Dk Slaa kunguruma jimboni kwa Zitto leo
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Wilbrod Slaa leo atakuwa na ziara ya siku moja katika Jimbo la Kigoma Kaskazini ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya siku tisa mkoani Kigoma kwa ajili ya kuimarisha chama.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ouI1tYRpdm4/VYg9WfLAYAI/AAAAAAAAvu0/u7ud9HmDRgI/s72-c/1.%2BKinana%2Bmkutano%2Bsengerema%2Bmjini.jpg)
KINANA ATINGISHA JIMBONI KWA NGELEJA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ouI1tYRpdm4/VYg9WfLAYAI/AAAAAAAAvu0/u7ud9HmDRgI/s640/1.%2BKinana%2Bmkutano%2Bsengerema%2Bmjini.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TNA8NV9lQq4/VYg9VylE1VI/AAAAAAAAvuw/K-Nt6LBt-Ng/s640/2.Kinana%2Bmkutano%2BSengerema%2Bmjini%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-byhRmhnSq9A/VYhauNbjmEI/AAAAAAAC7SU/PW6OWEKHfjs/s72-c/15.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA APOKELEWA KWA SHANGWE JIMBONI KWA NGELEJA LEO,AKAGUA MRADI MKUBWA WA MAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-byhRmhnSq9A/VYhauNbjmEI/AAAAAAAC7SU/PW6OWEKHfjs/s640/15.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NP8v4adA1L4/VYhayw9EaSI/AAAAAAAC7S8/koQqWmtO87Q/s640/19.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana akiwa ameambatana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wapo kwenye ziara ya Kukagua na kuimarisha uhai wa chama,Kukagua na kuhimiza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-09MnxenjV_4/VQV8AFweeMI/AAAAAAAHKeI/JhNcoq77Y6s/s72-c/009.jpg)
ZITTO KAWE ALAKIWA JIMBONI KIGOMA KISHUJAA
![](http://3.bp.blogspot.com/-09MnxenjV_4/VQV8AFweeMI/AAAAAAAHKeI/JhNcoq77Y6s/s1600/009.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VS-bacvHOD4/VQV8BvIHcrI/AAAAAAAHKeQ/CxA_7US6XdA/s1600/008%2B(1).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-15G_897XRHs/VQV8EnxhmDI/AAAAAAAHKeY/Sfh6TYTM_eM/s1600/006.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bZJmj66Y1ao/VQV8G13wjFI/AAAAAAAHKeg/LBTms4IatHA/s1600/007.jpg)
10 years ago
Habarileo26 Oct
Shein kunguruma leo
MAKAMU Mwenyeiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein atazungumza na wananchi na wanachama wa chama hicho katika mkutano utakaofanyika katika uwanja wa Demokrasia mjini hapa leo juu ya Katiba mpya Inayopendekezwa.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fuDjJSb17AM/VaKGMlDsU9I/AAAAAAAAwwE/vPoPLGP-CKU/s72-c/DSC_0786.jpg)
Magufuli kunguruma Dar leo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-fuDjJSb17AM/VaKGMlDsU9I/AAAAAAAAwwE/vPoPLGP-CKU/s640/DSC_0786.jpg)
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Juma Simba, aliwaeleza waandishi wa habari jana kuwa mkutano huo utaanza majira ya mchana.
“CCM sasa hatuna shaka na ushindi wetu, mgombea tuliyenaye ni mchapa kazi, Watanzania na wana-CCM tunamuamni,” alisema Simba.
Kuhusu...
9 years ago
Habarileo23 Aug
Magufuli kunguruma viwanja vya Jangwani leo
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kinatarajiwa kuzindua kampeni zake za urais, ubunge na udiwani nchi nzima katika viwanja vya Jangwani leo, katika mkutano utakaorushwa moja kwa moja na televisheni na redio mbalimbali nchi nzima.
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Kesi ya bilionea Msuya kuanza kunguruma leo
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Kesi Bunge la Katiba kunguruma rasmi leo