Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TIGO WAZINDUA HUDUMA MPYA YA INTERNET YA 4G LTE

Wasanii wa vichekesho Bongo, Musa Kitale 'Mkude Simba' na Stan Bakola wakiingia katika ukumbi wa uzinduzi huo wa 4G LTE baada ya kupata maelekezo ya awali kutoka kwa wafanyakazi wa Tigo. Wasanii wa vichekesho Bongo, Musa Kitale 'Mkude Simba' na Stan Bakola wakiingia katika ukumbi wa uzinduzi huo…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Smile wazindua huduma mpya ya internet

Meneja wa Masoko wa Kampuni ya Smile Communications,Linda Chiza (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuzindua huduma mpya ya SmileOn itakayomuwezesha Mteja wa Smile kutumia huduma ya Internet hapa kama kifurushi chake kikekwisha.kushoto ni Afisa Mkuu wa Utendaji na Miradi,Athuman Ibrahim Nzowa na kulia ni Meneja Huduma kwa Wateja,Gabriel Ndobho.

 

10 years ago

Michuzi

Tigo yazindua 4G LTE ya internet jijini Dar leo

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa akihutubia hivi sasa kwenye uzinduzi wa 4G LTE ya internet inayozinduliwa leo na Kampuni ya Simu za Mikononi ya Tigo, katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yafikisha upatikanaji wa huduma ya 4G LTE Dodoma

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Kaskazini akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) katika uzinduzi wa huduma ya 4G LTE jijini Dodoma, kushoto ni Meneja wa huduma ya 4G LTE, Benedict Mponzi.

Mkurugenzi wa kanda ya Kaskazini kutoka Tigo Bw.George Lugata akimkabidhi Bw.Danson Kaijage kushoto laini mpya ya 4G LTE katika uzinduzi wa huduma ya 4G LTE, katikati ni Territory Meneja wa Dodoma, Singida na Kondoa Bw.Innocent Anthony kutoka Tigo jijini Dodoma.

-Ni baada ya kuanza kutoa huduma...

 

9 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO, UHURU ONE YAANZISHA MFUMO MPYA WA MTANDAO WA 4G LTE

Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez (kushoto), akizungumza katika mkutano na  waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam jana kwenye mkutano juu ya kampuni ya Tigo kuanza kutumia mfumo wa kwanza Afrika wa mawasiliano ya 4G DVNO ikishirikiana na Uhuru One.Mkurugenzi Mkuu wa mradi huo Uhuru One, Rajab Katunda (kushoto), akizungumza katika mkutano huo kuhusu mradi huo. (katikati) ni Meneja Mradi huo wa Tigo, Kobbina Awuch.
Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez (kushoto) na Mkurugenzi Mkuu wa mradi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo na DTBi wazindua huduma ya kurejesha kumbukumbu na kuzuia wizi simu za mkononi

Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Dk.Binilith Mahenge (kulia), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kituo cha oparesheni  cha Kampuni ya MagilaTech, iliyotengeneza teknolojia ya tigo backup inayowezesha kurejesha kumbukumbu na kuzuia wizi wa simu za mkononi Dar es Salaam jana.

Wanahabari na wadau wengine wakiwa kwenye uzinduzi huo.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa DTBi, Mhandisi George Mulamula (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo.

Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez (kulia),...

 

9 years ago

StarTV

TCCL wazindua teknolojia ya 4G – LTE

Kampuni ya Simu ya TTCL, imezindua teknolijia mpya ya 4G-LTE, inayotarajiwa kuchochea mapinduzi ya upatikanaji wa huduma za data na kuongeza mchango kwenye pato ghafi la taifa kwa asilimia 5 hadi 6, tofauti na sasa ambapo mchango wake ni kati ya asilimia 1.4 hadi 2.

Huduma hiyo ya 4G-LTE, inayozinduliwa na TTCL itaongeza kasi na ufanisi kwenye huduma za internet ambazo kwa sasa zinatolewa pia na kampuni nyingine za simu za mkononi.

 Uzinduzi wa huduma hii unakuja wakati ambapo soko la huduma...

 

9 years ago

Vijimambo

KAMPUNI YA SIMU YA TIGO NA DTBi WAZINDUA HUDUMA YA KUREJESHA KUMBUKUMBU NA KUZUIA WIZI WA SIMU ZA MKONONI DAR ES SALAAM LEO

Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira, Dk.Binilith Mahenge (kulia), akikata utepe kuashiria uzinduzi wa kituo cha oparesheni  cha Kampuni ya MagilaTech, iliyotengeneza teknolojia ya tigo backup inayowezesha kurejesha kumbukumbu na kuzuia wizi wa simu za mkononi Dar es Salaam leo. Wanahabari na wadau wengine wakiwa kwenye uzinduzi huo.Ofisa Mtendaji Mkuu wa DTBi, Mhandisi George Mulamula (kulia), akizungumza katika uzinduzi huo.

Meneja Mkuu wa Tigo, Diego Gutierrez (kulia), akitoa hutuba...

 

9 years ago

Michuzi

Channel 10 wazindua huduma mpya ya Application Phone

Kampuni ya AFRICA MEDIA GROUP LTD (AMGL)  inayomiliki kituo cha CHANNEL TEN na RADIO MAGIC FM imezindua huduma mpya ya kimtandao kupitia teknologia  ya Application phone, itakayowezesha wananchi kwa ujumla kupata Habari kem kem kupitia simu zao za mkononi    Mtandao huo ambao utawawezesha watanzamaji wa Channel ten kupata habari tayari umezinduliwa ambapo mtaalum Mkuu wa kitendo cha mtandao Channel ten amesema kuwa kufanya hivyo kunawarahishia watazamaji kupata habari kwa muda muafaka mara...

 

10 years ago

Michuzi

huduma mpya ya TTCL ya kupata matangazo ya Televisheni kwa njia ya internet

Ofisa wa Kampuni ya Simu Tanzania Bw. Karim Bablia aelezea huduma mpya ya TTCL ya kupata matangazo ya Televisheni kwa njia ya internet katika banda lao kwenye maonesho ya SabaSaba jijini Dar es salaam Juni 30, 2015

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani