Zuma, Kikwete wakutana saa 2
RAIS Jakaya Kikwete amekutana na Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma na kufanya mazungumzo ya ndani na kiongozi huyo aliyewasili nchini juzi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM23 Dec
ZUMA, KIKWETE WAKUTANA KWA MASAA MAWILI
RAIS Jakaya Kikwete amekutana na Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma na kufanya mazungumzo ya ndani na kiongozi huyo aliyewasili nchini juzi.
Rais Zuma aliwasili Ikulu Dar es Salaam jana majira ya saa 4 asubuhi na kupokewa na Rais Kikwete kabla ya kufanya mazungumzo hayo yaliyochukua takribani saa moja na dakika 45.
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Dar es Salaam jana, ilibainisha kuwa mazungumzo baina ya viongozi hao wawili, yalihusu uhusiano kati ya Tanzania na Afrika...
11 years ago
Michuzi24 May
10 years ago
Habarileo01 Jun
Kikwete, Mtendaji Mkuu wa Unilever wakutana
RAIS Jakaya Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Unilever Duniani, Paul Poulman jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi.jpg)
RAIS KIKWETE AHUDHURIA SHEREHE ZA KULA KIAPO ZA RAIS ZUMA WA AFRIKA KUSINI LEO
.jpg)
.jpg)
11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AWASILI PRETORIA KUSHUHUDIA KUAPISHWA KWA RAIS WA AFRIKA KUSINI MHE JACOB ZUMA



10 years ago
VijimamboRAIS JACOB ZUMA AKUTANA NA RAIS KIKWETE IKULU-MAKAMU WA RAIS AMSINDIKIZA

11 years ago
Dewji Blog04 Sep
Rais Kikwete kuhutubia wananchi kupitia mkutano utakaorushwa Live na TBC saa 11 jioni hii
TUNAPENDA KUWAJULISHENI KUWA LEO ALHAMISI TAREHE 4 SEPTEMBA, 2014 SAA KUMI JIONI, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE ATAZUNGUMZA NA WANANCHI KUPITIA MKUTANO WAKE NA WAZEE WA MKOA WA DODOMA, UTAKAOFANYIKA CHUO CHA MIPANGO – DODOMA.
MKUTANO HUO UTATANGAZWA MOJA KWA MOJA (LIVE) KUPITIA KITUO CHA TELEVISHENI CHA TAIFA TBC.
ASANTENI
IMETOLEWA NA;
KURUGENZI YA MAWASILIANO YA RAIS,
IKULU – DAR ES SALAAM.
4 SEPTEMBA,2014
11 years ago
Michuzi
Rais Kikwete azungumza na Rais Zuma na Rais Kabila Zimbabwe
