10 WATINGA KATIKA FAINALI ZA SHINDANO LA BONGO STYLEâ€â€Ž
Hatimaye Shindano la Bongo Style linalo andaliwa na Faru Arts and Sports Development Organization(FASDO) lililo anzishwa mwaka huu na ambalo litakuwa likifanyika kila mwaka lililowahusisha vijana wenye umri kati ya Miaka 18-25 wakiwemo wapiga picha na wabunifu wa mavazi 20 waliokuwa wamechaguliwa kuingia Nusu Fainali baada ya kujiandikisha kushiriki shindano hili kwa kupitia tovuti ya FASDO www.fasdo.org na kuchaguliwa toka kwa washiriki 300 waliojiandikisha limefikia hatua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/12/DSC_1821.jpg)
WATOTO 15 WATINGA FAINALI ZA SHINDANO LA "MO KIDS GOT TALENT 2013", FAINALI KUFANYIKA LEO JIONI LEDGER PLAZA - BAHARI BEACH
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/pdk_yl2Uwdg/default.jpg)
20 WACHAGULIWA KUSHIRIKI KATIKA SHINDANO LA BONGO STYLE COMPETITION.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.
11 years ago
GPLWIKI 3 KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TMT, WASHIRIKI WENGINE 2VWAAGA SHINDANO
9 years ago
Dewji Blog19 Oct
Hatimaye majaji wachagua washiriki 20 katika shindano la Bongo Style Competition !
Kipande cha Video ya mahojiano hayo.
Kuelekea Shindano la Bongo Style Competition , Ambalo linatarajiwa kufanyika Mwishoni mwa mwezi wa Kumi na moja mwaka huu, Majaji wamefanikiwa kuwapata washiriki ambao wataingia katika Kinyang’anyiro hicho
Akizungumzia Shindano hilo Mratibu wa FASDO Tanzania Joyce Msigwa alisema shindano hilo linalengo la kuibua vipaji vya vijana wenye kati ya umri wa miaka 18-25 katika nyanja za ubunifu mitindo na upigaji picha ili kuwahamasisha kutumia vipaji vyao...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-VhK-pJyqJrU/UwxVjmf3CZI/AAAAAAAFPaM/UOC4dvTernM/s72-c/IMG_0030.jpg)
SAFARI LAGER YATANGAZA RASMI BAA 10 ZILIZOINGIA FAINALI KATIKA SHINDANO LA UCHOMAJI NYAMA MKOA WA MBEYA KWA MWAKA 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-VhK-pJyqJrU/UwxVjmf3CZI/AAAAAAAFPaM/UOC4dvTernM/s1600/IMG_0030.jpg)
Shindano hili linalofanyika kila mwaka, linafanyika mwaka huu kwa mara ya saba mfululizo na litashirikisha mikoa ya Mbeya, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro na Dar Es Salaam. Tangu lilipoanzishwa mwaka 2008, shindano hili limekuwa na mvuto wa kipekee kwa...
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Washiriki 10 wa shindano la TMT wafanikiwa kuingia fainali, mshindi mmoja kuondoka na milioni 50 katika ukumbi wa Mlimani City tarehe 30 mwezi huu
Majaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) wakifuatilia Filamu fupi iliyochezwa na baadhi ya washiriki wa Shindano la Tanzania Movie talents (TMT) wakati ilipokua ikionyeshwa kwenye runinga kubwa katika Ukumbi wa Makumbusho. Kutoka Kulia ni Single Mtambalike au Rich Rich katikati ni Vyonne Cherry au Monalisa na Kushoto ni Jaji Mkuu wa Shindano hilo Roy Sarungi.
Mahosti wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) Joti na Lulu wakiwajibika katika Jukwaa la Ukumbi wa Makumbusho ya...
11 years ago
MichuziWIKI TATU KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TANZANIA MPVIE TALENTS (TMT), WASHIRIKI WENGINE WAWILI WAAGA SHINDANO WIKI HII
9 years ago
MichuziTEMEKE WATINGA FAINALI ARS.