Zahara anena baada ya kushindwa kupata kura za kutosha Tabora
Baada ya kura kutotosha kumfanya apite katika kura za maoni kugombea Ubunge kwa viti vya Vijana mkoani Tabora, Zahara Muhidin Issa Michuzi (pichani) amepokea matokeo kwa moyo mkunjufu na kumpongeza mshindi Irene Uwoya na kumuahidi ushirikiano katika mambo yote mema ya kuendeleza vijana mkoani humo.
Zahara ambaye sasa ataelekeza nguvu zake katika kusaka digrii ya pili ya uchumi, amesema kwamba anawashukuru wajumbe wa mkutano wa uchaguzi, baba yake, mama walezi, kaka Mkala Fundikira wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLZUHURA MICHUZI ANENA BAADA YA KUSHINDWA KUPATA KURA ZA KUTOSHA TABORA
10 years ago
MichuziBINTI YETU ANENA BAADA YA KUSHINDWA KUPATA KURA ZA KUTOSHA TABORA
10 years ago
MichuziBinti yetu Zahara kura hazikutosha dhidi ya Irene Uwoya Tabora
Na Mkala Fundikira wa TBN kanda ya MagharibiLeo hii mchana binti ya mpiga picha na blogger maarufu nchini Muhidin Issa Michuzi Bi Zahara Michuzi alishindwa kupata kura za kutosha kumwezesha kushinda nafasi ya ubunge wa vijana kupitia tiketi ya CCM mkoa wa Tabora baada ya msanii wa filamu Bi Irene Uwoya kupata kura 34 kati ya 39 zilizopigwa.
Zahara ambaye ni mhitimu wa shahada ya uchumi toka chuo kikuu cha UDOM aliyakubali...
10 years ago
VijimamboZAHARA MUHIDIN MICHUZI KURA HAZIKUTOSHA DHIDI YA IRENE UWOYA TABORA
Leo hii mchana binti ya mpiga picha wa rais Kikwete katika na blogger maarufu hapa nchini, Muhidin Issa Michuzi Bi Zahara Michuzi alishindwa kupata kura za kutosha kumwezesha kushinda nafasi ya ubunge wa vijana kupitia tiketi ya CCM mkoa wa Tabora baada ya msanii wa filamu Bi Irene Uwoya kupata kura 34 kati ya 39 zilizopigwa.
Zahara ambaye ni mhitimu wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-KcwfEVwEfGA/Vb5jca-2oqI/AAAAAAAHtZQ/TTBWNQe8qaI/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
KILA LA HERI BINTI YETU ZAHARA KWENYE KURA ZA MAONI ZA UBUNGE WA CCM VIJANA MKOANI TABORA
![](http://4.bp.blogspot.com/-KcwfEVwEfGA/Vb5jca-2oqI/AAAAAAAHtZQ/TTBWNQe8qaI/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
Na Jeff Msangi wa TBN UghaibuniNyota njema huonekana asubuhi. Bila shaka umewahi kusikia msemo huu. Kwa Zahara Muhidini Issa Michuzi, nyota yake njema ni tunu ya uongozi. Tangu alipoweza kutambua maana na tofauti ya jambo jema na baya, amekuwa kiongozi.Muhtasari wa maisha yake unaonyesha alizaliwa mnano tarehe 2 Septemba mwaka 1987 Nzega mkoani Tabora. Amesomea katika shule zifuatazo;*Shule Ya Msingi Rufita, Tabora- 1995-2001*Shule Ya Sekondari Kazima, Tabora-2002-2005*Shule Ya Sekondari Ya...
9 years ago
Bongo Movies11 Nov
Maneno ya Masanja Baada ya Kushindwa Kura za Maoni Ludewa..
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/l5U69tqPk5XoFRHB0KOUNwA9wVVni4LxCn6f9KVwKXkJmStOAN4zaxcbd49VDR5kvlRk0-6nhqk4SIKPxR8Ji6ncl2hm-8wU/unnamed285729.jpg?width=650)
ZAHARA KUGOMBEA UBUNGE VITI MAALUM, TABORA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KcwfEVwEfGA/Vb5jca-2oqI/AAAAAAAHtZQ/TTBWNQe8qaI/s72-c/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
Kila la heri binti yetu mpendwa zahara huko Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-KcwfEVwEfGA/Vb5jca-2oqI/AAAAAAAHtZQ/TTBWNQe8qaI/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
Na Jeff Msangi wa TBN UghaibuniNyota njema huonekana asubuhi. Bila shaka umewahi kusikia msemo huu. Kwa Zahara Muhidini Issa Michuzi, nyota yake njema ni tunu ya uongozi. Tangu alipoweza kutambua maana na tofauti ya jambo jema na baya, amekuwa kiongozi.Muhtasari wa maisha yake unaonyesha alizaliwa mnano tarehe 2 Septemba mwaka 1987 Nzega mkoani Tabora. Amesomea katika shule zifuatazo;*Shule Ya Msingi Rufita, Tabora- 1995-2001*Shule Ya Sekondari Kazima, Tabora-2002-2005*Shule Ya Sekondari Ya...
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Mjue kwa undani Zahara M. Michuzi Ubunge viti maalum Tabora
![](http://4.bp.blogspot.com/-KcwfEVwEfGA/Vb5jca-2oqI/AAAAAAAHtZQ/TTBWNQe8qaI/s640/unnamed%2B%252857%2529.jpg)
Na Jeff Msangi wa TBN Ughaibuni
Nyota njema huonekana asubuhi. Bila shaka umewahi kusikia msemo huu. Kwa Zahara Muhidini Issa Michuzi, nyota yake njema ni tunu ya uongozi. Tangu alipoweza kutambua maana na tofauti ya jambo jema na baya, amekuwa kiongozi.
Muhtasari wa maisha yake unaonyesha alizaliwa mnano tarehe 2 Septemba mwaka 1987 Nzega mkoani Tabora. Amesomea katika shule zifuatazo;
*Shule Ya Msingi Rufita, Tabora- 1995-2001
*Shule Ya Sekondari Kazima, Tabora-2002-2005
*Shule Ya...