Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


162,156 Burundians get TZ citizenship

>Home Affairs ministry has granted citizenship to 162,156  Burundian refugees out of 172,000 applications received in 2010.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AWAPA URAIA WAKIMBIZI WA BURUNDI 162,156 MJINI TABORA LEO

 Rais Jakaya Kikwete akimpa cheti cha uraia wa Tanzania, Loveness Ruhaga (kulia) aliyekuwa Mkimbizi kutoka nchini Burundi katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya Mkuu wa Tabora leo. Rais Kikwete alitoa vyeti vya uraia kwa wakimbizi 162,156 na kuwatangazia kuwa sasa wamekuwa raia halali wa Tanzania hivyo wahakikishe wanafuata sheria zote za nchi na waepuke kufanya vurugu za aina yoyote kwani wakikiuka masharti hayo waweza kunyanganywa uraia huo. Wakimbizi hao...

 

11 years ago

IPPmedia

International body praises govt for giving Burundians citizenship


IPPmedia
International body praises govt for giving Burundians citizenship
IPPmedia
The International Rescue Committee (IRC) in Tanzania has welcomed the move by the government this week to award citizenship certificates to 162,000 Burundi refugees. IRC's country director in Tanzania, Elijah Okeyo, speaking about the government's ...
Tanzania Grants Citizenship to 162000 Burundian Refugees in Historic DecisionAllAfrica.com
Tanzania's new citizens to get land, voting rightsIRINnews.org
200000...

 

9 years ago

Mwananchi

Meno 156 ya tembo yakamatwa Dar

Polisi jijini Dar es Salaam imekamata vipande 156 vya meno ya tembo vyenye uzito wa kilo 211.66 vikiwa vimetandazwa kwenye nyumba moja wilayani Temeke.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK awapa uraia wakimbizi 162

RAIS Jakaya Kikwete, ametoa hati za uraia wa Tanzania kwa wakimbizi 162 kutoka Burundi ambao wameishi nchini kwa miaka 42, tokea mwaka 1972. Taarifa iliyosambazwa jana na Kurugenzi ya Mawasiliano...

 

9 years ago

Global Publishers

Polisi Dar Wakamata Meno ya Tembo 156, Bunduki mbili

1.Kamanda wa kanda maalum wa kituo cha polisi (Centro) akionesha baadhi ya vipande vya bunduki mbili aina ya RIFLE zilizokamatwa katika oparesheni hiyo.Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova  akionesha baadhi ya vipande vya bunduki zilizokamatwa  aina ya ‘RIFLE’ katika oparesheniiliyofanyika jana Temeke Sudan,  Dar.2,Kamanda Kova akionesha baadhi ya vipande vya meno ya Tembo kwa wanahabari.Kamanda Kova akionesha baadhi ya vipande vya meno ya Tembo kwa wanahabari.3...kamanda Kova akivishikilia viapnde hivyo.… Kova akivishikilia vipinde hivyo.4.Kamanda Kova akivitoa kwenye magunia yaliyokuwa yamehifadhi vipande hivyo vya meno ya Tembo.… Kova akivitoa kwenye magunia yaliyokuwa yamehifadhi vipande hivyo vya meno  ya Tembo.5.Wanahabari wakichukua tukio hilo.Wanahabari wakichukua tukio hilo.6.Kamishna wa polisi, Suleiman H. Kova (kushoto)akiongea na wanahabariKamishna wa polisi, Suleiman Kova (kushoto) akiongea na wanahabari.7.Baadhi ya vipande hivyo vya meno ya Tembo vilivyokamatwa.Baadhi ya...

 

11 years ago

Habarileo

Wakimbizi 162 wa Burundi wapewa uraia

RAIS Jakaya Kikwete ametoa hati za uraia wa Tanzania kwa wakimbizi 162 kutoka nchi jirani ya Burundi na ambao wameishi nchini kwa miaka 42, tangu mwaka 1972. Alitoa hati hizo juzi mjini Tabora, ikiwa nisehemu ya ziara yake ya kikazi ya siku mbili kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo.

 

10 years ago

TheCitizen

AirAsia plane with 162 on board missing: reports

>Rescuers scoured the sea for an AirAsia plane carrying 162 people which went missing in bad weather yesterday en route from Indonesia to Singapore, the third crisis for a Malaysian carrier this year.

 

10 years ago

Michuzi

WANACCM 53,156 WAMDHAMINI MH. LOWASSA JIJINI MBEYA LEO, APATA MAPOKEZI MAKUBWA

Umati wa WanaCCM pamoja na Wananchi wa Mkoa wa Mbeya, wakiwa wamemzunguka, Waziri Mkuu Mstaafu na Mtangaza nia ya kuwania Urais wa Tanzania, Mh. Edward Lowassa (katikati), wakati alipowasili kwenye Ofisi za CCM Mkoa wa Mbeya leo Juni 19, 2015, kukabidhiwa fomu zitakazomuwezesha kupata ridhaa ya Chama chake kuwania Urais kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Mbeya wamevunja rekodi udhamini kwa Mh. Lowassa ya mikoa yote aliyopita, amepata wadhamini 53,156 kwa mkoa wa...

 

10 years ago

GPL

UPDATES: NDEGE YA AIRASIA QZ8501 ILIYOPOTEA NA WATU 162

Kikosi cha wanamaji nchini Indonesia kikisali kabla ya kuanza zoezi la kuitafuta Ndege ya AirAsia QZ8501 katika bandari ya Pangkal Pinang kwenye kisiwa cha Sumatra. Kikosi cha wanamaji kikiwa kazini kuitafuta ndege iliyopotea.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani