Ujio Mpya wa Johari, Mjasiriamali Anaeuza Ndizi
Muigizaji mkongwe wa filamu, Blandina Chagula ‘Johari’ amabae pia ni mkurugezi wa kampuni ya RJ ambayo inajihusisha na utengenezaji wa filamu hapa nchini. Hivi karibuni kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa INSTAGRAM aliweka picha hii,akionekana kichwani amejitwisha beseni lenye ndizi, yani kama mdada muuza ndizi anaetembea majumbani.Kwenye picha hii Johari aliandika kuwa hii ndio kazi yake mpya inayokuja japokuwa hakusema ni lini itakoka na hata jina la filamu hiyo hakulisema.
Johari...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies14 Feb
Refund: Ujio Mpya, Johari Ameanza Kutimiza Ahadi Yake!
Mrembo na muigizaji wakike wa filamu mwenye kipaji cha hali ya juu, Blandina Chagula “Johari” ameanza kutimiza ahadi yake aliyoitoa kwaka jana kuwa mwaka huu ni mwaka wa kazi tu.
Ameanza na hii, ingawa hakuweka wazi ni lini hasa itaingia sokoni, filamu yake hii mpya inayokwenda kwa jina la Refund ambayo pamoja nae,wakali kama Juma Chikoka ‘Chopamchopanga’ na Haji Adam na wengine wengi wameshiriki kwenye filamu hii.
Kwamaneno mafupi Johari alisema;
“Kama nilivyoahidi mashabiki wangu 2015...
9 years ago
Bongo514 Nov
Video: TID na Q-Chief wazungumzia kazi yao mpya ‘Mkungu wa Ndizi’
![qchief](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/qchief-300x194.jpg)
Wasanii wakongwe nchini TID na Q-Chief wameachia kazi yao ya pamoja iitwayo ‘Mkungu wa Ndizi.’
Wakiongea na Bongo5, wasanii hao walisema kuwa wimbo huo wenye mahadhi ya pwani una tofauti kubwa na kazi zao za nyuma.
Wamesema wameamua kuileta tena ladha ya muziki wa pwani wa Afrika Mashariki ambayo wanaamini imepotea redioni na pia kuonesha ukongwe wao.
“Hii ngoma mimi naiweka kwenye history kwasababu watu walishasema ‘hivi hawa watakuja kufanya tena kazi pamoja!’, amesema Q-Chief.
Amedai...
9 years ago
Mwananchi27 Aug
MJASIRIAMALI : Mazingira yanawezaje kumuathiri mjasiriamali?
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
20 Percent apania ujio mpya
STAA wa muziki wa kizazi kipya nchini aliyefanya vema na kibao cha ‘Money Money’, Hamis Kinzasa ‘20 Percent’ amesema anatarajia ujio wake mpya utalitangaza soko la muziki wake vizuri ukitofautisha...
10 years ago
Michuzi19 Sep
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PxV4JNscZJI/UwMb629iHYI/AAAAAAAFNw0/MVUBw_F55Oc/s72-c/unnamed+(5).jpg)
UJIO WA TUZO MPYA ZA WATU 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-PxV4JNscZJI/UwMb629iHYI/AAAAAAAFNw0/MVUBw_F55Oc/s1600/unnamed+(5).jpg)
"Nilizisajili na kuanzisha mwaka 2009 ila kutokana na mipango na malengo ya kampuni niliamua kuziweka kwanza hadi sasa,"...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/nYumcNGLGVI/default.jpg)
10 years ago
GPLQ - CHILA AFUNGUKA UJIO WAKE MPYA