Channel 10 wazindua huduma mpya ya Application Phone
![](http://4.bp.blogspot.com/-e5SywNMdd80/VnJPQlXuIvI/AAAAAAAIM9E/h4Fl_VdYRzo/s72-c/IMAGE.png)
Kampuni ya AFRICA MEDIA GROUP LTD (AMGL) inayomiliki kituo cha CHANNEL TEN na RADIO MAGIC FM imezindua huduma mpya ya kimtandao kupitia teknologia ya Application phone, itakayowezesha wananchi kwa ujumla kupata Habari kem kem kupitia simu zao za mkononi Mtandao huo ambao utawawezesha watanzamaji wa Channel ten kupata habari tayari umezinduliwa ambapo mtaalum Mkuu wa kitendo cha mtandao Channel ten amesema kuwa kufanya hivyo kunawarahishia watazamaji kupata habari kwa muda muafaka mara...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSmile wazindua huduma mpya ya internet
10 years ago
GPLTIGO WAZINDUA HUDUMA MPYA YA INTERNET YA 4G LTE
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sJq_lrvNDNw/U7Vo6JdtRWI/AAAAAAAFuqc/bqKgj8n2G8c/s72-c/unnamed+(55).jpg)
VODACOM NA CRDB BENKI WAZINDUA HUDUMA MPYA YA M-PESA
![](http://1.bp.blogspot.com/-sJq_lrvNDNw/U7Vo6JdtRWI/AAAAAAAFuqc/bqKgj8n2G8c/s1600/unnamed+(55).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vYI3pbqd8vc/U7Vo6IO2EMI/AAAAAAAFuqU/CJM_oDaGOUs/s1600/unnamed+(56).jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Jun
BM Hair & Beauty Clinic wazindua huduma mpya jijini Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-yV2ADaBO-J8/VX2Dxf70A0I/AAAAAAABhnY/0tnh44Jluak/s640/DSC_0105.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mOEFPNyn5l4/VX2DxwhSOGI/AAAAAAABhnc/h8D89Qbmz1A/s640/DSC_0109.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akionyesha glasi juu yenye kinywaji pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya BM Hair & Beauty Clinic, Benno Chelele kuashiria kuzinduliwa kwa huduma mpya.
![](http://2.bp.blogspot.com/-7RDJGJsk5eU/VX2DpstOVgI/AAAAAAABhmk/COB4RlJEDs0/s640/DSC_0053.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O2h96dqyl2w/VX2DowVosFI/AAAAAAABhmg/vheFsWXlAVw/s640/DSC_0062.jpg)
Mkuu wa...
9 years ago
Dewji Blog08 Oct
Taasisi ya fedha ya FAIDIKA wazindua huduma mpya ya ‘Faidika na Samsung Tabs’ kwa wateja wa Dar
Ofisa Mtendaji mpya wa Faidika, Bw. Mbuso Dlamini wa pilikutoka kushoto akiwa sambamba na Meneja matekeleo wa taasisi hiyo, Haruna Feruzi wakiwa wameshika moja ya Samsung galaxy tab ambazo watakuwa wanakopesha wateja wao kuanzia sasa. Wanaofuatia ni Meneja wa kitengo cha Mauzo SME, kutoka kampuni ya AIRTEL, Bw. Killian Nango akishikilia bidhaa hizo pamoja na Meneja wa Samsung, Bw. Payton Kwembe. Wakionesha kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema leo jijini Dar es Salaam. (Picha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI0fHBt*XyEyT0li0dRCtoy2xs0eoFnehojAILulRj3W*sQKHR8i1KYA2Yer*98VCUFlpHgT-70y*dHRI7vgA0-j/pic5.jpg?width=650)
AIRTEL WAZINDUA HUDUMA YA UNI WI-FI
10 years ago
GPL10 Nov
10 years ago
MichuziNHIF WAZINDUA MPANGO WA HUDUMA ZA MADAKTARI BINGWA MANYARA.
Baadhi ya wakazi wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, wakishuhudia Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Dk Joel Nkaya akizindua mpango wa huduma za madaktari bingwa mkoani humo, zilizowezeshwa na NHIF
10 years ago
GPLNMB, AIRTEL WAZINDUA HUDUMA YA KIFEDHA KWA NJIA YA MTANDAO