TanzaniteOne yachongewa kwa Kamati ya Bunge
Wachimbaji wadogo wa madini ya tanzanite katika mji mdogo wa Mirerani wilayani Simanjiro wameishtaki kampuni ya TanzaniteOne kwa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini wakidai kuwa imevamia na kupora baadhi ya migodi na zana za kufanyia kazi na kuharibu miundombinu yake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
SIMBACHAWENE AIASA KAMATI YA PAMOJA YA UENDESHAJI WA MGODI WA TANZANITEONE
WAZIRI wa Nishati na Madini, George Simbachawene ameiasa Kamati ya Pamoja ya Uendeshaji wa Mgodi wa TanzaniteOne, “Joint Operating Committee”-JOC kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi mkubwa ili kuwanufaisha wadau wa Tanzanite katika uvunaji wa madini hayo, huku wakilinda maslahi ya mgodi huo kwa Taifa.
Simbachawene ametoa rai hiyo hivi karibuni wakati akizindua Kamati ya hiyo ya JOC, katika hafla iliyofanyika kwenye eneo la mgodi wa TanzaniteOne uliopo Mirerani, katika Wilaya ya Simanjiro...
Simbachawene ametoa rai hiyo hivi karibuni wakati akizindua Kamati ya hiyo ya JOC, katika hafla iliyofanyika kwenye eneo la mgodi wa TanzaniteOne uliopo Mirerani, katika Wilaya ya Simanjiro...
11 years ago
Michuzi.jpg)
KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO
.jpg)
.jpg)
5 years ago
Michuzi
11 years ago
Michuzi05 Aug
10 years ago
Uhuru Newspaper.jpg)
Kamati ya Bunge yataka mradi umalizike kwa wakati
NA WILLIAM SHECHAMBO, Morogoro
.jpg)
10 years ago
Michuzi11 Feb
5 years ago
Michuzi
WIZARA YAKUTANA NA KAMATI YA BUNGE YAWASILISHA TAARIFA YA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2019/2020

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Salim Mwinyi Rehani (mwenye suti nyeusi) wakimsikiliza Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi hayupo pichani aliyekuwa akiwasilisha taarifa ya utekelezaji ya Wizara ya mwaka...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Tujikumbushe mapendekezo ya kamati za Bunge maalumu yatakayovunja Muungano, changamoto kwa rais ajaye
Ni kweli kwamba Bunge Maalumu lilitumia muda mwingi baada ya kumaliza kanuni kujadili sura ya kwanza na sura ya sita na kujiridhisha kumaliza suala la muundo wa muungano. Uhalisia ni mbali kabisa na ukweli huu, ili kuujadili muundo wa muungano kama msingi ilipasa sura ya kwanza, sita na kumi na tano kusomwa na kujadiliwa kwa pamoja (in tandem).
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
09-May-2025 in Tanzania