Ziara ya naibu waziri maji katika halmashauri ya Meru, kata ya Makiba leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-uBxhQqMcKaA/VJLbT55wtBI/AAAAAAAG4LQ/wdlVB2m97-k/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
Naibu Waziri Maji,Mh. Amos Makalla akiongozana na ujumbe wake kutembelea Kata ya Makiba iliopo kwenye kijiji cha Valeska Wilayani Arumeru akiwa katika ziara ya Kikazi leo.
Naibu Waziri Maji,Mh. Amos Makalla akisikiliza maelezo ya mradi wa maji toka kwa mmoja wa watendaji katika Kata hiyo.Kushoto ni Diwani wa Kata ya Makiba,Bi. Mwanaid Kimu.
Naibu Waziri Maji,Mh. Amos Makalla akiangalia kisima cha maji katika kijiji cha Majengo kata ya Makiba.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi26 Aug
ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALLA KATIKA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YA UJENZI WA MAJI MKOA WA DAR ES SALAAM
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/546-1024x685.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/639-1024x685.jpg)
![????????????????????????????????????](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/280.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-L1m1RJQX8dU/VNo-G-CF7II/AAAAAAAHC5o/4f1OcbqiAxQ/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Ziara ya naibu waziri wa Maji Mhe Amos Makalla wilayani Hanang leo
10 years ago
VijimamboNAIBU WAZIRI JANET MBENE AFANYA MKUTANO NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KATA YA ISOKO
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Naibu Waziri Dkt. Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza leo katika hospitali za rufaa mikoa ya Lindi na Mtwara
Kaimu Muuguzi Mkuu wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Damasiana Msalla akimuongoza Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi Kigwangalla kuelekea kwenye wodi za hospitali wakati wa ziara ya kushtukiza aliyofanya mkoa wa Lindi.(Picha zote na Zainul Mzige wa Modewjiblog)
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Sokoine ya Mkoa wa Lindi, Dkt. Evaristo Kasanga akimkaribisha Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Watoto na Wazee, Dkt. Hamisi...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eD_6g0v7jYA/VLeG_tC6IkI/AAAAAAAG9ew/B3UKwefKtgE/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Ziara ya naibu waziri maji mkoani Njombe
Mradi wa Njenga utagharimu kiasi cha sh. 3.5 bilioni na tayari umeshagharimu sh 2.2 bilioni na utakamilika mapema machi mwaka huu na kuongeza upataikanaji maji kutoka asilimia 43 hadi...
9 years ago
VijimamboNAIBU WAZIRI WA MAJI MH. AMOS MAKALLA AKAGUA MRADI WA MAJI KATIKA MJI WA GEITA
Naibu waziri wa maji Amos Makalla leo ametembelea mradi unaotekelezwa kwa ushirikiano wa serikali na mgodi wa dhahabu wa Geita(GGM) wa uboreshaji huduma ya maji kwa mji wa Geita
Mradi huu unagharimu fedha sh 10 bilioni ambao kukamilika kwake kutaongeza huduma ya...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mxs2Jv8g1xs/VLM9FPw9jZI/AAAAAAAG8zc/c9KMrD0eVSI/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Ziara ya naibu waziri wa maji Amos Makalla Mbeya vijijini