TanzaniteOne yapunguza wafanyakazi 600
HATIMAYE Kampuni ya TanzaniteOne inayojishughulisha na uchimbaji wa madini ya vito aina ya Tanzan
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi02 Dec
WAFANYAKAZI 600 WA TANZANITEONE KUACHISHWA KAZI
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/FUv-sx0ue7IePyNElS0LY3Dz7ahih4LKco5TQb5WN0ZYKoBxuFjumcIrWD6ARdAjF9dEpDODzeJpLP0k4M6Jk0CCo8_Jlyd8Ljv7C45gpEVauUGWQRKPaOlsHqQ_PclIJkG70Pg=s0-d-e1-ft#http://eps.mcgill.ca/~seg/old/images/activites/2006_tanzania/11_mineshaft.gif)
Wafanyakazi hao wamepewa likizo ya malipo kuanzia jana huku mchakato wa kuwaachisha kazi baadhi ya wafanyakazi ukiendelea kwa kuhusisha pande zote.
Akizungumza na waandishi wa habari jana Iringa mjini, Meneja wa Kampuni hiyo, Apolinari Modest alisema kwa sasa uongozi wa kampuni hiyo tayari ulishafuata taratibu zote za kuachisha kazi...
9 years ago
Raia Mwema19 Aug
hali tete TanzaniteOne -2
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene mwishoni mwa wiki (Ijumaa iliyopita) alifanya zi
Paul Sarwatt
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Hali tete TanzaniteOne
HALI ya mambo si shwari ndani ya kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite ya TanzaniteOne, iliyo
Paul Sarwatt
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Marema yainyemelea TanzaniteOne
Chama cha Wachimbaji Wadogo wa Madini cha Manyara (Marema) kimeitaka Serikali kukipa asilimia 50 ya hisa zake katika migodi ya TanzaniteOne iliyopo Mirerani na kuipongeza kampuni ya wazawa ya Sky Associates Group (LTD) kwa kununua asilimia nyingine 50 ya hisa.
10 years ago
Mwananchi29 Oct
TanzaniteOne yachongewa kwa Kamati ya Bunge
Wachimbaji wadogo wa madini ya tanzanite katika mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro wameishtaki kampuni ya TanzaniteOne kwa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini wakidai kuwa imevamia na kupora baadhi ya migodi na zana za kufanyia kazi na kuharibu miundombinu yake.
10 years ago
TheCitizen27 Dec
Small miners group wants 50pc stake in TanzaniteOne
>Manyara Regional Miners Association (Marema) has asked the government to hand over its 50 per cent stake in TanzaniteOne to the small artisanal miners.
11 years ago
TheCitizen17 Jan
TanzaniteOne’s raises Sh6 billion for mining restart
 Richland Resources -- the parent company of TanzaniteOne Mining Ltd -- is set to restart mining at its tanzanite operations in Tanzania after exceeding the minimum it required from a placing and open offer.
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--03_MyYhVR0/VdblJhxl6FI/AAAAAAAHyvc/E7-z9o61484/s72-c/New%2BPicture.png)
SIMBACHAWENE AIASA KAMATI YA PAMOJA YA UENDESHAJI WA MGODI WA TANZANITEONE
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene ameiasa Kamati ya Pamoja ya Uendeshaji wa Mgodi wa TanzaniteOne, “Joint Operating Committee”-JOC kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi mkubwa ili kuwanufaisha wadau wa Tanzanite katika uvunaji wa madini hayo, huku wakilinda maslahi ya mgodi huo kwa Taifa.
Simbachawene ametoa rai hiyo hivi karibuni wakati akizindua Kamati ya hiyo ya JOC, katika hafla iliyofanyika kwenye eneo la mgodi wa TanzaniteOne uliopo Mirerani, katika Wilaya ya Simanjiro...
Simbachawene ametoa rai hiyo hivi karibuni wakati akizindua Kamati ya hiyo ya JOC, katika hafla iliyofanyika kwenye eneo la mgodi wa TanzaniteOne uliopo Mirerani, katika Wilaya ya Simanjiro...
10 years ago
Michuzi11 Feb
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania