10 Bora ya Tanzania Movie Talents (TMT) wavamia studio za Times Fm 100.5 Fm Jijini Dar Es Salaam
Waendeshaji wa Kipindi cha Filamu Monata kinachorushwa na Kituo cha Redio cha TIMES FM 100.5 wakiendelea na majukumu katika studio za kituo hiko cha Redio Kilichopo Kawe Jijini Dar Es Salaam wakati wa Kipindi cha Filamu Monata leo wakati washiriki 10 Bora wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) walipotembelea Studio hizo
Jaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) na Presenta wa Kipindi cha Filamu Monata cha TIMES FM, 100.5 Dar Es Salaam akiendelea na kipindi wakati washiriki...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL10 BORA YA TMT WAVAMIA STUDIO ZA TIMES FM
10 years ago
GPL10 BORA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) WAPATIKANA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-g4vZaOp4HMk/U4RrGuU4KfI/AAAAAAAAYi4/0LCbhqvGskA/s72-c/JOTI+NA+LULU.jpg)
TANZANIA MOVIE TALENTS YAIVA JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-g4vZaOp4HMk/U4RrGuU4KfI/AAAAAAAAYi4/0LCbhqvGskA/s1600/JOTI+NA+LULU.jpg)
10 years ago
Michuzi17 Aug
Shindano la Tanzania Movie talents (TMT)
11 years ago
Dewji Blog28 May
Tanzania Movie Talents yaiva jijini Dar
![TMF](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/TMF.jpg)
KARIBU
UCHUKUE
FOMU
NI
BUREEEEEEEEE
Baada ya Kumaliza shindano la Tanzania Movie Talents Kwenye Kanda tano za Tanzania yaani Kanda ya Ziwa, Kanda ya Kati, Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Kanda ya Kusini na Kanda ya Kaskazini sasa ni zamu ya kanda ya Pwani ambayo inahusisha Mikoa ya Dar Es Salaam, Morogoro na Mkoa wa Pwani kushiriki kwenye shindano la Kwanza na La aina yake ambalo halijawahi kutokea Afrika Mashariki na Kati likiendeshwa na Kampuni ya Proin Promotions...
10 years ago
GPLSHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) KUFIKIA HATUA YA MWISHO
11 years ago
Dewji Blog21 Jul
Tanzania Movie Talents (TMT): Nani kuchomwa na jua la utosi wiki hii?
![](http://3.bp.blogspot.com/-9ETYxUgj7KA/U80KPOq2MvI/AAAAAAAAaFw/k7bj0CvGHIE/s1600/ALLY.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-t--q6fb893I/U80KPQ-i3sI/AAAAAAAAaF4/GYNJC8cdP1k/s1600/aneth.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZmWeWKV1L-w/U80KPRKFxfI/AAAAAAAAaF0/VzjG5CnFvsQ/s1600/isa.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IaEq8pcuLoI/U80KQbgGBtI/AAAAAAAAaHA/mwIyGrCHs2s/s1600/janeth.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xDaqfEQ6pYw/U80KQoHNQgI/AAAAAAAAaF8/srdRxT7LgiU/s1600/josh.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-OpxnmBDtpms/U80KRdQH1fI/AAAAAAAAaGE/Jjo0cNHngwo/s1600/joy.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mGWGiCDQkQU/U80KR0YzOvI/AAAAAAAAaGI/rx93gOFeBkQ/s1600/kaparata.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ow_gUjmD9fk/U80KSSayDBI/AAAAAAAAaGc/FDVTlIrlbFE/s1600/kiluswa.jpeg)
ILI KUWANUSURU AU KUMNUSURU MSHIRIKI UMPENDAE AENDELEE KUWEPO NDANI YA NYUMBA YA TMT UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KUMPIGIA KURA KWA WINGI SANA.
JINSI YA KUPIGA KURA NI ANDIKA NENO “TMT” ikifuatiwa na namba yake ya ushiriki halafu tuma kwenda 15678. Mfano TMT00 tuma kwenda 15678
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z6vD711Gzpo/U80KSy-pUaI/AAAAAAAAaGU/ohSdaQ0gvmg/s1600/mwana.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ICEUvhEV1go/U80KUByCcoI/AAAAAAAAaGo/lstaSMQl7Y0/s1600/mwinshehe.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-fQLdb0RffWI/U80KU78dRxI/AAAAAAAAaGw/keQYLl-I9Lo/s1600/obunde.jpeg)
![pendo](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/07/pendo.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-szQG_JdtDPs/U80KWvjUSPI/AAAAAAAAaHM/t9aPy0MyTMw/s1600/said.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-pkwdqptVtgw/U80KYJq8MQI/AAAAAAAAaHY/U0r20NVxfxU/s1600/shiraz.jpeg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-9bHIeQzJ2ik/U80KXiD73QI/AAAAAAAAaHQ/bc8frAm5yyo/s1600/stevs.jpeg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-y2w5TO_JBr4/U80KZb_eNGI/AAAAAAAAaHo/NhjUGOwTlzU/s1600/tish.jpeg)
ILI KUWANUSURU AU KUMNUSURU MSHIRIKI UMPENDAE AENDELEE KUWEPO NDANI YA NYUMBA YA TMT UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KUMPIGIA KURA KWA WINGI SANA.
JINSI YA KUPIGA KURA NI ANDIKA NENO “TMT” ikifuatiwa na namba...
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
Jaji wa Tanzania Movie Talents (TMT) Single Mtambalike afiwa na baba yake mzazi
Single Mtambalike ‘Richie’.
MSANII wa maigizo na filamu nchini na aliyekuwa Jaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) Single Mtambalike maarufu kwa jina la Richie, amefiwa na baba yake mzazi Mzee Mtambalike usiku wa kuamkia jana, Msiba upo Tabata, Dar.
Timu Nzima ya Tanzania Movie Talents (TMT) na Kampuni nzima ya Proin Promotions Limited inapenda kutoa pole kwa Rich na familia yake kwa kuondokewa na Mzazi wake. TMT na Proin Promotions inaunga nae katika Kipindi hiki...