ZITUNZENI KADI ZENU ZA KUPIGIA KURA MSIKUBALI KUZIBADILISHA NA KITU CHOCHOTE - MAMA SALMA KIKWETE
Na Anna Nkinda – Maelezo, Lindi WAKAZI wa mkoa wa Lindi wametakiwa kuzitunza shahada zao za kupigia kura na kukataa kurubuniwa ili waziuze kwani kadi hizo ndizo zitazowawezesha kupiga kura na kuwachagua viongozi wanaowataka.
Mwito huo umetolewa hivi karibuni na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na wananchi wa vijiji vya Nyengedi na Mandawa vilivyopo katika majimbo ya Mtama na Ruangwa waliohudhuria mkutano wa kampeni ya kuwanadi wagombea wa nafasi za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziVIJANA MSIKUBALI KUTUMIWA VIBAYA NA BAADHI YA WANASIASA KWA FAIDA YA WACHACHE-MAMA SALMA KIKWETE
Rai hiyo imetolewa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na wananchi wa kijiji cha Kikomolela kilichopo jimbo la Mchinga na mtaa wa Likotwa uliopo Jimbo la Lindi mjini waliohudhuria kampeni ya kuwanadi wagombea wa nafasi za udiwani, ubunge na urais...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura
9 years ago
Mtanzania25 Sep
Akamatwa na kadi 90 za kupigia kura
Na Elias Msuya
MWANAMKE aliyetambuliwa kwa jina la Salome Mahala, amekamatwa hivi karibuni katika Kata ya Nsimbo Wilaya ya Mlele mkoani Katavi, akiandikisha namba za kadi za kupigia kura.
Akizungumza kwa sharti la kutotajwa jina lake gazetini, mwananchi wa kijiji cha Katumba wilayani humo, alisema Mahala alikamatwa Jumatatu asubuhi akiwa na kadi 93 alizokusanya kwa wananchi akidai anaandikisha wanachama wa CCM.
“Tumemkamata huyo mama na kumfikisha katika kituo cha polisi cha mkoa akiwa na...
11 years ago
Tanzania Daima04 Feb
Lindi msikubali kudanganyika — Mama Salma
WAKAZI wa Mkoa wa Lindi wametakiwa kutodanganyika na kundi la watu wachache wanaotaka kuvuruga amani iliyopo bali waitunze na kuhakikisha haipotei kwani ikitoweka hao wanaowadanyanga watakimbia na kuwaacha wakiteseka. Wito...
9 years ago
MichuziMPIGIENI KURA MAGUFURI-MAMA SALMA KIKWETE
9 years ago
Habarileo12 Oct
Waaswa kutouza kadi za kupigia kura
WAKAZI wa mkoa wa Lindi wametakiwa kuzitunza kadi zao za kupigia kura na kukataa kurubuniwa ili waziuze, kwani wakifanya hivyo watashindwa kuwachagua viongozi wanaowataka.
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Chadema yadai kunasa kadi 36 za kupigia kura
10 years ago
Mwananchi08 Aug
NEC: Marufuku kutoa kadi ya kupigia kura
9 years ago
Michuzi22 Oct
TAARIFA KUHUSU WALIOPOTEZA KADI ZAO ZA KUPIGIA KURA
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/FL2sjZNyU5BB3WZGSsGvpzASlGhK4JwHhvYEvsYmg_nQM7PwR78af7S5fIakgXmWT4js4yENj_yUch3SjpGrF6o06HIOLk7ycZDlbofb5W38em0sITwbnKDeec5Oz4j3j_j5yEWbpD_CFF0ka4x2uiayug031cleVzYJjdAg=s0-d-e1-ft#http://mobile.mwananchi.co.tz/image/view/-/2924186/medRes/1154732/-/an7sjm/-/Kura+Photo.jpg?format=xhtml)
OFISI Usambazaji na Ugavi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Eliud Njaila akiwaonyesha waandishi wa habari vizimba vya kupigia kura siku ya uchaguzi. Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema wapiga kura waliopoteza kadi zao za kupigia kura hawataruhusiwa kupiga kura katika uchaguzi utakaofanyika nchini kote siku ya Jumapili.
Akizungumza katika mkutano wa vyama vya siasa na NEC mjini Dodoma leo, Ofisa Mwandamizi wa tume hiyo William Kitebi, amesema watu hao hawataruhusiwa hata kama majina na...