Aaidhibiwa kwa kuomba baada ya kufunga
Mchezaji wa soka ya Marekani Husain Abdullah ameadhibiwa kwa kuomba baada ya kufunga bao
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Ni baada ya kufunga mtambo wa kufuatilia mawasiliano
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
10 years ago
Bongo Movies22 Dec
JB Awataka Wasomi Wasifikiri Kuomba Kazi Baada ya Masomo,Bali Wafikirie Kutengeneza Ajira
Mwigizaji na muongozji mkongwe wa Filamu hapa nchini, Jacob Stephen “JB”aliweka bandiko hili mtandaoni akiwa mkoani Mwanza,kwenye mkutano na waandishi wa habari kuhusiana ma mradi mpya wakuhamasisha watanzania kujikita zaidi kwenye ujasiriamali ianayofahamika kwa jina la : “FURSA YA KUJITAJIRISHA KIADILIFU”.
JB aliandika;
“Watanzania wenzangu hasa wasomi.tusifikiri kuomba kazi baada ya kuhitimu masomo yetu badala yake tufikirie kutengeneza ajira.inawezekana....”
Picha :JB akiongea na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2LKyJkIyR4aJ7FiZuE3UMDuvli7XlSEEvUTRgWQ97B49y7MjKKfhmfj*h*bDlI3sFckgzUjPIbzpUzURJl6MtGx/2malori2.jpg)
ABIRIA WAKWAMA NJIANI BAADA YA MALORI KUFUNGA BARABARA YA MWANZA - DAR
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2G3mYbFO8ko/VYjlnENqebI/AAAAAAAHioM/9FlK2tzE7HA/s72-c/unnamed%2B%252865%2529%2B-%2BCopy.jpg)
WAZIRI MAGUFULI ARUDISHA FOMU ZA KUOMBA KUGOMBEA URAIS KUPITIA CCM MARA BAADA YA KUKAMILISHA ZOEZI LA KUPATA WADHAMINI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2G3mYbFO8ko/VYjlnENqebI/AAAAAAAHioM/9FlK2tzE7HA/s640/unnamed%2B%252865%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-laWDp0u2wjM/VYjlndsCbBI/AAAAAAAHioQ/TucGqV3_NSA/s640/unnamed%2B%252866%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-64M6uLD_OFo/VYjlnO4pnHI/AAAAAAAHioU/7RcMNnw12sc/s640/unnamed%2B%252867%2529%2B-%2BCopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NODrx5G4V1w/VYjln_mOoNI/AAAAAAAHioo/ECfeYXZYxhg/s640/unnamed%2B%252868%2529%2B-%2BCopy.jpg)
10 years ago
Bongo516 Aug
Tunda Man aahirisha kufunga ndoa hadi mwakani baada kuuguliwa na mama yake
11 years ago
Dewji Blog30 Apr
Hatari: Tanesco waamua kuchukua uamuzi wa kufunga nyaya juu ya mti baada ya nguzo kuvunjika
Nguzo hii ina zaidi ya Mwezi mmoja ikiwa ndani ya nyumba ya mtu na hatari zaidi kwa sababu imelalia katika miti mibichi.
Hivi ndivyo nguzo hiyo inavyo onekana kwa Jirani ikiwa imelalia miti.
Hizi ni waya zilizopita chini kabisa katika Geti la mtu na ndani ya miti.
Nguzo ya umeme ya TANESCO ikiwa imekatika katika eneo la Jirani na Daraja la Mlalakuwa ambapo ipo mpaka sasa ikiwa ni zaidi ya mwezi ipo eneo hilo.
Hii ndio Njia Mbadala waliyo iona TANESCO kutumia kwa kufunga nyaya hizo...
9 years ago
Bongo504 Nov
DJ Crème De La Crème wa Kenya ajitokeza na kuomba msamaha baada ya mkanda wake wa ngono kuvuja
![creme (1)](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/creme-1-300x194.jpg)
Baada ya kukumbwa na skendo kubwa ya kusambaa mtandaoni kwa mkanda wa ngono, DJ Crème De La Crème wa Kenya amevunja ukimya na kujitokeza kuzungumzia swala hilo pamoja na kuomba msamaha.
DJ huyo maarufu na aliyekuwa akiheshimika, ametumia akaunti yake ya Instagram kuomba msamaha kwa kile kilichotokea.
Crème ambaye ni baba wa watoto wawili ameomba msamaha watu mbalimbali, ikiwemo familia yake, msichana aliyehusika naye kwenye mkanda huo aitwaye Halima, mashabiki wake pamoja na marafiki...
10 years ago
Bongo Movies08 Jul
Baada ya Kuficha Ujauzito, Snura Adaiwa Kufunga Ndoa Kimya Kimya
Staa wa Bongo Fleva alieanzia uigizaji, Snura Mushi amedaiwa kufunga ndoa ya siri na mchumba wake wa siku nyingi ambaye pia ni mzazi mwenziye,DJ maarufu mjini Mbeya,Hunter.
Habari zinasema kuwa katika sherehe ya ndoa hiyo walialikwa watu wachache kutoka kwenye pande mbili za familia ya wanandoa hao na ilifungwa kwa siri jijini Dar.
Kupitia U heard na Soudy Brown amezungumza na Snura ambaye amekana kufunga ndoa,lakini alipoulizwa kama aliweza kuficha mimba hadi alipojifungua je? Hawezi...