Zaidi ya 600 Tanzanite One kuachishwa kazi
KAMPUNI ya madini ya Tanzanite One imetoa likizo ya malipo kwa wafanyakazi 635 kwa lengo la kujiweka sawa katika shughuli za uendeshaji wa kampuni hiyo. Wafanyakazi hao wamepewa likizo ya malipo kuanzia jana huku mchakato wa kuwaachisha kazi baadhi ya wafanyakazi ukiendelea kwa kuhusisha pande zote.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi02 Dec
WAFANYAKAZI 600 WA TANZANITEONE KUACHISHWA KAZI
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/FUv-sx0ue7IePyNElS0LY3Dz7ahih4LKco5TQb5WN0ZYKoBxuFjumcIrWD6ARdAjF9dEpDODzeJpLP0k4M6Jk0CCo8_Jlyd8Ljv7C45gpEVauUGWQRKPaOlsHqQ_PclIJkG70Pg=s0-d-e1-ft#http://eps.mcgill.ca/~seg/old/images/activites/2006_tanzania/11_mineshaft.gif)
Wafanyakazi hao wamepewa likizo ya malipo kuanzia jana huku mchakato wa kuwaachisha kazi baadhi ya wafanyakazi ukiendelea kwa kuhusisha pande zote.
Akizungumza na waandishi wa habari jana Iringa mjini, Meneja wa Kampuni hiyo, Apolinari Modest alisema kwa sasa uongozi wa kampuni hiyo tayari ulishafuata taratibu zote za kuachisha kazi...
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Zaidi ya watu 600 watoa maoni juu ya utendaji kazi wa Umoja wa Mataifa nchini
Pichani ni muonekano wa Banda la Shirika la Umoja wa Mataifa Tanzania ndani ya Karume Hall katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ‘Sabasaba’, ndani ya viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar. Pichani ni wananchi wakitembelea banda hilo na kupata taarifa mbalimbali za shughuli za Umoja huo nchini Tanzania.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akitoa maelezo kwa mwananchi...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_7241.jpg)
ZAIDI YA WATU 600 WATOA MAONI JUU YA UTENDAJI KAZI WA UMOJA WA MATAIFA NCHINI
10 years ago
Habarileo18 Feb
Madereva wa UDA wapinga kuachishwa kazi
MADEREVA wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) wamelalamikia shirika hilo kuwapunguza kazini hivi karibuni bila kufuata utaratibu unaofaa, ikiwa ni pamoja na mchanganuo wa malipo yao.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVWldcALwdAOHUJ7V4HifM8umkI0pW2VNCmY3WRv-kMJ89x0IkymYqe2G7oj2RYMhwJ6UoseiAFziuyNihrDEgcG/manutd.jpg?width=650)
DAVID MOYES KUACHISHWA KAZI SIKU YOYOTE KUANZIA LEO
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Vifo kutokana na Ebola ni zaidi ya 600
11 years ago
Tanzania Daima05 Mar
KDU wakamata majangili zaidi ya 600
KIKOSI cha Kuzuia Ujangili (KDU) Kanda ya Kati, kimefanikiwa kukamata majangili 692 na meno ya tembo 195 katika Operesheni Tokomeza Ujangili iliyofanyika wilayani Manyoni, Singida kuanzia mwaka 2009 hadi 2012....
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Tetemeko laua zaidi ya watu 3,600 Nepal
10 years ago
Mwananchi31 May
Mashine 1,600 zaidi za BVR zawasili nchini