Wanawake 3 kutoka Pakistan wajiunga na IS
Polisi nchini Pakistan wanasema wanawake watatu wameondoka mji wa Lahore na kwenda kujiunga na wapiganaji wa Islamic State nchini Syria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo Movies15 Sep
Aunti Ezekiel na Vincent Kigosi Kutoka UKAWA Wajiunga na Kampeni za CCM
<span 1.6em;"="">Zikiwa zimebaki takribani siku 39 kuelekea siku ya Kupiga kura. Wasanii wawili wa tasnia ya Maigizo waliokuwa katika Kampeni za Mh Edward Lowassa wa CHADEMA ghafla wameamia kwenye Kampeni za Mh John P. Magufuli wa CCM.
Hii imethibitishwa na mmoja wa wasanii hao, yaani Anti Ezekiel kupitia kwenye ukurasa wake wa Twitter. (Auntezeofficial)
Ni stori ya kisiasa ambayo ilianza kuchukua headlines kwenye mitandao mbalimbali kuhusu wasanii wawili wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel...
10 years ago
Bongo Movies22 Mar
Wema Aendelea Kuwapa Hamasa Wanawake,Chukua Hii Kutoka Kwake
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu mwenye followers zaidi ya laki nne kwenye mtandao wa Instagram kwa siku za hivi karibuni ameonyesha njia kwa mastaa na watu wengine baada ya kuamua kuanza kuposti jumbe mabalimbali zenye manufaa kwa jamii na sio majungu ambayo hayana faida yoyote, Wema amekua akiachia jumbe hizo na huku akitumia tag mbili za BeWemaFanyaWema na 2015WalkToRemember.
Amekuwa akiandika vingi kuhamasisha wanawake kwenye kujitafutia maendeleo huu ni muendelezo tu....
11 years ago
Mwananchi25 Jun
KUTOKA ZANZIBAR: Wanawake na siasa zetu ni kisa cha tajiri na maskini?
11 years ago
MichuziSalam za Heri ya Siku ya "WANAWAKE DUNIANI" kutoka Ngoma Africa Band
Siku ya " WANAWAKE" oyeeee! Oyeeeee! sikiliza muziki na burudani...
5 years ago
MichuziWANAWAKE HANANG' WANUFAIKA NA MRADI WA KILIMO KUTOKA SHIRIKA LA OXFAM & UCRT
Felista Giyam mhasibu wa kikundi cha hamasa ameiomba serikali kuona uwezekano wa kutafuta masoko kwa mazao ya wakulima kwani wamekuwa wakilima kwa muda mrefu lakini wanakosa masoko hivyo kuwakatisha tamaa licha ya kukiri kuwa wamekuwa na faida kwa wastani japo soko linaendelea kuwa kikwazo licha ya kwamba pia wakulima wamekuwa wakitumia gharama kubwa katika pembejeo za kilimo
Anna Iselu mbaye ni mhasibu wa kikundi cha wanawake na vijana cha Gosanga anasema mradi huo utawafanya kutokuonekana...
5 years ago
BBCSwahili31 Mar
Coronavirus: Jinsi marufuku ya kutoka nje ya virusi vya corona inavyowaathiri wanawake kwa kunyanyaswa
5 years ago
BBCSwahili21 May
Virusi vya corona: Hospitali ya India iliyoweza kuzalisha watoto 100 kutoka kwa wanawake wenye Covid-19
11 years ago
GPLULIMWENGU, SAMATA WAJIUNGA STARS
10 years ago
Habarileo05 Oct
Asilimia 87 wajiunga CHF Tanga
WILAYA ya Tanga imefanikiwa kushawishi asilimia 87 ya watu wake kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).