0030.jpg)
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa akihutubia hivi sasa kwenye uzinduzi wa 4G LTE ya internet inayozinduliwa leo na Kampuni ya Simu za Mikononi ya Tigo, katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Tigo yazindua mtandao wenye kasi zaidi wa 4G LTE jijini Tanga.
Mkuu wa kitengo cha biashara (B2B) katika kampuni ya simu za mkononi ya Tigo Rene Bascope, akihutubia hadhira iliyohudhuria uzinduzi wa mfumo wa intaneti wenye kasi zaidi (4G LTE) uliozinduliwa jana jijini Tanga.
Kamanda wa kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Tanga, Nassor Sisiwaya (wa pili kushoto) akibadilishana mawazo na Meneja Mawasiliano ya Umma wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo John Wanyancha (wa kwanza kulia) wakati wa uzinduzi huo.
Mkuu wa wilaya ya Tanga, Abdullah Lutavi...
10 years ago
GPLTIGO WAZINDUA HUDUMA MPYA YA INTERNET YA 4G LTE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Au2H2NiRfwM/VFDqskks3lI/AAAAAAACt9o/dGm8G9oLcEo/s72-c/1.jpg)
KAMPUNI YA TIGO YATANGAZA USHIIRIKIANO NA MTANDAO WA KIJAMII WA FACEBOOK JIJINI DAR LEO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Au2H2NiRfwM/VFDqskks3lI/AAAAAAACt9o/dGm8G9oLcEo/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UhEOWpO2f_U/VFDqsgb6QDI/AAAAAAACt9s/9xZNQKgctE8/s1600/2.jpg)
Mkuu wa ukuaji na ushirikiano wa mitandao ya kijamii kutoka Tigo, Naheed Hirji, akielezea upatikanaji wa huduma hiyo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-YdSsWPirvZ0/VFDr06YPgFI/AAAAAAACt98/Bm0l2CQV5j8/s1600/3.jpg)
KAMPUNI ya mtandao wa Tigo, imetangaza rasmi ushirikiano kati yao na mtandao wa kijamii wa Facebook ambapo itatoa ofa ya Intaneti itakayotumiwa...
9 years ago
VijimamboKAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA REACH FOR CHANGE WAZINDUA SHINDANO LA WAJASIRIAMALI JIJINI DAR ES SALAAM LEO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LaWD0WPEFjo/VhWFopGjndI/AAAAAAAH9cQ/qxRZrsgCAls/s72-c/1.jpg)
UHURU ONE YAZINDUA MFUMO WA KWANZA WA MAWASILIANO YA 4G DVNO LEO JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-LaWD0WPEFjo/VhWFopGjndI/AAAAAAAH9cQ/qxRZrsgCAls/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0Ceu2yVSkZs/VhWFon_WgcI/AAAAAAAH9cU/Y43AvdS-JIA/s640/2.jpg)
KAMPUNI ya Tigo na kampuni ya UhuruOne wameanzisha...
9 years ago
Dewji Blog26 Nov
Tigo yadhamini onesho la mwanamuziki Moussa Diallo kutoka nchini Mali litafanyika jijini Dar leo
Meneja wa Mawasiliano wa Kampuni ya Simu ya Tigo, John Wanyanja (kulia), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana kuhusu kampuni hiyo kudhamini onesho la mwanamuziki Mousa Diallo kutoka nchini Mali litakalofanyika leo katika Mgahawa wa Chakula na Vinywaji wa Samaki Samaki, Masaki jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Ofisa Mkuu wa Masoko wa Mgahawa wa Samaki Samaki, Saum Wengert na katikati ni Mwanamuziki, Moussa Diallo.
Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Simu ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MHpYLDg3ZLY/UvNVDSnr2bI/AAAAAAAFLG8/SZ8PiXdRrmw/s72-c/MMG20042.jpg)
SAFARI LAGER YAZINDUA MASHINDANO YA NYAMA CHOMA 2014 JIJINI DAR LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-MHpYLDg3ZLY/UvNVDSnr2bI/AAAAAAAFLG8/SZ8PiXdRrmw/s1600/MMG20042.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hmfSmgOjU5M/VImZ9toFdUI/AAAAAAAG2iY/gy_SKNhiuEo/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Huawei yazindua simu mpya aina ya Ascend 6-inch Mate 7 jijini Dar leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-hmfSmgOjU5M/VImZ9toFdUI/AAAAAAAG2iY/gy_SKNhiuEo/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--yuY0ycKXPk/VImZ9hoYlUI/AAAAAAAG2ic/I6ujxXcpuSE/s1600/unnamed%2B(38).jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Dec
Kampuni ya Interswitch yazindua huduma ya malipo kwa njia ya mtandao jijini Dar leo
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Interswitch kwa Afrika Mashariki Bernard Matthewman, akizungumza na wadau mbalimbali Dar es Salaam leo , wakati wa uzinduzi wa kampuni hiyo hapa nchini uliofanyika Hoteli ya Hyatt Regency- Kilimanjaro pamoja na huduma ya malipo kwa njia ya mtandao.
Wadau wakiwa kwenye uzinduzi huo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-bVuGGmmm9p4/Vl7PaRU_4lI/AAAAAAAAUcc/vRpCaHHvsXQ/s640/3.jpg)
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-swvF1Q-xtC8/Vl7PeuUwhhI/AAAAAAAAUc0/lk0IhnhaM5w/s640/5.jpg)
Maofisa wa kampuni hiyo wakiwa kwenye uzinduzi huo.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Tp7ynrrJ9SE/Vl7PfR2OXnI/AAAAAAAAUc4/jnA5KrTvdMM/s640/6.jpg)
Mmoja wa maofisa wa kampuni hiyo akiwa katika uzinduzi huo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-G04UNqJyF1U/Vl7PigfSCrI/AAAAAAAAUdE/dObV4YhFduI/s640/7.jpg)
Mkutano na...