WAFANYAKAZI 600 WA TANZANITEONE KUACHISHWA KAZI
KAMPUNI ya madini ya Tanzanite One imetoa likizo ya malipo kwa wafanyakazi 635 kwa lengo la kujiweka sawa katika shughuli za uendeshaji wa kampuni hiyo.
Wafanyakazi hao wamepewa likizo ya malipo kuanzia jana huku mchakato wa kuwaachisha kazi baadhi ya wafanyakazi ukiendelea kwa kuhusisha pande zote.
Akizungumza na waandishi wa habari jana Iringa mjini, Meneja wa Kampuni hiyo, Apolinari Modest alisema kwa sasa uongozi wa kampuni hiyo tayari ulishafuata taratibu zote za kuachisha kazi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema06 Jan
TanzaniteOne yapunguza wafanyakazi 600
HATIMAYE Kampuni ya TanzaniteOne inayojishughulisha na uchimbaji wa madini ya vito aina ya Tanzan
Mwandishi Wetu
9 years ago
Habarileo02 Dec
Zaidi ya 600 Tanzanite One kuachishwa kazi
KAMPUNI ya madini ya Tanzanite One imetoa likizo ya malipo kwa wafanyakazi 635 kwa lengo la kujiweka sawa katika shughuli za uendeshaji wa kampuni hiyo. Wafanyakazi hao wamepewa likizo ya malipo kuanzia jana huku mchakato wa kuwaachisha kazi baadhi ya wafanyakazi ukiendelea kwa kuhusisha pande zote.
10 years ago
Habarileo18 Feb
Madereva wa UDA wapinga kuachishwa kazi
MADEREVA wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) wamelalamikia shirika hilo kuwapunguza kazini hivi karibuni bila kufuata utaratibu unaofaa, ikiwa ni pamoja na mchanganuo wa malipo yao.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pM3ABSV3WVWldcALwdAOHUJ7V4HifM8umkI0pW2VNCmY3WRv-kMJ89x0IkymYqe2G7oj2RYMhwJ6UoseiAFziuyNihrDEgcG/manutd.jpg?width=650)
DAVID MOYES KUACHISHWA KAZI SIKU YOYOTE KUANZIA LEO
10 years ago
Dewji Blog06 Jul
Zaidi ya watu 600 watoa maoni juu ya utendaji kazi wa Umoja wa Mataifa nchini
Pichani ni muonekano wa Banda la Shirika la Umoja wa Mataifa Tanzania ndani ya Karume Hall katika maonyesho ya 39 ya kimataifa ya biashara ‘Sabasaba’, ndani ya viwanja vya Mwl. J.K Nyerere, barabara ya Kilwa, jijini Dar. Pichani ni wananchi wakitembelea banda hilo na kupata taarifa mbalimbali za shughuli za Umoja huo nchini Tanzania.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akitoa maelezo kwa mwananchi...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_7241.jpg)
ZAIDI YA WATU 600 WATOA MAONI JUU YA UTENDAJI KAZI WA UMOJA WA MATAIFA NCHINI
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-2tjAzUfPL1g/Vm6SBwRoDGI/AAAAAAAAsN8/1aF0qrGEcXQ/s72-c/15.jpg)
NAPE ATAKA WAFANYAKAZI KAZI KWA KUJIAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2tjAzUfPL1g/Vm6SBwRoDGI/AAAAAAAAsN8/1aF0qrGEcXQ/s640/15.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OOgIB_EBpPc/Vm6SBq9h9AI/AAAAAAAAsN4/YPAlbZsufB4/s640/17.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ICZgnMY385w/Vm6SBl7X9aI/AAAAAAAAsOA/aA9I7HuHJA4/s640/19.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3xFW9_9n0sg/Vm6SCmRuSuI/AAAAAAAAsOM/0bBkgGe0_6I/s640/23.jpg)
11 years ago
Dewji Blog30 Apr
Wafanyakazi ‘Katiba na Sheria’ waaswa kuchapa kazi
Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya (TUGHE) Mkoa wa Dar-es-salaam Bw. Hassan Kaumo akiongea na wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara hiyo jijini Dar es Salaam leo (Jumatano, Aprili 30, 2014). Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Bw. Fanuel Mbonde. (Picha na Martha Komba – Wizara ya Katiba na Sheria).
Baadhi ya wafanyakazi wa Wizara ya Katiba na Sheria katika mkutano wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara hiyo...
5 years ago
MichuziWAFANYAKAZI NFRA WAJADILI UFANISI WA KAZI NA MASLAHI YAO