RAIS KIKWETE AZINDUA MTAMBO WA KUHAKIKI TAKWIMU ZA MAWASILIANO
![](http://4.bp.blogspot.com/-QhWNLhQsG-U/Uw9lPZXTaEI/AAAAAAAFQEk/LSms1n8zEfo/s72-c/t1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Mtambo wa Kuhakiki Takwimu za Mawasiliano (Telecommunication Traffic Monitoring System) leo February 27, 2014 katika jengo la Mawasiliano Towers jijini Dar es salaam. Kulia ni Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Pro, Makame Mnyaa Mbarawa, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Prof. John Nkoma,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Ni baada ya kufunga mtambo wa kufuatilia mawasiliano
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-skE2dv8Rwgc/Vfip-OKz29I/AAAAAAAH5J0/v-49MLsFWiA/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
RAIS KIKWETE AZINDUA RASMI DARAJA LA KIKWETE JUU YA MTO MALAGARASI MKOANI KIGOMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-skE2dv8Rwgc/Vfip-OKz29I/AAAAAAAH5J0/v-49MLsFWiA/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-TDdxDK1nDJg/Vfip-AY5GbI/AAAAAAAH5J4/IME8RQpqB50/s640/unnamed%2B%252834%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kj8IMjFHbhc/Veg2Hzole-I/AAAAAAAH2HI/iYJHXpWdM4U/s72-c/rais-kikwete1.jpg)
RAIS KIKWETE KUFUNGUA MKUTANO WA TAKWIMU HURIA KANDA YA AFRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-kj8IMjFHbhc/Veg2Hzole-I/AAAAAAAH2HI/iYJHXpWdM4U/s640/rais-kikwete1.jpg)
Mkutano huo utakaofunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete utafanyika tarehe 4 – 5 Septemba, 2015 katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam. Kauli Mbiu ni “Tumia Takwimu Huria Kuendeleza Afrika” (Developing Africa Through Open Data).
Washiriki takriban...
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
Makamu wa Rais Dkt. Bilal amwakilisha Rais Jakaya Kikwete, azindua HALOTEL TANZANIA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal (katikati) akizungumza jambo na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kushoto) na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick, wakati walipokuwa kwenye Hafla ya uzinduzi wa Mtandao mpya wa simu za Halotel Tanzania, iliyofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, jana usiku Okt 15, 2015. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na...
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
Rais Kikwete afungua mkutano wa siku mbili wa Takwimu Huria Kanda ya Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akifungua mkutano wa siku mbili wa Takwimu Huria Kanda ya Afrika unaofanyika nchini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere leo jijini Dar es Salaam. Katikati ni Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Mwakilishi wa Benki ya Dunia nchini Bella Bird (wa kwanza kulia).
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mathias Chikawe akimkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (hayupo pichani)...
9 years ago
MichuziMKUU WA MKOA AZINDUA MTAMBO MAALUM ULIONUNULIWA NA MANISPAA YA KINONDONI
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA KIMATAIFA WA MFUMO WA TAKWIMU HURIA BARANI AFRIKA, JIJINI DAR ES SALAAM LEO
11 years ago
MichuziUbalozi wa Marekani wakabidhi mtambo wa mfumo wa mawasiliano wa masafa marefu kwa jeshi la Polisi kikosi cha maji nchini