Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


20 Percent apania ujio mpya

STAA wa muziki wa kizazi kipya nchini aliyefanya vema na kibao cha ‘Money Money’, Hamis Kinzasa ‘20 Percent’ amesema anatarajia ujio wake mpya utalitangaza soko la muziki wake vizuri ukitofautisha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

10 years ago

GPL

Q - CHILA AFUNGUKA UJIO WAKE MPYA

Nguli wa Bongo Fleva, Abubakar Katwila ‘Q-Chillah’ akifunguka ndani ya studio za Global TV Online. TUNAENDELEA na simulizi ya staa wa Bongo Fleva, Aboubakar Shaaban Katwila ‘Q- Chillah’, wiki iliyopita iliishia pale alipoelezea juu ya kilichomtokea katika msiba wa msanii wa filamu, Adam Kuambiana, alisema marehemu ndiye aliyegundua kipaji chake cha kuigiza, songa nayo sasa…
(Anainamisha kichwa...

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

Michuzi

UJIO WA TUZO MPYA ZA WATU 2014

Mwaka 2009, wazo jipya lilizaliwa. Wazo la kuwa na tuzo zitakazopatikana kwa mchakato wa wazi utakaotokana na mapendekezo ya watu wenyewe ya kuchagua mastaa wa michezo, muziki, filamu au vipindi na watangazaji wanaopendwa zaidi. Wazo hilo liliendelea kuboreshwa na mwaka huu (2014), limeiva na liko tayari kutoka kwenye hatua ya wazo la kichwani, na kuwa tukio lenyewe.
"Nilizisajili na kuanzisha mwaka 2009 ila kutokana na mipango na malengo ya kampuni niliamua kuziweka kwanza hadi sasa,"...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ujio Mpya wa Johari, Mjasiriamali Anaeuza Ndizi

Muigizaji mkongwe wa filamu, Blandina Chagula ‘Johari’ amabae pia ni mkurugezi wa kampuni ya RJ ambayo inajihusisha na utengenezaji wa filamu hapa nchini. Hivi karibuni kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM aliweka picha hii,akionekana kichwani amejitwisha beseni lenye ndizi, yani kama mdada muuza ndizi anaetembea majumbani.Kwenye picha hii Johari aliandika kuwa hii ndio kazi yake mpya inayokuja japokuwa hakusema ni lini itakoka na hata jina la filamu hiyo hakulisema.

Johari...

 

10 years ago

GPL

Q-CHILLAH AAHIDI MAKUBWA UJIO WAKE MPYA!

Q-Chillah akielezea namna alivyojipanga kwa ujio wake mpya. Kushoto ni Meneja wake, QS. Mhonda.  Muandaaji wa hafla hiyo, DJ Bavon (aliyesimama) akitoa ufafanuzi.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani