Abubakary Zubeiry achaguliwa rasmi Mufti Mkuu wa Tanzania
Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) leo limemchagua Sheikh Abubakary Zubeiry bin Ally kuwa Mufti Mkuu wa Tanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi
SHEIKH ABUBAKARY ZUBER ACHAGULIWA KUWA MUFTI WA TANZANIA

10 years ago
Dewji Blog25 Jun
Rais Kikwete akutana na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu Jijini Dar

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipeana mikono na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry Ikulu jijini Dar es salaam jana.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Kaimu Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeiry na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) Sheikh Suleiman Lolila Ikulu jijini Dar es salaam.


10 years ago
Michuzi
RAIS KIKWETE AKUTANA NA KAIMU MUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ABUBAKAR ZUBEIRY IKULU JIJINI DAR ES SALAAM LEO




10 years ago
GPL
SHEIKH ABUBAKARY ZUBEIR NDIYE MUFTI MPYA WA TANZANIA
Mufti mpya wa Tanzania, Sheikh Abubakary Zubeir. WAJUMBE 310 wa Baraza Kuu la Waislamu nchini (Bakwata), leo wakiwa mkoani Dodoma wamemchagua Sheikh Abubakary Zubeir kuwa Mufti wa Tanzania akiziba nafasi iliyoachwa na hayati Issa Shaaban bin Simba. Kabla ya uchaguzi huo, Sheikh Abubakary Zubeir, alikuwa Kaimu Mufti wa Tanzania kwa kipindi cha mpito baada ya kifo cha Sheikh Mkuu, Issa Shaaban bin Simba. Awali Sheikh Zubeir alikuwa...
10 years ago
Michuzi
HAFLA YA KUMKARIBISHA RASMI BAKWATA MUFTI MKUU MPYA WA TANZANIA SHEIKH ABUBAKAR ZUBERI BIN ALLY


10 years ago
Daily News11 Sep
Sheikh Zubeiry is new Mufti
Daily News
Daily News
THE National Muslim Council, BAKWATA, which met in Dodoma, has elected Sheikh Abubakary Zubeiry as Chief Mufti. Sheikh Zubeiry was picked Acting Chief Mufti on June 22 following the death of Mufti Issa Shaaban Bin Simba. According to BAKWATA ...
10 years ago
CloudsFM23 Jun
Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ally achaguliwa kuwa Kaimu Mufti.
Uteuzi huo unatokana na kifo cha Mufti Issa Shaaban Bin Simba siku saba zilizopita.
Akizungumza jana na waandishi wa habari, katibu mkuu wa Bakwata, Suleiman Lolila alisema uchaguzi wa kumpata kaimu mufti ulifanywa kwa siku saba tangu kufariki kwa Mufti Simba.
Mufti Simba alifariki dunia Juni 15, mwaka huu katika hospitali ya TMJ jijini...
10 years ago
Michuzi
CHADEMA WAMLILIA Mufti Mkuu wa Tanzania Tanzania, Sheikh Issa Shaaban bin Simba

10 years ago
GPL
ZITTO KABWE ACHAGULIWA KUWA MKUU WA CHAMA CHA ACT TANZANIA
Kiongozi mpya wa chama cha ACT Tanzania, Zitto Kabwe akionyesha alama ya chama ambayo ni "Uwazi" baada ya kuchaguliwa.    Zitto akihutubia wajumbe.         Zitto akihutubia wajumbe wakati wa uchaguzi huo.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania