ABUNUWASI NA HUKUMU YA KIJANA
Hapo zamani za kale katika nchi moja Afrika, paliishi mama mmoja ambaye alikuwa mjane. Muda mfupi tu kabla ya mumewe kufariki walijaliwa mtoto mmoja wa kiume ambaye huyo mama alimlea kwa shida na taabu nyingi. Hata hivyo mama na mtoto wake walipendana ipasavyo. Hapo katika kijiji chao kulikuwa pia na tajiri mmoja ambaye alikuwa bahili na katili kweli. Yule kijana maskini alikwenda kwa tajiri kuomba kazi. Tajiri alimwambia kwamba alikuwa na kazi kwake na angemlipa vizuri sana.
Kijana...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo22 Apr
PICHA HIZI NDIZO ZILIZOTUMIA KUMMALIZA KIJANA KWA HUKUMU YA KIFO.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/22/20/article-3051049-27E048C300000578-292_964x400.jpg)
10 years ago
Vijimambo26 Sep
RIWAYA ZA ABUNUWASI
Siku moja Abunuwasi akipokuwa anampeleka mbuzi wake malishoni, alikuta kiatu kimoja kizuri sana katikati ya njia. Alisimama na kukiangalia. Kiatu kilipendeza machoni mwake ila akasema "kiatu hiki ni kizuri lakini mbona kipo kimoja tu?"...
11 years ago
Tanzania Daima06 Apr
Hukumu Chalinze
TAMBO, mbwembwe na kejeli zilizokuwa zikitolewa kwenye mikutano ya kampeni za kuwania ubunge wa Chalinze leo zinatarajia kufikia kikomo wakati wakazi wa jimbo hilo watakapopiga kura Wagombea watano kutoka vyama...
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Siku ya hukumu