Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


104 waliteketea hadi kufa Tianjin China

Vyombo vya habari China vinasema watu arobaini wamefariki kutokana na milipuko mikubwa katika kiwanda huko Tianjin China

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

44 waliteketea hadi kufa Tianjin China

Vyombo vya habari China vinasema watu arobaini wamefariki kutokana na milipuko mikubwa katika kiwanda huko Tianjin China

 

11 years ago

GPL

MBONGO ALIYEBAKWA HADI KUFA CHINA... MAZITO YAIBUKA!

Stori: Shakoor Jongo na Gabriel Ng’osha
KATIKA Gazeti la Ijumaa Wikienda la juzi Jumatatu, Toleo Namba 354 ukurasa wake wa mbele kuna habari yenye kichwa kisemacho; MBONGO ABAKWA CHINA, AFA! Sabrina enzi za uhai wake. Katika habari hiyo, kulisindikizwa na vichwa vidogo vilivyosomeka; Wabakaji ni Wanigeria watano, maiti yake yakutwa haina figo, moyo!
Habari hiyo ilimhusu Mtanzania aliyejulikana kwa… ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Moto mkubwa wazuka Tianjin-China

Kumetokea mlipuko mkubwa katika mji wa China Tianjin-ambao ni sehemu ya viwanda katika eneo la kusini kaskazini mwa Beijing.

 

9 years ago

Vijimambo

China Tianjin blasts: Evacuations as sodium cyanide found


The Chinese authorities have ordered the evacuation of residents within a 3km radius of the Tianjin blast site over fears of chemical contamination.The evacuations came after an apparent change in wind direction, and as police confirmed the highly toxic chemical sodium cyanide was found near the site. A man was found alive 50m from the blast core, Xinhua news agency said.Eighty-five people are now known to have died in the giant blasts in the north-east Chinese port on Wednesday.The order...

 

11 years ago

Habarileo

Adaiwa kujinyonga hadi kufa

MKAZI wa Morogoro Said Tenga (53), amekutwa amekufa kwa kujinyonga chumbani.

 

10 years ago

Habarileo

Apigwa mawe hadi kufa

MKAZI wa kitongoji cha Mnele kijiji cha Chinongwe B katika kata ya Chinongwe wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi, Longino John (35) ameuawa kwa kupigwa mawe na hatimaye kuchomwa moto kwa madai ya kumjeruhi Mendrati Chinguile (63) ambaye ni mlemavu wa macho.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ajinyonga hadi kufa Dar

WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la kujinyonga. Akithibitisha kutokea kwa vifo hivyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema juzi saa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Sumbawanga, imemhukumu Malambi Lukwaja (47) Mkazi wa Kijiji cha Igalula, Tarafa ya Kabungu, Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi kunyongwa hadi kufa baada ya kupatikana na hatia ya kuua kwa kukusudia.

 

11 years ago

Mwananchi

Msichana abakwa hadi kufa

>Mfanyakazi wa ndani, Isabella Andrew (18), amefariki dunia na kifo chake kikidaiwa kusababishwa na kubakwa na watu wasiojulikana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani