Mbu wavamia tena Muhimbili
Wagonjwa waliolazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa matatizo mbalimbali wanakabiliwa na maradhi mengine mapya kutokana na wodi kuvamiwa na mbu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo17 Nov
MRI yaharibika tena Muhimbili
UONGOZI wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) umesimamisha kwa muda huduma za uchunguzi kupitia mashine ya MRI kuanzia mwishoni mwa wiki, kwa ajili ya matengenezo zaidi ya mashine hiyo.
9 years ago
Mtanzania17 Dec
MRI, CT-Scan zaharibika tena Muhimbili
NA VERONICA ROMWALD, DAR ES SALAAM
MASHINE ya MRI na CT-Scan zilizoko katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) zimeharibika tena, licha ya kufanyiwa matengenezo siku kadhaa zilizopita baada ya Rais Dk. John Magufuli kuamuru zitengenezwe haraka.
Hii ni mara ya tatu sasa tangu mashine hizo zilipoanza kuharibika mapema mwishoni mwa Agosti, mwaka huu.
R a i s Magufuli alitoa amri ya kutengenezwa kwa m a s h i n e hizo Novemba 9, mwaka huu alipofanya ziara ya
kushtukiza hospitalini hapo,...
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Mashine ya MRI Muhimbili yaharibika tena
Veronica Romwald na Allen Msapi (GHI), Dar es Salaam
MASHINE ya uchunguzi wa magonjwa mbalimbali ijulikanayo kama Magnetic Reasonance Imaging (MRI) iliyopo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, imeharibika tena baada ya kufanya kazi kwa siku mbili, tangu ilipofanyiwa matengenezo na Kampuni ya Philips.
Mashine hiyo ilifanyiwa matengenezo kutokana na shinikizo la Rais Dk. John Magufuli aliyefanya ziara ya kushtukiza hospitalini hapo na kuamuru zifanyiwe marekebisho haraka.
Katika ziara yake hiyo,...
9 years ago
Mwananchi16 Nov
Muhimbili wasitisha tena huduma za MRI
9 years ago
StarTV17 Nov
Huduma Muhimbili yasimama tena, Wananchi washangaa
Mashine ya MRI iliyoko katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, iliyoanza kazi siku chache zilizopita imeharibika na kushindwa kufanya kazi tena na kusababisha kusimama kwa huduma za vipimo kwa wagonjwa wanaopaswa kupimwa na mashine hiyo.
Mashine hiyo ilianza kufanya kazi Baada ya tamko la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta John Magufuli alilolitoa siku chache baada ya kuapishwa na kuutaka uongozi wa Hospitali hiyo uhakikishe mashine za CT-SCAN na MRI zinafanya kazi jambo ambalo...
10 years ago
BBCSwahili15 Jul
Je,wajua mbu husherehekewa Urusi?
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pezQEPsid2ieU-5jqghzokC1QbnkdnZAhI2ZniqdvrVxTw82AScC3-KdUGWSuQzK0W0pQ0Rh46JkAMr*IKRPd9o2XgW4zvKi/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
KALETE UTUMBO WA MBU MJAMZITO!
11 years ago
BBCSwahili21 May
Mbu waanza kuvamia Uingereza
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Mbu kupambana na homa ya Dengue