TCCL wazindua teknolojia ya 4G – LTE
Kampuni ya Simu ya TTCL, imezindua teknolijia mpya ya 4G-LTE, inayotarajiwa kuchochea mapinduzi ya upatikanaji wa huduma za data na kuongeza mchango kwenye pato ghafi la taifa kwa asilimia 5 hadi 6, tofauti na sasa ambapo mchango wake ni kati ya asilimia 1.4 hadi 2.
Huduma hiyo ya 4G-LTE, inayozinduliwa na TTCL itaongeza kasi na ufanisi kwenye huduma za internet ambazo kwa sasa zinatolewa pia na kampuni nyingine za simu za mkononi.
Uzinduzi wa huduma hii unakuja wakati ambapo soko la huduma...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IWEt_nklkbY/Vnqc64SnjGI/AAAAAAAAF2M/Qbub-RPmEwg/s72-c/IMG_9436.jpg)
TTCL Yazindua Teknolojia ya 4G LTE
![](http://1.bp.blogspot.com/-IWEt_nklkbY/Vnqc64SnjGI/AAAAAAAAF2M/Qbub-RPmEwg/s640/IMG_9436.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YBxgaAxT0VQ/Vnqc6wwCW_I/AAAAAAAAF2Q/r_jIUHlL4b4/s640/IMG_9412.jpg)
10 years ago
GPLTIGO WAZINDUA HUDUMA MPYA YA INTERNET YA 4G LTE
10 years ago
Habarileo25 Apr
Teknolojia mpya 4G LTE yaingia Jijini
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali inashirikiana na sekta binafsi, ikiwa ni pamoja na kampuni za simu za mkononi kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama).
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
TCCL kunua umeme wa MVA 40 Tanesco
KAMPUNI ya Saruji Tanga (TCCL), imeingia makubalino ya kununua umeme wa kiwango cha MVA 40 na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) kituo cha Pongwe, jijini Tanga. Akizungumza wakati wa kusaini...
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Wanahisa TCCL kupata gawio bil. 7/-
KAMPUNI ya Saruji ya Tanga (TCCL) kupitia bodi yake Wakurugenzi imeidhinisha gawio la hisa la sh bilioni 7 kwa wanahisa wake baada ya kupata faida ya sh bilioni 32.4 kwa...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
TTCL kuzindua Huduma ya 4G LTE kesho
Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) inazindua rasmi teknolojia ya Long Term Evolution (LTE) inayojulikana kwa jina la mtandao wa 4G. Awamu ya kwanza inayoanza leo siku ya uzinduzi itatoa huduma katika maeneo 11 Jijini Dar es salaam.
Maeneo hayo ni pamoja na Uwanja wa Ndege wa Mwl J.K. Nyerere, Pugu Road, Posta Mpya, Upanga, Kinondoni, Ubungo, Oysterbay, Mwenge, Mbezi Tangibovu, Mbezi Exchange, Kunduchi Salasala na Wazo Tegeta. Awamu pili itakuwa kupeleka mawasiliano hayo katika maeneo...
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Huduma ya 4G LTE yapiga hodi mikoa mitano
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
Tigo yafikisha upatikanaji wa huduma ya 4G LTE Dodoma
Mkurugenzi wa kanda ya Kaskazini kutoka Tigo Bw.George Lugata akimkabidhi Bw.Danson Kaijage kushoto laini mpya ya 4G LTE katika uzinduzi wa huduma ya 4G LTE, katikati ni Territory Meneja wa Dodoma, Singida na Kondoa Bw.Innocent Anthony kutoka Tigo jijini Dodoma.
-Ni baada ya kuanza kutoa huduma...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1A1TEbHYa-E/VToCf2gbAGI/AAAAAAAHS2M/euhWKYgX89o/s72-c/IMG-20150424-WA0030.jpg)
Tigo yazindua 4G LTE ya internet jijini Dar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-1A1TEbHYa-E/VToCf2gbAGI/AAAAAAAHS2M/euhWKYgX89o/s1600/IMG-20150424-WA0030.jpg)