Ziara ya Kinana wilayani Bahi
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata mapokezi makubwa mara baada ya kuwasili katika wilaya ya Bahi.
Katibu Mkuu yupo kwenye ziara ya kujenga na kukiimarisha Chama mkoani Dodoma pamoja na kukagua na kuhimiza utekelezaji wa ilayni ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010.
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZD1FNjUEk20/VP-lcUaeW0I/AAAAAAAAX1c/etw6vE10AVg/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CATpZUPGaS8/VP-llmVTH5I/AAAAAAAAX3Q/fbu0jcrZddI/s1600/3.jpg)
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Adam Kimbisa akihutubia wananchi wa kijiji cha Nguji kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kusalimia na kushiriki uchimbaji mitaro ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV15 Dec
Naibu waziri Jafo abaini changamoto kadhaa Wilayani Bahi katika  ziara ya kushtukiza
Naibu waziri wa ofisi ya Rais, Tamisemi, utumishi na utawala bora Selemani Jafo jana amefanya ziara ya kushitukiza katika halmashauri ya wilaya ya bahi na kukutana na changamoto mbalimbali zinazoikabili wilaya hiyo.
Changamoto hizo ni pamoja na kutokuwepo kwa mashine ya exray na Ultra sound katika kituo cha zahanati ya wilaya hiyo na mfumo mbovu wa ukusanyaji mapato jambo linalosababisha mapato mengi kupotea.
Naibu waziri ofisi ya Raisi, Tamisemi,utumishi na utawala bora Suleiman Jafo...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mrNrxcj4Dbs/U3JDINKOSoI/AAAAAAACg8A/I-t3_YlaX1s/s72-c/14.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI UYUI,KESHO KUUNGURUMA WILAYANI SIKONGE MKOANI TABORA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mrNrxcj4Dbs/U3JDINKOSoI/AAAAAAACg8A/I-t3_YlaX1s/s1600/14.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W9HW5Djp1oM/U4oL7-vvagI/AAAAAAACikk/15CxAvn6q70/s72-c/10.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI KITETO,LEO AELEKEA WILAYANI SIMANJIRO MKOANI MANYARA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-W9HW5Djp1oM/U4oL7-vvagI/AAAAAAACikk/15CxAvn6q70/s1600/10.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Z3UFj1G8J0/U4oMa_-6G7I/AAAAAAACiks/zcprQEoNIDI/s1600/11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yyQ4r6KRmmc/U4qdBWmmpOI/AAAAAAACinQ/tSXrUkruOCU/s1600/7.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OnosBiFecAk/U4i5J7CLfLI/AAAAAAACig8/9MS1oFaX5wE/s72-c/15.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA YAKE WILAYANI BABATI,KESHO KUUNGURUMA WILAYANI KITETO MKOANI MANYARA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OnosBiFecAk/U4i5J7CLfLI/AAAAAAACig8/9MS1oFaX5wE/s1600/15.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OI6dt4EUwE4/VP9TOFkBAII/AAAAAAAC1Xw/-G_QgpUhrq8/s72-c/16.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA YAZIDI KUCHANJA MBUGA JIMBO LA BAHI,KESHO KUIVURUGA KONDOA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OI6dt4EUwE4/VP9TOFkBAII/AAAAAAAC1Xw/-G_QgpUhrq8/s1600/16.jpg)
Ndugu Kinana amezungumza na wananchi hao waliokuwa wamebeba mabango na kuzuia msafara wake,kutokana na matatizo yaliyokuwapo katika kijiji hicho na kukosa ufumbuzi kwa muda mrefu.Wananchi hao walikuwa na lalamiko lao moja kubwa lililohusu shule yao ya msingi ya Msisi,ambayo madarasa yake mawili yaliezuliwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tei6Zvghx23If7Ak*YUDcrUW-Y*rrJPv16mYWuY*xOXYcg-zGuCqhpfisZXYcSCTKMmE1Tayzrdq4YBBKFGES-IK2RA8i7Tf/1.jpg?width=650)
ZIARA YA KINANA WILAYANI MULEBA
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Ziara ya Kinana katika jimbo la Sumve wilayani Kwimba
![](http://4.bp.blogspot.com/-GAmf78p6AJY/VYws_KB-zaI/AAAAAAAAfoc/V-Ns2i79qkI/s640/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo juu ya usindikaji wa alizeti kwenye kikundi cha ujasiriamali cha KIBUKU kilichopo kata ya Lyoma ,jimbo la Sumve wilaya ya Kwimba.
![](http://1.bp.blogspot.com/-cO1_CpNgNu0/VYwta_XMBmI/AAAAAAAAfrU/xW_8U-RyHuI/s640/6.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wa kata ya Lyoma mara baada ya kujionea maendeleo ya kikundi cha Ujasiriamali kinachojishughulisha na usindikaji wa Alizeti.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx6HHHj3Fgs/VYwtcGhNWBI/AAAAAAAAfrg/jWa_lTv65Ho/s640/8.jpg)
Wananchi wa Kata ya malya wakionyesha Bango kubwa lenye ujumbe kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...
10 years ago
Dewji Blog18 Jun
Kinana katika ziara yake wilayani Mbogwe mkoa wa Geita
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM kushoto wakipokelewa na mganga mkuu wa kituo cha afya cha Masumbwe wilayani Mbogwe Katibu Mkuu huyo alipokagua kituo hicho na kuwasha umeme wa REA kituoni hapo akiwa katika ziara ya kikazi wilayani humo yenye lengo la kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2010-2015 inayotekelezwa na serikali, Kulia ni Dr. John Mgosha Mganga Mkuu wa kituo hicho.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA...