TAHADHARI KUHUSU KUINGILIA AU KUFUATILIA MAWASILIANO YA WATU
![](http://4.bp.blogspot.com/-2UP8OgfpSwM/VmFGW3ocAwI/AAAAAAAIKHI/CgLLpUMV8As/s72-c/Tcra%2B12.png)
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
ISO 9001:2008 CERTIFIEDTAARIFA KWA UMMATAHADHARI KUHUSU KUINGILIA AU KUFUATILIA MAWASILIANO YA WATU
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za kuwepo kwa Programu (Application) ya simu ikijulikana kama SOFTBOX TANZANIA iliyosemekana iko kwenye Google PLAYSTORE.
Ilidaiwa kuwa program (Application) hiyo ya SOFTBOX TANZANIA ilikuwa na uwezo wa kunasa au kuingilia mazungumzo ya simu, ujumbe mfupi pamoja na mawasiliano ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Ni baada ya kufunga mtambo wa kufuatilia mawasiliano
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-xJlUd0mqh9M/U0JwD_sOtxI/AAAAAAACt9I/iAofB1ryKO4/s72-c/index.jpg)
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA YATOA TAHADHARI DHIDI YA UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-xJlUd0mqh9M/U0JwD_sOtxI/AAAAAAACt9I/iAofB1ryKO4/s640/index.jpg)
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa kuzingatia kifungu 5 (b) na (e) cha Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ya 2003 inatoa tahadhari kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano, wananchi na umma kwa ujumla kujihadhari na utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi na mtandao wa intaneti kama ifuatavyo:
1. Usimpe mtu yeyote usiyemfahamu vizuri simu yako au kadi yako ya simu ili atumie.
2. Usitoe maelezo yoyote kuhusu namba yako ya simu au taarifa za binafsi kwa mtu yeyote...
10 years ago
BBCSwahili09 Sep
Tahadhari kuhusu gesi za sumu
11 years ago
BBCSwahili18 Mar
UG yatoa tahadhari kuhusu Al Shabaab
10 years ago
Bongo Movies22 May
JB Atoa Tahadhari Kuhusu ya Matapeli Hawa
Tahadhari: kuna watu wametengeneza akaunti feki yenye picha zangu.na wanasema kwamba Jerusalem inahitaji wasanii wapya.na wanawapigia simu watu huku wakiwatoza kiasi cha tsh 45000 hadi laki kama ada ya kujiandikisha.watu hawa ni matapeli.na wamechukua hela nyingi kwa watu.jamani hatuna utaratibu huo na usikubali kutoa pesa...Fb watu wanaitumia vibaya sana..
By:JB on Instagram
10 years ago
StarTV30 Sep
Uingereza yaondoa tahadhari kuhusu Kenya.
Uingereza imeondoa tahadhari iliyokuwea imetoa kwa raia wake dhidi ya Kusafiri Kenya.
Tahadhari hiyo kwa ukubwa likuwa inalenga maeneo ya mitaa ya mabanda, na baadhi ya maeneo ya Pwani ambako ilihofiwa kuwa raia wa kigeni wanalengwa kwa mashambulio ya kigaidi.
Hatua hiyo ya kuondolewa tahadhari kwa raia wa Uingereza kusafiri Kenya, inaanza kutekelezwa mara moja.
Tahadhari hiyo ilikuwa imewekwa baada ya machafuko yaliyotokea nchini Kenya baada ya uchaguzi mkuu yapata miaka saba...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-piIsDNxHqBo/XoiUukXcbXI/AAAAAAALmAc/kSYvwhG0TqIRdommiHl_XqNNwJTQ9suGwCLcBGAsYHQ/s72-c/3-2-768x512.jpg)
ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA CORONA BADO HAITOSHELEZI
![](https://1.bp.blogspot.com/-piIsDNxHqBo/XoiUukXcbXI/AAAAAAALmAc/kSYvwhG0TqIRdommiHl_XqNNwJTQ9suGwCLcBGAsYHQ/s640/3-2-768x512.jpg)
Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila akizungumza katika kikao cha Wadau wa Afya kujadili utayari wa kukabiliana na Ugonjwa wa Virusi vya Corona kwa Mkoa wa Songwe ambapo imeagizwa elimu Zaidi itolewe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/1-7.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akizungumza katika kikao cha Wadau wa Afya cha kujadili utayari wa kukabiliana na Ugonjwa wa Virusi vya Corona kwa Mkoa wa Songwe ambapo ameagiza elimu Zaidi itolewe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/2..jpg)
Wadau wa Afya wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Songwe (hayupo...
11 years ago
Michuzi02 Aug
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfA-ZOdajs*3eEwsoOs2ZTmX2oh8h*cX4B9pqnmdlnzR*3VEOh41n9cV1RiIInvz8WArDnDjMDQ9B85cvhhDhZWf/NDEGEE.jpg)
NDEGE YA ALGERIA YAPOTEZA MAWASILIANO IKIWA NA WATU 116