UJIO WA TUZO MPYA ZA WATU 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-PxV4JNscZJI/UwMb629iHYI/AAAAAAAFNw0/MVUBw_F55Oc/s72-c/unnamed+(5).jpg)
Mwaka 2009, wazo jipya lilizaliwa. Wazo la kuwa na tuzo zitakazopatikana kwa mchakato wa wazi utakaotokana na mapendekezo ya watu wenyewe ya kuchagua mastaa wa michezo, muziki, filamu au vipindi na watangazaji wanaopendwa zaidi. Wazo hilo liliendelea kuboreshwa na mwaka huu (2014), limeiva na liko tayari kutoka kwenye hatua ya wazo la kichwani, na kuwa tukio lenyewe.
"Nilizisajili na kuanzisha mwaka 2009 ila kutokana na mipango na malengo ya kampuni niliamua kuziweka kwanza hadi sasa,"...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTUZO ZA WATU 2014 #MTANGAZAJI ANAYEPENDWA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eA6UjtUtj-8/U3uA2A5jT3I/AAAAAAAFj4A/MIX-InTf9xo/s72-c/unnamed+(14).jpg)
BONGO5 MEDIA GROUP YATANGAZA MAJINA YATAKAYOWANIA TUZO ZA WATU TANZANIA, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-eA6UjtUtj-8/U3uA2A5jT3I/AAAAAAAFj4A/MIX-InTf9xo/s1600/unnamed+(14).jpg)
Awamu ya kwanza ya upigaji kura iliyodumu kwa wiki mbili na siku kadhaa imekua ikikusanya majina matano kwenye kila kipengele kama ifuatavyo:...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
20 Percent apania ujio mpya
STAA wa muziki wa kizazi kipya nchini aliyefanya vema na kibao cha ‘Money Money’, Hamis Kinzasa ‘20 Percent’ amesema anatarajia ujio wake mpya utalitangaza soko la muziki wake vizuri ukitofautisha...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/nYumcNGLGVI/default.jpg)
10 years ago
Michuzi19 Sep
10 years ago
GPLQ - CHILA AFUNGUKA UJIO WAKE MPYA
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uxDxFNYErVU/Vfrnyv8JmuI/AAAAAAABU9A/83OzSPDIc94/s72-c/unnamed.jpg)
ULIISIKIA HII YA MANJI KUSHINDA SHANI AU TUZO KUBWA ZAIDI, TUZO AMBAYO HUWANIWA NA WATU KAMA DANGOTE
![](http://3.bp.blogspot.com/-uxDxFNYErVU/Vfrnyv8JmuI/AAAAAAABU9A/83OzSPDIc94/s640/unnamed.jpg)
Mwenyekiti wa makampuni ya Quality group, Yusuf Manji ameibuka mshindi wa tuzo maarufu ya Mfanyabiashara Gwiji Duniani.
Manji ambaye ni mwenyekiti wa mabingwa wa soka Tanzania Bara, Yanga ameibuka mshindi wa tuzo hiyo na kuwashinda mabosi wengine kama bilionea namba moja Afrika Aliko Dangote.Kwa mujibu wa mtandao wa Business Forum, Mwenyekiti huyo wa amekuwa kiongozi wa kwanza kutoka Afrika kushinda tuzo hiyo ambayo awali walikuwa wakichukua matajiri wengine wakubwa na maarufu kutoka katika...