ZITTO KAWE ALAKIWA JIMBONI KIGOMA KISHUJAA
![](http://3.bp.blogspot.com/-09MnxenjV_4/VQV8AFweeMI/AAAAAAAHKeI/JhNcoq77Y6s/s72-c/009.jpg)
Vijana wa Kigoma wakiwa na bango wakimsubiri Mhe. Zitto Kabwe "Mirumbani" alipokwenda jimboni huko kutoa Ahsante kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili
Mhe. Zitto Kabwe "Mirumbani" alipokwenda jimboni huko kutoa Ahsante kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili
Mhe. Zitto Kabwe "Mirumbani" akitoa Ahsante kwa wananchi wa jimboni kwake kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili
Mhe. Zitto Kabwe "Mirumbani" akiwa amebebwa na wananchi wa jimboni kwake alipokwenda...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
Mwili wa Mama yake Mbunge wa Kigoma Zitto Kabwe wasafirishwa kwenda Kigoma
Zitto Kabwe akiwa na Prof Ibrahimu Lipumba wakati wa kuuaga Mwili wa mama yake kipenzi Bi Shida Salumu aliyefariki leo kabla ya kusafirishwa kwenda Kigoma kwa mazishi.
Ndege ikiandaliwa ili kuweza kuingiza mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe.
Waheshimiwa Wabunge na Baadhi ya Viongozi wakibeba Jeneza lililobeba Mwili wa Marehemu Mama yake Zitto Kabwe Bi Shida Salum kuingiza kwenye ndege Tayari kwa safari ya kwenda Kigoma Kwenye mazishi.
Prof. Ibrahimu Lipumba akijadili jambo na...
11 years ago
Mwananchi10 Dec
Dk Slaa kunguruma jimboni kwa Zitto leo
10 years ago
MichuziZITTO ; FILIKUNJOMBE NI MCHAPAKAZI MZURI, CHIKU AMTAKA MBUNGE MSIGWA AONYESHE ALICHOFANYA JIMBONI
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
10 years ago
Dewji Blog15 Mar
Miaka 10 ya Zitto Kabwe yaishia mji wa Mwandiga, awaaga rasmi wapiga kura wake jimboni
![](http://3.bp.blogspot.com/-09MnxenjV_4/VQV8AFweeMI/AAAAAAAHKeI/JhNcoq77Y6s/s1600/009.jpg)
Vijana wa Kigoma wakiwa na bango wakimsubiri Mhe. Zitto Kabwe “Mirumbani” alipokwenda jimboni huko kutoa Ahsante kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili.(Picha zote na www.issamichuzi.blogspot.com).
![](http://4.bp.blogspot.com/-VS-bacvHOD4/VQV8BvIHcrI/AAAAAAAHKeQ/CxA_7US6XdA/s1600/008%2B(1).jpg)
Mhe. Zitto Kabwe “Mirumbani” alipokwenda jimboni huko kutoa Ahsante kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili.
![](http://4.bp.blogspot.com/-15G_897XRHs/VQV8EnxhmDI/AAAAAAAHKeY/Sfh6TYTM_eM/s1600/006.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bZJmj66Y1ao/VQV8G13wjFI/AAAAAAAHKeg/LBTms4IatHA/s1600/007.jpg)
Mhe. Zitto Kabwe “Mirumbani” akiwa amebebwa na wananchi wa jimboni kwake alipokwenda kuwashukuru kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-U7HTHVMfDI4/VQQmdYqMwTI/AAAAAAABoPU/8FtwEkJCAZ4/s72-c/KABWE.jpg)
ZITTO APOKELEWA KWA KISHINDO KIGOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-U7HTHVMfDI4/VQQmdYqMwTI/AAAAAAABoPU/8FtwEkJCAZ4/s1600/KABWE.jpg)
9 years ago
Habarileo08 Oct
Zitto aahidi barabara za lami Kigoma
KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Kabwe Zitto amesema kama wananchi wakiwachagua wagombea wa ubunge katika majimbo manane wa mkoa wa Kigoma kutoka chama hicho, watahakikisha barabara kutoka mji wa Nyakanazi yenye urefu wa kilometa 340 inajengwa kwa kiwango cha lami.
11 years ago
GPL![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-frc3/379709_635297983198943_1177054915_n.jpg?width=640)
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Zitto Kabwe kuibukia Kigoma kesho