Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAHADHARI KUHUSU KUINGILIA AU KUFUATILIA MAWASILIANO YA WATU

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA

ISO 9001:2008 CERTIFIEDTAARIFA KWA UMMATAHADHARI KUHUSU KUINGILIA AU KUFUATILIA MAWASILIANO YA WATU
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za kuwepo kwa Programu (Application) ya simu ikijulikana kama SOFTBOX TANZANIA iliyosemekana iko kwenye Google PLAYSTORE.
Ilidaiwa kuwa program (Application) hiyo ya SOFTBOX TANZANIA ilikuwa na uwezo wa kunasa au kuingilia mazungumzo ya simu, ujumbe mfupi pamoja na mawasiliano ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Ni baada ya kufunga mtambo wa kufuatilia mawasiliano

Sekta ya mawasiliano nchini inakua kwa kasi baada ya milango kufunguliwa mwaka 2005 na kusababisha kuongezeka kwa idadi ya watoa huduma za mawasiliano pamoja na watumiaji.

 

11 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA YATOA TAHADHARI DHIDI YA UHALIFU UNAOFANYWA KUTUMIA SIMU ZA MKONONI


Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kwa kuzingatia kifungu 5 (b) na (e) cha Sheria ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania ya 2003 inatoa tahadhari kwa watumiaji wa huduma za mawasiliano, wananchi na umma kwa ujumla kujihadhari na utapeli unaofanywa kwa kutumia simu za mkononi na mtandao wa intaneti kama ifuatavyo:
1. Usimpe mtu yeyote usiyemfahamu vizuri simu yako au kadi yako ya simu ili atumie.

2. Usitoe maelezo yoyote kuhusu namba yako ya simu au taarifa za binafsi kwa mtu yeyote...

 

10 years ago

BBCSwahili

Tahadhari kuhusu gesi za sumu

Umoja wa Mataifa umetoa tahadhari kuwa dunia nzima inapaswa kushughulikia mabadiliko ya hali ya anga haraka iwezekanavyo

 

11 years ago

BBCSwahili

UG yatoa tahadhari kuhusu Al Shabaab

Uganda imetoa tahadhari kwamba kundi la wanamgambo la Al Shabaab linapanga kutumia malori ya mafuta kama mabomu katika mashambulizi yao nchini humo.

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Atoa Tahadhari Kuhusu ya Matapeli Hawa

Tahadhari: kuna watu wametengeneza akaunti feki yenye picha zangu.na wanasema kwamba Jerusalem inahitaji wasanii wapya.na wanawapigia simu watu huku wakiwatoza kiasi cha tsh 45000 hadi laki kama ada ya kujiandikisha.watu hawa ni matapeli.na wamechukua hela nyingi kwa watu.jamani hatuna utaratibu huo na usikubali kutoa pesa...Fb watu wanaitumia vibaya sana..

By:JB on Instagram

 

10 years ago

StarTV

Uingereza yaondoa tahadhari kuhusu Kenya.

Uingereza imeondoa tahadhari iliyokuwea imetoa kwa raia wake dhidi ya Kusafiri Kenya.

 
Tahadhari hiyo kwa ukubwa likuwa inalenga maeneo ya mitaa ya mabanda, na baadhi ya maeneo ya Pwani ambako ilihofiwa kuwa raia wa kigeni wanalengwa kwa mashambulio ya kigaidi.

 
Hatua hiyo ya kuondolewa tahadhari kwa raia wa Uingereza kusafiri Kenya, inaanza kutekelezwa mara moja.

 
Tahadhari hiyo ilikuwa imewekwa baada ya machafuko yaliyotokea nchini Kenya baada ya uchaguzi mkuu yapata miaka saba...

 

5 years ago

Michuzi

ELIMU KUHUSU TAHADHARI YA CORONA BADO HAITOSHELEZI


Katibu Tawala Mkoa wa Songwe David Kafulila akizungumza katika kikao cha Wadau wa Afya kujadili utayari wa kukabiliana na Ugonjwa wa Virusi vya Corona kwa Mkoa wa Songwe ambapo imeagizwa elimu Zaidi itolewe.
Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. Nicodemus Mwangela akizungumza katika kikao cha Wadau wa Afya cha kujadili utayari wa kukabiliana na Ugonjwa wa Virusi vya Corona kwa Mkoa wa Songwe ambapo ameagiza elimu Zaidi itolewe.
Wadau wa Afya wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Songwe (hayupo...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

GPL

NDEGE YA ALGERIA YAPOTEZA MAWASILIANO IKIWA NA WATU 116

Ndege iliyopoteza mawasiliano inafanana na hii pichani juu. SHIRIKA la ndege la Taifa la Algeria, limesema limepoteza mawasiliano na moja kati ya ndege zake iliyokuwa ikitoka Burkinafaso kwenda Algiers kupita Sahara. Mawasiliano yalipotea dakika 50 baada ya ndege hiyo kupaa kutoka mji wa Ouagadougou, Burkinafaso shirika hilo limeeleza. Ndege namba AH 5017 ilikuwa na abiria 110 na wafanyakazi sita wa ndege hiyo. Chanzo cha habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani