Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YOUTH FOR AFRICA (YOA) YATAMBULISHA TUZO ZA VIJANA CHINI MIAKA 30

Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Youth For Africa (YOA) Harisson Anthony Mbugi ( wa pili kulia) akiongea na wandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa kutambulisha rasmi tuzo za vijana chini ya miaka 30. Kushoto kwake ni Meneja mauzo na masoko wa Push Mobile, Ezekiel Mukundi akifuatiwa na Ofisa YOA, Abdul Lukanza. Utambulisho uliofanyika Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam Oktoba 2-2014.
Youth For Africa (YOA), Shirika la kitaifa linaloongozwa na vijana ambalo makao yake yapo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Youth for Africa (YOA) yatambulisha tuzo za Under 30

1

Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Youth For Africa (YOA) Harisson Anthony Mbugi akihojiwa na mwandishi wa habari mudamfupi baada  ya kutambulisha rasmi tuzo za vijana chini ya miaka 30 na upendekezaji wa vijana hao, iliyofanyika Idara Maelezo jijini Dar es Salaam Oktoba 23.

Youth For Africa (YOA), Shirika la kitaifa  linaloongozwa na vijana  ambalo makao yake  yapo Dar es Salaam linapenda kuwataarifu wanahabari  na umma  kuhusu  tuzo za vijana chini ya miaka 30 kwa mwaka 2014 ( Under-30 youth...

 

10 years ago

GPL

YOUTH FOR AFRICA (YOA) KUJA NA TUZO ZA UNDER 30 DAR

Mwanzilishi na Mkurugenzi wa Youth For Africa (YOA) Harisson Mbugi akizungumza na wanahabari. (Hawapo pichani) Sehemu ya taarifa kwa umma. SHIRIKA la  YOUTH FOR AFRICA (Yoa) limejipanga katika kuleta mapinduzi kwa kuanzisha tuzo za vijana chini ya miaka 30, kwa kushirikisha nyanja mbalimbali ikiwemo kilimo, uvumbuzi,…

 

11 years ago

GPL

AIRTEL YAPIGA TAFU TIMU YA TAIFA YA VIJANA CHINI YA MIAKA 17

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Slaa (kushoto) akimuongoza mchezaji wa zamani wa Manchester United Andy Cole kwenda kuwafunda vijana wa timu ya Taifa chini ya miaka 17. Shughuli hiyo ilifanyika jana Dar es Salaam katika viwanja vya Karume mara baada ya mchezaji huyo kuzuru/kutembelea ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Airtel Tanzania Bwana Sunil Colaso.… ...

 

10 years ago

Michuzi

msimu wa tano wa mashindano ya soka kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars wazinduliwa leo

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania leo imezindua rasmi msimu wa tano wa mashindano ya soka kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars ambayo yataanza kutimua vumbi Agosti 8 katika ngazi ya awali na kuhitimishwa kwa fainali za Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia Septemba 11 - 21 mwaka huu.  Akiongea na waandishi wa habari kwenye hafla ya uzinduzi jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania Beatrice Singano amesema kampuni ya Airtel Tanzania ...

 

10 years ago

Vijimambo

AFRICA’S REGIONAL NETWORK FOR YOUTH POLICIES EXPERTS LAUNCHED AT THE FIRST GLOBAL FORUM ON YOUTH POLICIES ON BAKU, AZERBAIJAN.

Invest in Youth LogoAfrica made history during the closing session of the just concluded First Global Forum on Youth Policies, held in Baku, Azerbaijan by announcing the birth of African Network of Youth Policy Experts (AfriNYPE) to advance the cause of youth policies in the region.The network was announced at the closing plenary session attended by over 700 invited delegates constituting of experts, researchers, professors, government representatives across the world, and the United Nations...

 

10 years ago

Dewji Blog

Africa’s Regional Network for Youth Policies Experts launched at the First Global Forum on Youth Policies on Baku, Azerbaijan

Invest in Youth Logo

Africa made history during the closing session of the just concluded First Global Forum on  Youth Policies, held in Baku, Azerbaijan by announcing the birth of African Network of Youth  Policy Experts (AfriNYPE) to advance the cause of youth policies in the region.

The network was announced at the closing plenary session attended by over 700 invited delegates constituting of experts, researchers, professors, government representatives across the world, and the United Nations...

 

11 years ago

GPL

MTOTO CHINI YA MIAKA 18 AFANYA UKAHABA

Na Waandishi Wetu
KIKOSI kazi cha Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ Kanda ya Ziwa, kinaendelea kufukua uchafu unaofanyika jijini hapa, safari hii kimemnasa binti mwenye umri chini ya miaka 18 akifanya ukahaba wikiendi iliyopita bila wasiwasi wowote. OFM Kanda ya Ziwa, kikiwa ni kitengo kipya kilichoteuliwa rasmi kushughulikia kadhia za mikoa yote inayozunguka Ziwa Victoria kilinasa tukio hili laivu na kulifuatilia kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Karume: Rais bora awe na miaka si chini ya 50

Balozi Mstaafu Ali Abeid Karume amesema mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lazima awe amepevuka na kwamba awe na umri kuanzia miaka 50 na siyo 40 kama inavyotakiwa na Katiba ya mwaka 1977.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani