ZOEZI LA UORODHESHAJI WA VIWANDA WILAYA YA LUDEWA LIMEANZA RASMI LEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-D64ShFIOJ3k/U_tiZVNPJzI/AAAAAAAGCU8/UHSYnUd6-Ns/s72-c/unnamedq1.jpg)
Na Veronica Kazimoto,Ludewa
Wito umetolewa kwa wamiliki wote wa viwanda waliopo katika wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe kutoa taarifa sahihi na ushirikiano wa kutosha kwa wadadisi wakaopita katika viwanda vyao ili kufanya zoezi la Uorodheshaji wa Viwanda kwa ajili ya maandalizi ya Sensa ya Viwanda inayotarajia kufanyika mwezi Septemba, 2014.
Akizungumza na waandishi wa habari leo mkoani Iringa, kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Meneja Takwimu mkoa wa Iringa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6QDN3TeKCw8/Uzvtzx3cemI/AAAAAAACd4s/jN3AvCpM1tQ/s72-c/PICHA+YA+KUFUNGA+MAFUNZO+1.jpg)
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YAFUNGA MAFUNZO YA ZOEZI LA UORODHESHAJI WA VIWANDA NCHINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-6QDN3TeKCw8/Uzvtzx3cemI/AAAAAAACd4s/jN3AvCpM1tQ/s1600/PICHA+YA+KUFUNGA+MAFUNZO+1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-RUYR5OjFukM/Uzvt34agtMI/AAAAAAACd44/Qb6gu3YL9S8/s1600/PICHA+YA+KUFUNGA+MAFUNZO+2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VdF6UciZhIU/UyxEW_iBriI/AAAAAAAAFKc/eBWeLudWwRw/s72-c/IMG_0502.jpg)
MKUU WA WILAYA YA NKASI AFUNGUA RASMI KAMPENI YA TOHARA KWA WANAUME MKOANI RUKWA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-VdF6UciZhIU/UyxEW_iBriI/AAAAAAAAFKc/eBWeLudWwRw/s1600/IMG_0502.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-jP5-b6PYtDI/XsaWn-IpvbI/AAAAAAALrJo/_B0e2LVmR_I1Cfjb7zeb3WAqXGBiwB-0wCLcBGAsYHQ/s72-c/fd8be12e-6821-47aa-87d3-557420ce1901.jpg)
CCM Ludewa yaishauri ofisi ya Wilaya Udhibiti wa COVID-19
Na Shukrani Kawogo, Njombe
Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)wilayani Ludewa mkoani Njombe imeishauri serikali kupitia mkuu wa wilaya hiyo Adrea Tsere kuweka mkakati madhubuti wa kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona (COVID 19) katika maeneo ya mikusanyiko ikiwemo maeneo ya minada na maeneo ya kuingilia ndani ya wilaya.
Ushauri huo umetolewa katika kikao cha taarifa juu ya mwenendo wa ugonjwa huo katika wilaya hiyo ambayo ilitolewa na Muuguzi mkuu ofisi ya wilaya Bw....
11 years ago
Dewji Blog14 Jun
Deo Filikunjombe andaa semina kwa viongozi wa CCM Wilaya ya Ludewa
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Ndugu Vuai Ali Vuai akifungua semina ya wenyeviti, Makatibu na Makatibu Wenezi wa CCM wilaya ya Ludewa inayohusu masuala ya kuimarisha Chama na Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi CCM katika jimbo la Ludewa ambalo linaongozwa na Mbunge wake Machachali na makini Mh. Deo Filikumbjombe, Semina hiyo imeandaliwa na Mbunge wa jimbo hilo ambayo ilianza na ziara ya kimafunzo ya viongozi hao wa CCM wilaya ya Ludewa ambapo walianzia mjini Dodoma...
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/2a1.jpg)
DEO FILIKUNJOMBE AANDAA SEMINA KWA VIONGOZI WA CCM WILAYA YA LUDEWA
11 years ago
Dewji Blog16 Jun
Jenista Muhagama afunga mafunzo ya siku 5 kwa viongozi wa CCM wilaya ya Ludewa
![1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/115.jpg)
![12](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/121.jpg)
11 years ago
Michuzi15 Jun
MH. JENISTA MHAGAMA AFUNGA MAFUNZO YA VIONGOZI WA CCM WILAYA YA LUDEWA JIJINI DAR
![3w](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/3w.jpg)
![4w](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/4w.jpg)
![5w](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/06/5w.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-se3eUCrjsbU/VNMTzBJa9KI/AAAAAAAB2-4/c5YGyvtxFpY/s72-c/img_9322.jpg)
Msiba: Mjumbe wa NEC Ludewa ambae ni mwenyekiti wa UVCCM wilaya hiyo afariki dunia
Katibu mwenezi wa CCM wilaya ya Ludewa Felix Haule alisema ...