Zantel yasaidia Chama Cha Maalbino Tanzania kutoa elimu kwa umma.
![](http://1.bp.blogspot.com/-KpuYxN3OZP8/VZUCcRwKTII/AAAAAAAC8GQ/AS42zrjRGEQ/s72-c/3.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Pratap Ghose akikabidhi hundi ya shilingi milioni tano kwa Mwenyekiti wa Chama cha Maalbino Tanzania, Bwana Ernest Kimaya.
Mwenyekiti wa Chama cha Maalbino Tanzania, Ernest Kimaya akizungumza na waandishi wa habari leo juu ya ushirikiano na kampuni ya Zantel leo. Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Pratap Ghose na Mkurugenzi wa Masoko wa Zantel, Bi Progress Chisenga,
Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Pratap Ghose (katikati) akizungumza na waandishi wa habari leo juu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-1KLzwhspiUI/VhZQlGB3e6I/AAAAAAAH9xA/f58a89sVv84/s72-c/1.jpg)
ZANTEL YATEMBELEA CHAMA CHA MAALBINO TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-1KLzwhspiUI/VhZQlGB3e6I/AAAAAAAH9xA/f58a89sVv84/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZVF6uZ1KQCA/VhZQlbHPkoI/AAAAAAAH9xI/vJw-4mi8SMY/s640/2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Zantel yatembelea ofisi za Chama Cha Maalbino Tanzania
Mmoja wa wafanyakazi wa Chama Cha Albino, Christina Mbedi akielezea namna Chama cha Albino kinavyofanya kazi zake kwa Meneja wa Chapa na Mawasiliano wa Zantel, Arnold Madale wakati wa ziara ya viongozi wa Zantel ofisini kwao. Anayetizama kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Umoja wa Albino Tanzania, Ernest Kimaya.
Meneja wa Chapa na Mawasiliano wa Zantel, Arnold Madale akikabidhi msaada wa vifaa vya mawasiliano kwa Mwenyekiti wa Umoja wa Chama cha Albino Tanzabua, Ernest Kimaya. Wanaotazama...
10 years ago
Dewji Blog03 Jul
Zantel yakisaidia Chama cha Maalbino
Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Pratap Ghose akikabidhi hundi ya shilingi milioni tano kwa Mwenyekiti wa Chama cha Maalbino Tanzania, Bwana Ernest Kimaya.
Mkurugenzi Mkuu wa Zantel, Pratap Ghose (katikati) akizungumza na waandishi wa habari juu ya ushirikiano wao na chama cha Maalbino Tanzania. Kulia ni Mkurugenzi wa Masoko wa Zantel, Bi Progress Chisenga, na Mwenyekiti wa Chama cha Maalbino Tanzania, Ernest Kimaya.
Mwenyekiti wa Chama cha Maalbino Tanzania, Ernest Kimaya akizungumza na...
10 years ago
Michuzi02 Oct
Taarifa Kwa Umma Kutoka Cham Cha ACT-TANZANIA Kuhusu Zitto Kabwe na Chama Cha ACT- Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-PQ3cCBhtNUE/VCwNv30XPoI/AAAAAAADEsg/fLSGWFewAGQ/s1600/01.aa4.jpg)
Katika gazeti la mwanahabari toleo na 117 la tarehe 29/09/2014 katika ukurasa wake wa mbele iliandikwa "MKAKATI WA KUKIPA NGUVU CHAMA CHA KIPYA CHA ZITTO KABWE WAVUJA".
Act-Tanzania tunaeleza kuwa ni chama cha watanzania wote kisichokuwa na mmilki wake na tunaunganishwa na misingi kumi ya chama pamoja na Itikadi yetu ya Demokrasia...
11 years ago
Michuzi17 Jun
PSPF KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA JUU YA MAFAO WAYATOWAYO KATIKA MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA VIWANJA VYA MNAZIMMOJA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Qz1CjUJ7cak/XtypC_AA9pI/AAAAAAAC6_8/UQZvGS7FqCsUQZmjwJLL8Fj7YcNVI7s1ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
10 years ago
VijimamboOFISI YA TAIFA YA UKAGUZI YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-hLoM0FckFO4/Vnp5g7c2cmI/AAAAAAAIOJ0/y0EiJR4LeQQ/s72-c/001.MOROGORO.jpg)
JESHI LA POLISI KITENGO CHA USALAMA BARABARANI PAMOJA NA VODACOM TANZANIA WAENDELEA KUTOA ELIMU KWA MADEREVA NA ABIRIA KUPAZA SAUTI
![](http://3.bp.blogspot.com/-hLoM0FckFO4/Vnp5g7c2cmI/AAAAAAAIOJ0/y0EiJR4LeQQ/s640/001.MOROGORO.jpg)
11 years ago
GPLPSPF KUENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA JUU YA MAFAO WAYATOWAYO VIWANJA VYA MNAZI MMOJA DAR