Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TanzaniteOne yapunguza wafanyakazi 600

HATIMAYE Kampuni ya TanzaniteOne inayojishughulisha na uchimbaji wa madini ya vito aina ya Tanzan

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI 600 WA TANZANITEONE KUACHISHWA KAZI

KAMPUNI ya madini ya Tanzanite One imetoa likizo ya malipo kwa wafanyakazi 635 kwa lengo la kujiweka sawa katika shughuli za uendeshaji wa kampuni hiyo. 
Wafanyakazi hao wamepewa likizo ya malipo kuanzia jana huku mchakato wa kuwaachisha kazi baadhi ya wafanyakazi ukiendelea kwa kuhusisha pande zote.
Akizungumza na waandishi wa habari jana Iringa mjini, Meneja wa Kampuni hiyo, Apolinari Modest alisema kwa sasa uongozi wa kampuni hiyo tayari ulishafuata taratibu zote za kuachisha kazi...

 

9 years ago

Raia Mwema

hali tete TanzaniteOne -2

WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene mwishoni mwa wiki (Ijumaa iliyopita) alifanya zi

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Raia Mwema

Hali tete TanzaniteOne

HALI ya mambo si shwari ndani ya kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite ya TanzaniteOne, iliyo

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Mwananchi

Marema yainyemelea TanzaniteOne

Chama cha Wachimbaji Wadogo wa Madini cha Manyara (Marema) kimeitaka Serikali kukipa asilimia 50 ya hisa zake katika migodi ya TanzaniteOne iliyopo Mirerani na kuipongeza kampuni ya wazawa ya Sky Associates Group (LTD) kwa kununua asilimia nyingine 50 ya hisa.

 

10 years ago

Mwananchi

TanzaniteOne yachongewa kwa Kamati ya Bunge

Wachimbaji wadogo wa madini ya tanzanite katika mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro wameishtaki kampuni ya TanzaniteOne kwa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini wakidai kuwa imevamia na kupora baadhi ya migodi na zana za kufanyia kazi na kuharibu miundombinu yake.

 

10 years ago

TheCitizen

Small miners group wants 50pc stake in TanzaniteOne

>Manyara Regional Miners Association (Marema) has asked the government to hand over its 50 per cent stake in TanzaniteOne to the small artisanal miners.

 

11 years ago

TheCitizen

TanzaniteOne’s raises Sh6 billion for mining restart

 Richland Resources -- the parent company of TanzaniteOne Mining Ltd -- is set to restart mining at its tanzanite operations in Tanzania after exceeding the minimum it required from a placing and open offer.

 

9 years ago

Michuzi

SIMBACHAWENE AIASA KAMATI YA PAMOJA YA UENDESHAJI WA MGODI WA TANZANITEONE

WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene ameiasa Kamati ya Pamoja ya Uendeshaji wa Mgodi wa TanzaniteOne, “Joint Operating Committee”-JOC kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi mkubwa ili kuwanufaisha wadau wa Tanzanite katika uvunaji wa madini hayo, huku wakilinda maslahi ya mgodi huo kwa  Taifa.


 Simbachawene ametoa rai hiyo hivi karibuni wakati akizindua Kamati ya hiyo ya JOC, katika hafla iliyofanyika kwenye eneo la mgodi wa TanzaniteOne uliopo Mirerani, katika Wilaya ya Simanjiro...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani