Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


3,477 wajiunga na CHF Shinyanga

Wakazi 3,477 wa Manispaa ya Shinyanga ambao ni walengwa wa mpango wa kunusuru kaya maskini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) awamu ya tatu, wamejiunga na Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii (CHF).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Asilimia 87 wajiunga CHF Tanga

WILAYA ya Tanga imefanikiwa kushawishi asilimia 87 ya watu wake kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).

 

9 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA ZIARA SOKO KUU SHINYANGA.

Desemba 02,2015- Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro ameendelea na ziara za kushtukiza kwenye maeneo ambayo ni kero katika wilaya hiyo.Ilikuwa majira ya saa tano asubuhi,mkuu huyo wa wilaya akaabukia katika soko kuu la manispaa ya Shinyanga lililojengwa kabla ya uhuru wa Tanganyika..Ikawa faraja kwa Wafanyabiashara wa soko hilo waliodai kwa kipindi kirefu wamekuwa wakiilalamikia halmashauri ya manispaa kutokana na kushindwa kulifanyia ukarabati soko hilo.Akiwa katika soko hilo...

 

9 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA SHINYANGA AFANYA MKUTANO NA AKINA MAMA ZAIDI YA 300 KUPAMBA NA KIPINDUPINDU SHINYANGA


Hapa ni katika ukumbi wa NSSF mjini Shinyanga ambako wanawake/akina mama zaidi ya 300 wa manispaa ya Shinyanga wamekutana kujadili namna ya kupambana na ugonjwa wa Kipindupindu ambao umeukumba mkoa wa Shinyanga.Mkutano huo umeitishwa na mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro.Akina mama hao waliojitokeza kwa wingi leo jioni Oktoba 06,2015 wameweka mikakati mbalimbali ya kutokemeza ugonjwa kipindupindu ambapo Jana pekee wagonjwa 9 wamelazwa katika kambi maalum jirani na hospital ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Vijana wajiunga na al-Shabab Kenya

Polisi nchini Kenya wamewalaumu viongozi watatu wa kiislamu kwa kuwashawishi vijana kujiunga na kundi la kiislamu la al-Shabab

 

11 years ago

GPL

ULIMWENGU, SAMATA WAJIUNGA STARS

Mbwana Samatta. Wachezaji Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wametua Dar es Salaam leo (Mei 17 mwaka huu) mchana, na kujiunga moja kwa moja kwenye kambi ya Taifa Stars kwa ajili ya michuano ya Afrika dhidi ya Zimbabwe (Mighty Warriors). Mechi hiyo ya kwanza ya raundi ya kwanza ya michuano hiyo itafanyika kesho (Mei 18 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Thomas Ulimwengu. Washambuliaji hao wa Taifa Stars wamewasili…...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wasichana London wajiunga na IS Syria

Uturuki imeshutumu Uingereza kwamba imechelewa kuijulisha nchi hiyo kuhusu wanafunzi wa kike waliokwenda kujiunga na Islamic State.

 

9 years ago

BBCSwahili

Wanawake 3 kutoka Pakistan wajiunga na IS

Polisi nchini Pakistan wanasema wanawake watatu wameondoka mji wa Lahore na kwenda kujiunga na wapiganaji wa Islamic State nchini Syria.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa Ethiopia wajiunga na Amisom

Wanajeshi wa Ethiopia hii leo wamejiunga rasmi na wanajeshi wa (AMISOM) wanaoshika doria nchini Somalia kupambana na Al Shabaab

 

9 years ago

Michuzi

NGASA, ULIMWENGU, SAMATTA WAJIUNGA STARS

Wachezaji watatu wa kimataifa wa Tanzania wanacheza soka la kulipwa nje ya nchi, Mrisho Ngasa (Free State – Afrika Kusini) Thomas Ulimwengu na Mbwana Samatta (TP Mazembe – Congo DRC) wamejiunga na kambi ya Taifa Stars iliyopo katika hoteli ya Urban Rose – Kisutu jana jijini Dar es salaam.Kocha Mkuu wa Taifa Stars Charels Mkwasa amewapokea wachezaji hao na jana kufanya mazoezi pamoja na wachezaji waliokuwa kambini nchini Uturuki saa 10 jioni katika uwanja Taifa jijini Dar salaam.Kwa mujibu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani