Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


10 BORA YA TMT WAVAMIA STUDIO ZA TIMES FM


Waendeshaji wa Kipindi cha Filamu Monata kinachorushwa na Kituo cha Redio cha TIMES FM 100.5 wakiendelea na majukumu katika studio za kituo hiko cha Redio Kilichopo Kawe Jijini Dar Es Salaam wakati wa Kipindi cha Filamu Monata leo wakati washiriki 10 Bora wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) walipotembelea Studio hizo
Jaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) na Presenta wa Kipindi cha Filamu Monata cha...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

10 Bora ya Tanzania Movie Talents (TMT) wavamia studio za Times Fm 100.5 Fm Jijini Dar Es Salaam

Waendeshaji wa Kipindi cha Filamu Monata kinachorushwa na Kituo cha Redio cha TIMES FM 100.5 wakiendelea na majukumu katika studio za kituo hiko cha Redio Kilichopo Kawe Jijini Dar Es Salaam wakati wa Kipindi cha Filamu Monata leo wakati washiriki 10 Bora wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) walipotembelea Studio hizo 

Jaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) na Presenta wa Kipindi cha Filamu Monata cha TIMES FM, 100.5 Dar Es Salaam akiendelea na kipindi wakati washiriki...

 

10 years ago

GPL

10 BORA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) WAPATIKANA

Majaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) wakifuatilia Filamu fupi iliyochezwa na baadhi ya washiriki wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) wakati ilipokuwa ikionyeshwa kwenye runinga kubwa katika Ukumbi wa Makumbusho. Kutoka Kulia ni Single Mtambalike au Rich Rich katikati ni Vyonne Cherry au Monalisa na Kushoto ni Jaji Mkuu wa Shindano hilo Roy Sarungi.
 Mahosti wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT)...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Makahaba’ wavamia Dom

“‘Short time’ vipi? Ni Sh.10,000 tu, gharama ya chumba kwangu.” Hivi ndivyo nilivyopokelewa na binti wa miaka 21 katika Mtaa wa Uhindini mkoani Dodoma nilikokwenda saa 4 usiku kufuatilia taarifa za kinadada wanaofanya biashara haramu ya ngono, maarufu kama changudoa.

 

9 years ago

Habarileo

Waalgeria ‘wavamia’ kambi

WAKATI timu ya Taifa ya Algeria chini ya Kocha wao Mfaransa, Christian Gourcuff ikiwa ‘mafichoni’ jana, kambi ya timu ya taifa haikuwa na ulinzi wowote huku maofisa na waandishi wa Algeria wakiingia watakavyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ugonjwa wa Dengue wavamia Mwanza

UGONJWAwa homa ya Dengue ambao hadi sasa umesababisha vifo vya watu kadhaa Jijini Dar es  Salaam, umeingia mkoani Mwanza. Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Baraka Konisaga aliwaambia waandishi wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mbu wavamia tena Muhimbili

Wagonjwa waliolazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matatizo mbalimbali wanakabiliwa na maradhi mengine mapya kutokana na wodi kuvamiwa na mbu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wavamia Waandamanaji Bangkok

Mamia ya polisi wanakabiliana na waandamanaji ambao wamekita kambi katika afisi za serikali kwa niya ya kuwangoa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani