Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TTCL Yazindua Teknolojia ya 4G LTE

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura (kushoto) na Ofisa Ufundi (IT) wa kampuni hiyo, Rehema Maswanya (kulia) kwa pamoja wakifungua pazia kuashiria uzinduzi wa teknolojia ya 4G LTE iliyozinduliwa leo jijini Dar es Salaam. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu nchini Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya uzinduzi wa teknolojia ya 4G LTE inayotolewa na kampuni hiyo. Kushoto ni...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

TTCL kuzindua Huduma ya 4G LTE kesho

hqdefault

Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) inazindua rasmi teknolojia ya Long Term Evolution (LTE) inayojulikana kwa jina la mtandao wa 4G. Awamu ya kwanza inayoanza leo siku ya uzinduzi itatoa huduma katika maeneo 11 Jijini Dar es salaam.

Maeneo hayo ni pamoja na  Uwanja wa Ndege wa Mwl J.K. Nyerere, Pugu Road, Posta Mpya, Upanga, Kinondoni, Ubungo, Oysterbay, Mwenge, Mbezi Tangibovu,  Mbezi Exchange, Kunduchi Salasala na Wazo Tegeta.  Awamu pili itakuwa kupeleka mawasiliano hayo katika maeneo...

 

9 years ago

StarTV

TCCL wazindua teknolojia ya 4G – LTE

Kampuni ya Simu ya TTCL, imezindua teknolijia mpya ya 4G-LTE, inayotarajiwa kuchochea mapinduzi ya upatikanaji wa huduma za data na kuongeza mchango kwenye pato ghafi la taifa kwa asilimia 5 hadi 6, tofauti na sasa ambapo mchango wake ni kati ya asilimia 1.4 hadi 2.

Huduma hiyo ya 4G-LTE, inayozinduliwa na TTCL itaongeza kasi na ufanisi kwenye huduma za internet ambazo kwa sasa zinatolewa pia na kampuni nyingine za simu za mkononi.

 Uzinduzi wa huduma hii unakuja wakati ambapo soko la huduma...

 

10 years ago

Habarileo

Teknolojia mpya 4G LTE yaingia Jijini

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame MbarawaWAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali inashirikiana na sekta binafsi, ikiwa ni pamoja na kampuni za simu za mkononi kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama).

 

10 years ago

Michuzi

Tigo yazindua 4G LTE ya internet jijini Dar leo

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Prof. Makame Mbarawa akihutubia hivi sasa kwenye uzinduzi wa 4G LTE ya internet inayozinduliwa leo na Kampuni ya Simu za Mikononi ya Tigo, katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yazindua mtandao wenye kasi zaidi wa 4G LTE jijini Tanga.

2kZxVbUbMAXNvi9ShJcQh799zxPA5nPVZnWdsnn_LlI,kCddjQy91QbZidWHsDIOoNLjD2VmVVQMcgJSuW0UFwwMkuu wa kitengo cha biashara (B2B) katika kampuni ya simu za mkononi ya Tigo Rene Bascope, akihutubia hadhira iliyohudhuria uzinduzi wa mfumo wa intaneti wenye kasi zaidi (4G LTE) uliozinduliwa jana jijini Tanga.

z9Uy83c8tTzlfFNhBmesVTXqkXTmtLiciIi5A7t3eQ8,y5qSqowWf8pt-_v_CDtCfGOTFDlyp0z_4GMLfrxAd9kKamanda wa kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Tanga, Nassor Sisiwaya (wa pili kushoto) akibadilishana mawazo na Meneja Mawasiliano ya Umma wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo John Wanyancha (wa kwanza kulia) wakati wa uzinduzi huo.

C5IWFoWZuafemZP_-Y2o_9VQm-8UKOY0oiMYsxqiXbc,jLL1w5SjVm_HNg0L702zDn9OlWDIU5fHDET71oDgw9A,aDA1jn2APCsB_QxjQtUmLue63tVVXj2qNsABrdDTma8Mkuu wa wilaya ya Tanga, Abdullah Lutavi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TTCL yazindua promosheni ya bewerere

KAMPUNI ya Simu Tanzania (TTCL) imezindua promosheni inayolenga kuwapa wananchi huduma bora kwa bei nafuu inayojulikana kwa jina la Bwerere. Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Ofisa...

 

10 years ago

Michuzi

TTCL Yakuza Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, Waziri Mkuu Atembelea Banda Lao

Waziri Mkuu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Peter Pinda akiwapongeza washiriki kwa kubuni  huduma mbalimbali katika Maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba. Wa pili kutoka kulia ni Kaimu mkuu wa Biashara Kanda ya Dar es Salaam Bw. Karim Bablia. Waziri Mkuu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Peter Pinda akiwapongeza washiriki kwa kubuni huduma mbalimbali katika Maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba. Wa pili kutoka kulia ni Kaimu mkuu wa Biashara Kanda ya Dar es Salaam Bw. Karim Bablia.Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Veronica Ngusaru (kushoto) kuhusu faida mbalimbali za kutumia mtandao wa TTCL ndani ya banda la kampuni hiyo alipotembelea Maonesho ya 39 ya Kimataifa ya Biashara ya Sabasaba. Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Veronica Ngusaru (kushoto) kuhusu faida mbalimbali za kutumia mtandao wa TTCL ndani ya banda la kampuni hiyo alipotembelea Maonesho ya 39 ya Kimataifa...

 

11 years ago

Michuzi

TTCL YAZINDUA HUDUMA YAKE MPYA YA BWERERE.

 Afisa Mkuu wa Masoko na Mauzo TTCL,Bwa.Peter Ngota akionesha kipeperushi chenye taarifa mbalimbali kuhusiana na huduma yao mpya iliyojulikana kwa jina la Bwerere,Kwa waandishi wa habari,huduma hiyo imezinduliwa leo kwenye moja ya ukumbi wa mikutano ndani ya Ofisi za kampuni hiyo,zilizopo makao makuu mtaa wa Samora Jijini Dar.  Baadhi ya Wandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali wakiwa kwenye mkutano wa uzinduzi wa huduma mpya ya TTCL iliyojulikana kwa jina la Bwerere ,kwenye moja ya...

 

10 years ago

Michuzi

TTCL yazindua mnara wa mawasiliano ya simu mkoani Tanga

Katika adhima ya kufikisha mawasiliano vijijini, Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) imezindua mnara wa mawasiliano ya simu katika kata ya Pagwi, wilaya ya Kilindi Mkoa wa Tanga.
Akihutubia mamia ya wananchi waliohudhuria tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Kilindi Selemani Liwowa alisema kwa kupata mawasiliano itasaidia wananchi kuwasiliana pamoja na kutafuta fursa mbalimbali kwa ajili maendeleo. Aidha, Mkuu wa Wilaya alisisitiza wananchi kutumia mawasiliano ya simu kwa ajili ya shughuli za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani