Ni baada ya kufunga mtambo wa kufuatilia mawasiliano
Sekta ya mawasiliano nchini inakua kwa kasi baada ya milango kufunguliwa mwaka 2005 na kusababisha kuongezeka kwa idadi ya watoa huduma za mawasiliano pamoja na watumiaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi
TAHADHARI KUHUSU KUINGILIA AU KUFUATILIA MAWASILIANO YA WATU
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

ISO 9001:2008 CERTIFIEDTAARIFA KWA UMMATAHADHARI KUHUSU KUINGILIA AU KUFUATILIA MAWASILIANO YA WATU
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za kuwepo kwa Programu (Application) ya simu ikijulikana kama SOFTBOX TANZANIA iliyosemekana iko kwenye Google PLAYSTORE.
Ilidaiwa kuwa program (Application) hiyo ya SOFTBOX TANZANIA ilikuwa na uwezo wa kunasa au kuingilia mazungumzo ya simu, ujumbe mfupi pamoja na mawasiliano ya...
11 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AZINDUA MTAMBO WA KUHAKIKI TAKWIMU ZA MAWASILIANO

9 years ago
MichuziKampuni ya Ageco Energy & Construction Ltd yafunga mwaka kwa Kufunga Mtambo Mkubwa wa Sola Hospitali ya Mkoa Singida.
Mtambo huu wenye uwezo wa kuendesha vifaa vyenye...
11 years ago
MichuziUbalozi wa Marekani wakabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa masafa marefu kwa jeshi la Polisi kikosi cha maji nchini
11 years ago
BBCSwahili30 Sep
Aaidhibiwa kwa kuomba baada ya kufunga
11 years ago
GPL
ABIRIA WAKWAMA NJIANI BAADA YA MALORI KUFUNGA BARABARA YA MWANZA - DAR
11 years ago
Bongo516 Aug
Tunda Man aahirisha kufunga ndoa hadi mwakani baada kuuguliwa na mama yake
11 years ago
Dewji Blog30 Apr
Hatari: Tanesco waamua kuchukua uamuzi wa kufunga nyaya juu ya mti baada ya nguzo kuvunjika
Nguzo hii ina zaidi ya Mwezi mmoja ikiwa ndani ya nyumba ya mtu na hatari zaidi kwa sababu imelalia katika miti mibichi.
Hivi ndivyo nguzo hiyo inavyo onekana kwa Jirani ikiwa imelalia miti.
Hizi ni waya zilizopita chini kabisa katika Geti la mtu na ndani ya miti.
Nguzo ya umeme ya TANESCO ikiwa imekatika katika eneo la Jirani na Daraja la Mlalakuwa ambapo ipo mpaka sasa ikiwa ni zaidi ya mwezi ipo eneo hilo.
Hii ndio Njia Mbadala waliyo iona TANESCO kutumia kwa kufunga nyaya hizo...