ZAIDI YA WANAWAKE 600 KUNUFAISHWA NA ELIMU YA UJASILIAMALI MKOANI MWANZA
Afisa Uhusiano wa TBS, Roida Andusamile akielezea jukumu la TBS katika kuwaelimisha wanawake wajasiriamali wa Kitanzania watakaoshiriki katika kampeni ya Mwanamke na Uchumi juu ya ubora na viwango katika bidhaa wanazoandaa. Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Angels Moment, Naima Malima akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Kampeni ya Mwanamke na Akiba inayotarajiwa kufanyika Mkoani Mwanza kuanzia Septemba 4-5, ambapo zaidi ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Wanawake 600 kupewa elimu ya ujasiriamali
ZAIDI ya wanawake 600 mkoani Mwanza, wanatarajiwa kupata elimu juu ya ujasiriamali, usimamizi wa fedha, uwekaji akiba pamoja na mafunzo ya afya bora katika viwanja vya Mwaloni Kirumba Septemba 4...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
Wanawake 600 kupata elimu ya biashara
ZAIDI ya wanawake 600 jijini Mwanza, watapata elimu ya ujasiriamali, usimamizi wa fedha, uwekaji akiba na afya bora. Wanawake na vijana kutoka wilaya za Magu, Ilemela, Misungwi na Nyamagana watashiriki...
10 years ago
GPLAIRTEL KUWAPATIA VIJANA ZAIDI YA 500 ELIMU YA UJASIRIAMALI MKOANI ARUSHA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVX16ma6BpqjFDqhUvlstr2dbfkdYHTSaPkQDbtT119fZPQcfGBv6TSfoiGMSJmwgW-HbNHQtcE9KsvJOL2jkkWv/1ajaliyabasi1.jpg)
TASWIRA ZA AJALI YA BASI LA LUHUYE LILILOUA ZAIDI YA WATU 10 JANA MKOANI MWANZA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_gAPXjhJVeI/Uvkq36XRJ0I/AAAAAAAFMO0/7U2sWMBh1EA/s72-c/unnamed+(43).jpg)
Katibu Mkuu Elimu afungua Mafunzo Kazini kwa Walimu, atembelea shule na vyuo mkoani Mwanza
![](http://2.bp.blogspot.com/-_gAPXjhJVeI/Uvkq36XRJ0I/AAAAAAAFMO0/7U2sWMBh1EA/s1600/unnamed+(43).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wFV_ymyNtNU/Uvkq6V321MI/AAAAAAAFMPY/mmjgM0owzyg/s1600/unnamed+(44).jpg)
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Vifo kutokana na Ebola ni zaidi ya 600
9 years ago
Habarileo02 Dec
Zaidi ya 600 Tanzanite One kuachishwa kazi
KAMPUNI ya madini ya Tanzanite One imetoa likizo ya malipo kwa wafanyakazi 635 kwa lengo la kujiweka sawa katika shughuli za uendeshaji wa kampuni hiyo. Wafanyakazi hao wamepewa likizo ya malipo kuanzia jana huku mchakato wa kuwaachisha kazi baadhi ya wafanyakazi ukiendelea kwa kuhusisha pande zote.
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
KDU wakamata majangili zaidi ya 600
KIKOSI cha Kuzuia Ujangili (KDU) Kanda ya Kati, kimefanikiwa kukamata majangili 692 na meno ya tembo 195 katika Operesheni Tokomeza Ujangili iliyofanyika wilayani Manyoni, Singida kuanzia mwaka 2009 hadi 2012....